Kitu F-35 stealth ndani ya Israel

Kitu F-35 stealth ndani ya Israel

Hivi code haiwezi leta dosari hata kama kuna bugs? Hivi dosari ni kwa sababu ya language au bugs - bad programing?
Ada ni Very Strictly typed na hakuna mpego wa dosari ukilinganisha na lugha yote ya programming
 
Kuwa serious, ingepunguzaje? Coding kwenye C++ au ADA inapunguzaje ghrama maana hizo ni source codes na zina milion lines per block ? Programming language ungeongelea swala la robustness na efficiency kama vile speed. Usitegemee source codes za program mbalimbali za Stealt f-35 zinakuwa ni za language moja. Jf yenyewe server haitumii language moja. Na sijajua kuwa C++ ni wapi wamesema wameitumia, source yako? Na kuprogram software gani? ADA ni extension ya languages kadhaa.
Jibu sahihi liko hapa
 
Ok hapo nimekuelewa. Je wewe unaijua hiyo lugha ya Ada? Umeisaidia vipi serikali ya Tanzania kwenye mambo ya kiulinzi kwa kutumia lugha hiyo?
Mimi ni mwanafunzi katika kikosi cha ulinzi Baharini, nimesomea Ada(embedded systems) na nimejenga softwares mbalimbali za submarines na Rocket Launchers
 
iran hana mkwara ukizengua anafanya kweli,mwaka 1979 hajateka ubalozi wa marekani na kushikilia wamarekani kwa miaka,marekani walijaribu kuwaokoa kwa kutumaa makomando,operation eagle craw,wakaangua pua,ikabidi wawe wapole na kuaamua kuwahonga silaha wairan ili wawaachie mateka,
miaka mitano iliyopita ndege ya marekani ikiwa imejaa wanajeshi wa marekani toka afaghnistan ilijichanga ikaingia anga la iran,wakasitukia wamezungukwa na ndege za iran na kuamuliwa kutua iran,mpaka walipotoa maelezo ya kutosha ndo wakaachiwa huru,
juzi hapa kama miaka miwili iliyopita askari wa uingereza walitaka kupenya iran,wakakamatwa na kuwekwa ndani na ilibidi tena waingereza kunyenyekea mno ndo wakaachiwa,juzi hapa tena askari wa marekani wakanaswa iran,
bado iran imezihijack drone za marekani mara 2.
Bila kusahau mwaka 1980,kule beiruti jeshi la hezbolah limeripua ambi ya jeshi la marekani na askari karibu 300 wa marekani walipoteza maisha.

Huko sio kutishia,ni kufanya maamuzi magumu
kwahio we ulitaka wale US Marines wlivyokamatwa na wanamaji wa iran walipopita kwe maji yao ndo US waanzishe vita?we jamaa unafurahisha
 
Hiyo ni Nguvu yake mungu mwenyewe maana Aliapa kuilinda Israel yke hadi mwisho,,

Kila Aibarikie Israel atabarikiwa na kila Ailaanie Israe pia Atalaaniwa,,

Ni kiapo kikubwa sn hiki,, kwa Lugha rahisi unaweza kusema ,,kila Aipendae Israel naye Atapendwa na Mungu na kila atakaye thubutu kuipiga Israel basi Atachakazwa na Mungu mwenyewe kwa kutumia mkono ule ule wa mwanadamu,,

Shime tuipende sote Israel taifa letu la Tz nalo libarikiwe na Mungu wetu.


Sasa kwa nini aliwaumba hao wasiokubaliana na Israel?
 

Wewe jamaa kuwa makini:

1. Hilo sio jibu sahihi kama unavyoliita, ni maoni na michango ya watu kwa kutegemea na uzoefu wao na jinsi walisikia labda na kusoma, kama ilivyo hapa JF.

2. Nilishakuambia ADA ni extension ya languages kadhaa, na kama wadau wanavyochangia quora, kila mmoja anaonyesha kuwa huwezi kuprogram parts mbalimbali za software just kwa kutumia language moja. Hii inategemea na performance ya code, stability, robustness nk.

