UncleBen
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 9,693
- 12,326
Nilikisoma siku nyingi mkuu labda nipitie archives zangu kwa sasa nitakua nadanganya sikumbuki hizo operations ,japo mwanzo alianza kuelezea jinsi mossad ilivyotaka kum recruit Henry Paul kuwa informer wao wa Hotel ya Ritz inayomilikiwa na Mohammed Al Fayed ,baada ya Katsa kufanikiwa kumshawishi Henry Paul wiki moja mbele kama sikosei Ndio princess of Wales na boyfriend wake Dodi walifariki huku Henry Paul akiwa ndie anaendesha Benz lililopata ajalitutajie mkuu,operation hata 5,tulinganishe na za hezb