Kiranga Platinum Member Joined Jan 29, 2009 Posts 87,466 Reaction score 151,513 Aug 16, 2026 #61 AVIETA said: Kanaendelea vizuri sana Leo hakika kanapona kama nilivyopromise Jana kuwa nitakapambania kapone Click to expand... Kazi nzuri. Asante sana kwa taarifa. Nasubiri picha ukipata nafasi.
AVIETA said: Kanaendelea vizuri sana Leo hakika kanapona kama nilivyopromise Jana kuwa nitakapambania kapone Click to expand... Kazi nzuri. Asante sana kwa taarifa. Nasubiri picha ukipata nafasi.
AVIETA Member Joined Apr 21, 2026 Posts 60 Reaction score 62 Aug 16, 2026 Thread starter #62 Kiranga said: Kazi nzuri. Asante sana kwa taarifa. Nasubiri picha ukipata nafasi. Click to expand... Attachments IMG_20260816_104150_749.jpg 180.7 KB · Views: 4 IMG_20260816_101845_361.jpg 306.8 KB · Views: 4 IMG_20260816_084400_292.jpg 1.3 MB · Views: 5 VID_20260816_084756.mp4 12.7 MB VID_20260816_105635.mp4 12.8 MB
M Magezi bugaga JF-Expert Member Joined Jul 7, 2021 Posts 1,700 Reaction score 2,220 Aug 16, 2026 #63 AVIETA said: Habari ndugu wanajamii, Nina kitoto cha mbwa umri miezi mitatu toka juzi ni kagonjwa hakataki chakula, kamelegea, kanalala TU, kalitapika juzi usiku naomba ushauri dawa Gani nitumie Click to expand... Parvo iyo ulitakiwa umchanje
AVIETA said: Habari ndugu wanajamii, Nina kitoto cha mbwa umri miezi mitatu toka juzi ni kagonjwa hakataki chakula, kamelegea, kanalala TU, kalitapika juzi usiku naomba ushauri dawa Gani nitumie Click to expand... Parvo iyo ulitakiwa umchanje
American nigga JF-Expert Member Joined Aug 8, 2014 Posts 890 Reaction score 1,511 Aug 16, 2026 #64 Eeh mkuu, hii ni hatari sana, mbwa mdogo akikataa chakula na kulala tu ni dalili mbaya. Usisubiri, peleka kwa daktari wa mifugo haraka, dawa za binadamu zinaweza kumdhuru. Ukiwa na mtaalamu karibu, ndio suluhisho pekee..
Eeh mkuu, hii ni hatari sana, mbwa mdogo akikataa chakula na kulala tu ni dalili mbaya. Usisubiri, peleka kwa daktari wa mifugo haraka, dawa za binadamu zinaweza kumdhuru. Ukiwa na mtaalamu karibu, ndio suluhisho pekee..
AVIETA Member Joined Apr 21, 2026 Posts 60 Reaction score 62 Aug 16, 2026 Thread starter #65 Magezi bugaga said: Parvo iyo ulitakiwa umchanje Click to expand... Nafanya hivyo kesho j3
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 175,907 Reaction score 193,925 Aug 16, 2026 #66 Mpeleke hospitali za mbwa... Cc: Mahondaw