Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,343
- 33,503
nadhani ulikuwa bado hata hujajiunga hapa jf,tafuta nyuzi za wakati huo utaona iran walijibu ndani ya masaa 48,na mpaka leo israel amekaa kimyaJuzi juzi hapa walimwua General wao mmoja aliye kuwa ana randaranda huko syria na maofisa wa hesbolla. Wakala kichwa na iran ikaapa kulipiza kama kawaida na maneno kibao. Niambie nini walifanya kama sio kuufyata .