Kitu F-35 stealth ndani ya Israel

Kitu F-35 stealth ndani ya Israel

Unaumwa mkuu, kuchoma kambi ni kitu kidogo? Na Garissa magaidi, ndugu zako Al-shabaab walivyowaua wanafunzi wa kikristo? Westgate? Cheki ndugu zako mkuu:

ila hukuona marekani walivyouwa wanafunzi wa baghdad eeh.?
Au israel walivyoua vichanga vya Gaza?.

Unajua hakuna kitu kinashusha hadhi ya mtu hapa duniani kama kuwa na double standard,kwa kiswahili unafiki
 
Unaumwa mkuu, kuchoma kambi ni kitu kidogo? Na Garissa magaidi, ndugu zako Al-shabaab walivyowaua wanafunzi wa kikristo? Westgate? Cheki ndugu zako mkuu:

ha ha,yaani we jamaa very hopelles,kwahiyo huu uzi unataka kuutumia kuleta propagana za kidini sio?
 
ila hukuona marekani walivyouwa wanafunzi wa baghdad eeh.?
Au israel walivyoua vichanga vya Gaza?.

Unajua hakuna kitu kinashusha hadhi ya mtu hapa duniani kama kuwa na double standard,kwa kiswahili unafiki
Mwite FaizaFoxy aje kukusaidia, alikuwa anampenda jk lakini sasa hivi anamponda jpm!
 
sailors6.png
.

Askari wa marekani US marine wakiwa chini ya ulinzi
 
Yaani habari yenyewe ni ya IRAN? Hahahaaa, kweli wee mwehu.
habari ipi ya iran?,mi nimekuwekea picha ya wanajeshi wa marekani wakiwa chini ya ulinzi,hiyo picha iliiabisha sana marekani na imesababisha makamanda wa hizo boat kufukuzwa kazi.mmojawapo kafukuzwa kazi masaa machache yaliyopita
 
Hiyo ndege sifa yake mojawapo haionekani kwenye rada. Kumbuka iran inataka kuishambulia israel na kuifuta muda wowote, hiyo ndege sio kwa ajili ya palestina,

Wapelentina wametengenezewa mwavuli unao tungua kila kitu kinacjo rushwa toka gaza hasa missiles kabla hazija fikia makazi ya watu system inaitwa Iron Dome.
Inaonekana na radar za S-300; S-400 & S-500 za Mrusi. Pia wale Belarus wameuza Radar ya aina yake kwa Iran ambayo inaona hiyo ndege 500km kabla haijaingia anga za nchi yao.
New Radars, IRST Strengthen Stealth-Detection Claims
 
Just strictly typing tu haiwezi kufanya hiyo language kuwa superior kama unavyodhani, hakuna language developed kwa kutype tu ovyoovyo. Language development hupitia phases nyingi na kutestiwa intensively, tena huendelea kuboreshwa kwa kutoa versions. Siku hizi kuna editors nzuri kwa kila language ambazo zinaweza kukupa alert na kufanya autocompletion wakati wa coding ili kuminimize errors (logical errors inategemea na jinsi unavyofikiria na kuprogram - hiyo ni juu yako). Strictly typing inategemea na umakini wa programmers. Kuna languages sasa hivi ambazo zina very clean syntax na ni very well developed kuliko hiyo ADA (Angalia languages ambazo zinatumika kudevelop most of Linux variants software/packages kwa sasa, mfano Python). Halafu unaongelea ADA kwa sababu ya experience uliyonayo, kama anavyosema huyu mdau:

"One of the worst problems that beginning programmers can have is the belief that the way things are done in their first language is just The Way Things Are Done."

Kuhusu ADA, watu wana maoni tofauti na ya kwako, na sifa zinazofanya ADA iwe nzuri ni tofauti na jinsi unavyodai au labda ni hizohizo lakini huwezi kueleza ueleweke:

is Ada really gone?

Is it worth to learn Ada instead of another languages [c++, c#]?

Programmers wanaojua Ada ni wachache.. Sababu kubwa ni uhaba wa mafunzo katika machuo..
 
Programmers wanaojua Ada ni wachache.. Sababu kubwa ni uhaba wa mafunzo katika machuo..

Sio kwa sababu ya uhaba, ni kwa sababu ya 1. usability - watu wanafocus kwenye productivity na achievement - mtu anajiuliza nikijifunza ADA nitaitumia kwa ajili ya nini? Kila lugha ina usage preferences. 2. Code re-use na integration na languages zingine - lugha nyingi za kisasa zinatoa interface ya kuintegrate codes, mfano una source code ya C++, lakini unaweza kuintegrate kwenye Java, C, au C# na kufanya unachotaka kufanya.

Jua kuna programming languages nyingi sana: List of programming languages - Wikipedia, the free encyclopedia

Pia real programming is not taught but actually practised. Watu wengi hawana interest na ADA kwa sababu nilizozieleza na zingine.

Wenyewe wanaiongelea hapa, kwa vyovyote lazima waisifie kiana:

Siku hizi, unaweza kujifunza "almost anything over the internet".

Learn ADA now:





 
Naona hovevei zion mmefurahi sana, lakini kumbukeni ndani ya Israel kuna wayahudi (religious jews) wengine hawayataki hayo.
 
Kwanza hakuna ndege duniani ambayo ni completly stealth... Wanchofanya ni kureduce radar signature as much as possible yan kama kwwnye radar ndege inaonekana ukubwa wa punje ya harage basi kwa hizo 5th generation stealth fighter itaonekana ukubwa wa punje ya mtama... Ila hayo yote yanawezekana kwa wenye advanced radar systems kna russia na usa na wengine wakubwa dunia ila kwa sisi tanzania tunaotumia xband radars ndo itapita kimya wala hatutaona hata kidogo.... Kingine kuadd hapo n kwamba kila system in uzaif wake ndo mana f117 nighthawk ilitunguliwa na warusi ila zile steatlh black hawk zilizoenda kumuua osama bin laden kule pakistan hazikua detected kwa maana wale mapilailot wanajua jins ya kukwepa radar signature.. Ila kiujumla ni advance fighter kuliko zote kwa sasa.. For more info wikipedia.com somen
 
Unaumwa mkuu, kuchoma kambi ni kitu kidogo? Na Garissa magaidi, ndugu zako Al-shabaab walivyowaua wanafunzi wa kikristo? Westgate? Cheki ndugu zako mkuu:

JE NA NDUGU ZAKO WA KIKRISTO WA ANTIBALAKA WALIVYOCHINJA WAISLAMU KULE JAMHURI YA AFRIKA YA KATI,,,,,,,,, ULISHAWACHEKI MKUU?
 
Back
Top Bottom