Kitu F-35 stealth ndani ya Israel

Kitu F-35 stealth ndani ya Israel

1467212154032.jpg
 
Kwanza hakuna ndege duniani ambayo ni completly stealth... Wanchofanya ni kureduce radar signature as much as possible yan kama kwwnye radar ndege inaonekana ukubwa wa punje ya harage basi kwa hizo 5th generation stealth fighter itaonekana ukubwa wa punje ya mtama... Ila hayo yote yanawezekana kwa wenye advanced radar systems kna russia na usa na wengine wakubwa dunia ila kwa sisi tanzania tunaotumia xband radars ndo itapita kimya wala hatutaona hata kidogo.... Kingine kuadd hapo n kwamba kila system in uzaif wake ndo mana f117 nighthawk ilitunguliwa na warusi ila zile steatlh black hawk zilizoenda kumuua osama bin laden kule pakistan hazikua detected kwa maana wale mapilailot wanajua jins ya kukwepa radar signature.. Ila kiujumla ni advance fighter kuliko zote kwa sasa.. For more info wikipedia.com somen

Maelezo yako mazuri mkuu. Je radar yetu iliyonunuliwa na Benjamen Mkapa? Vipi huo sio wizi na upotevu wa hela ukizingatia wenye nchi - ilikonunuliwa walisema ni mbovu?
 
Hao Iran Tanzania pekee inaweza kuwafuta kwenye uso wa dunia

Kwa mjibu wa Elungata ambaye aliwasifia kwa uwezo wa kivita bila kutumia vyombo vya maangamizi, kwa sababu amesema Marekani inatumia silaha za maangamizi, Iran itapigwa mchana kweupe na Tanzania, maana sisi kwa mbinu za kivita, hasa vya ardhini tunatisha, bado hatujatumia backup yetu uchawi, ili Iran ikirusha tu ndege tunazigeuza kuwa kunguru, achana na sisi!
 
Kwa mjibu wa Elungata ambaye aliwasifia kwa uwezo wa kivita bila kutumia vyombo vya maangamizi, kwa sababu amesema Marekani inatumia silaha za maangamizi, Iran itapigwa mchana kweupe na Tanzania, maana sisi kwa mbinu za kivita, hasa vya ardhini tunatisha, bado hatujatumia backup yetu uchawi, ili Iran ikirusha tu ndege tunazigeuza kuwa kunguru, achana na sisi!
Hahahaaaaaa sawa mkuu
 
Hahahaaaaaa sawa mkuu

Kuna wazee wanasema usidhani hatuna uwezo wa kujilinda dhidi ya adui yeyote yule duniani! Hivi umesahau George Bush alivyowahi kupiga mkwara kuwa hakuna nchi itaitisha Marekani kivita isipokuwa tu Tanzania ambayo wana uwezo wa kupigana nayo kwa muda wa nusu saa, nchi zingine zote hazifiki hata dakika 3? Kuna siri nyuma ya Tz.
 
Kuna wazee wanasema usidhani hatuna uwezo wa kujilinda dhidi ya adui yeyote yule duniani! Hivi umesahau George Bush alivyowahi kupiga mkwara kuwa hakuna nchi itaitisha Marekani kivita isipokuwa tu Tanzania ambayo wana uwezo wa kupigana nayo kwa muda wa nusu saa, nchi zingine zote hazifiki hata dakika 3? Kuna siri nyuma ya Tz.
Aaaaah kumbe!!!????
 
Kwa mjibu wa Elungata ambaye aliwasifia kwa uwezo wa kivita bila kutumia vyombo vya maangamizi, kwa sababu amesema Marekani inatumia silaha za maangamizi, Iran itapigwa mchana kweupe na Tanzania, maana sisi kwa mbinu za kivita, hasa vya ardhini tunatisha, bado hatujatumia backup yetu uchawi, ili Iran ikirusha tu ndege tunazigeuza kuwa kunguru, achana na sisi!
what about force projection,or blue water navy?
 
Kwa mjibu wa Elungata ambaye aliwasifia kwa uwezo wa kivita bila kutumia vyombo vya maangamizi, kwa sababu amesema Marekani inatumia silaha za maangamizi, Iran itapigwa mchana kweupe na Tanzania, maana sisi kwa mbinu za kivita, hasa vya ardhini tunatisha, bado hatujatumia backup yetu uchawi, ili Iran ikirusha tu ndege tunazigeuza kuwa kunguru, achana na sisi!

Mkuu Hao wairan tunawapelekea kikosi cha nyumbu tu kinawatosha Kama bado jamaa anabisha aulize congo kilichotokea Ndio atajua Tanzania tunavyotisha
 
haha ha,unajua hapa tunakatana tu ngebe,not something serious,ujue saa ingine inakera kuona mtu msomi na degree zake,ila likija suala kuhusu israel common sense ina evaporate,
israel ni binadamu tu kama wanadamu wengine,wao sio binadamu zaidi kuwazidi binadamu wengine

Pia inashangaza kweli kweli kuona mtu mzima na madigirii yake inapotajwa Iran tu mishipa inamsimama,povu mihemko na mahaba kibaaao ili kuitetea!!

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
Maelezo yako mazuri mkuu. Je radar yetu iliyonunuliwa na Benjamen Mkapa? Vipi huo sio wizi na upotevu wa hela ukizingatia wenye nchi - ilikonunuliwa walisema ni mbovu?
Rada la kiraia lile sio la kijeshi. Lina uwezo wa kuona fastjet ndani ya nautical miles chache na sio vinginevyo.
 
Sisi tupo kwenye usafi wakuu ,hiyo teknolojia ya wenzetu bado sana
 
Hiyo ni Nguvu yake mungu mwenyewe maana Aliapa kuilinda Israel yke hadi mwisho,,

Kila Aibarikie Israel atabarikiwa na kila Ailaanie Israe pia Atalaaniwa,,

Ni kiapo kikubwa sn hiki,, kwa Lugha rahisi unaweza kusema ,,kila Aipendae Israel naye Atapendwa na Mungu na kila atakaye thubutu kuipiga Israel basi Atachakazwa na Mungu mwenyewe kwa kutumia mkono ule ule wa mwanadamu,,

Shime tuipende sote Israel taifa letu la Tz nalo libarikiwe na Mungu wetu.[/QUO
duh cjui nikuelezee VP maana inaonekana ulisoma bible juujuu!
 
Back
Top Bottom