Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,316
- 33,112
Nimeshakuwa mganga Mkuu? umefika mbali sana nakuona..... mwenye sura ya nguvunaona ndo unafanya kazi yako ya uganga vp jamaa wanatafuta utajiri nini?
Paka wanakula Wa Nigeria hicho ni Kitoweo muhimu kwao.......wanakula?
Kwani nyinyi wahehe mnakula Paka?Kwa nini mshangae kitoweo cha Nigeria na mshindwe kushangaa kitoweo chetu cha Iringa???
Paka ni Big deal Nigeria.... huwezi kuwaona Paka Mitaani nchini Nigeria.kumbe paka ni deal eeh!?