Alnadaby
JF-Expert Member
- Sep 28, 2006
- 505
- 42
Kila atakayeusema vibaya utawala huu ataonekana shujaa tu. Mambo hayakuanza kuharibika leo. Taabu ya viongozi wetu wengi wa zamani wanayaona mabovu wakishawekwa kando.
Yote tisa wewe ndiye kumi.Umesema ukweli mtupu.