3. Umepigwa chenga, gharama inayoongelewa kwenye utengenezaji wa f-35 kwa programmable parts sio gharama ya hela, ni performance cost ya code in terms of software, soma hii nukuu na kuielewa vizuri, "Higher level programming languages make things easier for programmers, but they also come at a performance cost, no matter how you optimize them."

4. Bottom line, hakuna aliyelaumu au kukosoa hapa Lockheed Martin F-35 Lightning II: What sort of programming goes into a military jet plane? - Quora kuwa wamekosea kutumia languages fulani zaidi kama wewe ulivyodai. Kuna jamaa ametoa comment yake kistaarabu, "This all has to happen very, very quickly. They're likely written in C++ for the most part, or in C, or a mixture of the two. Some parts may be written in Assembly language for even greater performance."

Mwingine "Most all software was written either in assembler specific for the CPU used (1750 Assembler for the Javelin anti-tank missile), or a mix of assembler and a high-order language (some Ada but mostly plain old C)."

Majibu hayo ni ya kudhania, pamoja na uzoefu wao (kama wana huo uzoefu kweli) hawaandiki kama watu wenye uhakika kuwa ni languages zipi hasa zimetumika.

Mwingine anaonyesha kuwa kuprogram f-35 au hata ndege nyingine yoyote ile ya kijeshi coding yake ni massive:

"9 million SLOC seems small to me

consider, there are over 15 million SLOC just in the Linux kernel, as of 2013 (not counting the rest of the OS, or any applications)"

Na hii inaonyesha sababu za NATO ndio zilitaka ADA itumike kwenye mil. tech "While at Boeing working on the AWACS radar plane's software, they transitioned from JOVIAL to Ada 95 as the NATO version of the software had a contractual clause requiring Ada to be used for military projects."

Kuwa makini na majibu yako, nisichotaka mimi ni wewe kupotosha watu kwa makusudi.
 
vipi kuhusu mateka.?.
Vipi kuhusu mlipuko wa beirut?

Hoja zako ni za kihivi: kwa sababu Vietnam ilishawahi kuipiga Marekani, hata wakiingia vitani leo itaipiga. Nimekuuliza swali kuwa "Unaamini Iran ina uwezo wa kuishinda Marekani kwenye vita? Mfano, itokee vita kati ya Iran na Marekani sasa hivi, ni nani unamwona ana uwezo wa kuibuka mshindi?"
 
Hoja zako ni za kihivi: kwa sababu Vietnam ilishawahi kuipiga Marekani, hata wakiingia vitani leo itaipiga. Nimekuuliza swali kuwa "Unaamini Iran ina uwezo wa kuishinda Marekani kwenye vita? Mfano, itokee vita kati ya Iran na Marekani sasa hivi, ni nani unamwona ana uwezo wa kuibuka mshindi?"
kama mrekan kwe vita ya iraq walisema tunaenda mpiga saddam kwa kuwa.....nafikir hata wakivutiwa na iran watasema tunaenda mpiga kwa sababu....cdhan km watasema wanaenda kupigana
 
kama mrekan kwe vita ya iraq walisema tunaenda mpiga saddam kwa kuwa.....nafikir hata wakivutiwa na iran watasema tunaenda mpiga kwa sababu....cdhan km watasema wanaenda kupigana
Unajua hata simba akibanwa na kundi la nyumbu lazima azimie hata kama amekula nyumbu zaidi ya buku tangia azaliwe.

Wakiamua kumtolea uvivu iran ni kitu cha wiki tuu wamesha ingia teheran kunywa chai za wenyeji.[emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Ada ni Very Strictly typed na hakuna mpego wa dosari ukilinganisha na lugha yote ya programming

Just strictly typing tu haiwezi kufanya hiyo language kuwa superior kama unavyodhani, hakuna language developed kwa kutype tu ovyoovyo. Language development hupitia phases nyingi na kutestiwa intensively, tena huendelea kuboreshwa kwa kutoa versions. Siku hizi kuna editors nzuri kwa kila language ambazo zinaweza kukupa alert na kufanya autocompletion wakati wa coding ili kuminimize errors (logical errors inategemea na jinsi unavyofikiria na kuprogram - hiyo ni juu yako). Strictly typing inategemea na umakini wa programmers. Kuna languages sasa hivi ambazo zina very clean syntax na ni very well developed kuliko hiyo ADA (Angalia languages ambazo zinatumika kudevelop most of Linux variants software/packages kwa sasa, mfano Python). Halafu unaongelea ADA kwa sababu ya experience uliyonayo, kama anavyosema huyu mdau:

"One of the worst problems that beginning programmers can have is the belief that the way things are done in their first language is just The Way Things Are Done."

Kuhusu ADA, watu wana maoni tofauti na ya kwako, na sifa zinazofanya ADA iwe nzuri ni tofauti na jinsi unavyodai au labda ni hizohizo lakini huwezi kueleza ueleweke:

is Ada really gone?

Is it worth to learn Ada instead of another languages [c++, c#]?
 
Hoja zako ni za kihivi: kwa sababu Vietnam ilishawahi kuipiga Marekani, hata wakiingia vitani leo itaipiga. Nimekuuliza swali kuwa "Unaamini Iran ina uwezo wa kuishinda Marekani kwenye vita? Mfano, itokee vita kati ya Iran na Marekani sasa hivi, ni nani unamwona ana uwezo wa kuibuka mshindi?"
iran,,
 
vitu kama hivyo watu wanapiga covert ops tu wanamalizana navyo........hata israel walistrike mageneral wa iran na kuwaua kule syria but huwez anzisha vita kwa design hio labda kama nchi iwe inaongozwa psychotic leader
yah,ni vitu vya kawaida tu,ndo maana israel walipoua jeneral wa iran kule syria,iran walilipa kisasi ndani ya saa 48
 
Unajua hata simba akibanwa na kundi la nyumbu lazima azimie hata kama amekula nyumbu zaidi ya buku tangia azaliwe.

Wakiamua kumtolea uvivu iran ni kitu cha wiki tuu wamesha ingia teheran kunywa chai za wenyeji.[emoji28] [emoji28] [emoji28]
amna kitu wale hata turkey anawakalisha tena mapema tu
 
yah,ni vitu vya kawaida tu,ndo maana israel walipoua jeneral wa iran kule syria,iran walilipa kisasi ndani ya saa 48
umeshaona kinachotakiwa kufanyika sasa,vita hazpiganw ovyo ovyo kijana pinguza mizuka
 
Mimi ni mwanafunzi katika kikosi cha ulinzi Baharini, nimesomea Ada(embedded systems) na nimejenga softwares mbalimbali za submarines na Rocket Launchers

Ningependa kuona hizo software zako japo kwa references na licenses. Software ambazo ni superior, mfano Linux kernel ina millions lines of code na ni mchango wa programmers kibao - ili software iwe nzuri inahitaji macho mengi kuipitia na kuitest intensively kabla ya release. Sasa sijui hizo kama umedevelop wewe peke yako na wakaamini kuwa tayari ni bora kwa matumizi au na jopo la programmers wengine, hiyo ni juu yako, sitaki jibu.
 
kamzengua lini na wapi?
Juzi juzi hapa walimwua General wao mmoja aliye kuwa ana randaranda huko syria na maofisa wa hesbolla. Wakala kichwa na iran ikaapa kulipiza kama kawaida na maneno kibao. Niambie nini walifanya kama sio kuufyata .
 
umeshaona kinachotakiwa kufanyika sasa,vita hazpiganw ovyo ovyo kijana pinguza mizuka
naona facts zako ziko mixed.
Iran sio ndo anaetaka vita,bali israel na marekani ndo wanaosema waishambulie iran,
eti kuna mtu alisemaga atawafuta kwenye ramani,sasa ndo wanatumia kisingizio hicho kupanga kuishambulia iran,
wakati wao wanapanga kuishambulia iran,iran nao wanajipanga kujibu mashambulizi iwapo watashambuliwa
 
Back
Top Bottom