Dogoli kinyamkela
JF-Expert Member
- Nov 21, 2024
- 2,688
- 4,726
- Thread starter
- #41
Hii ipoje tenah š¤£kuku anavyokojoa wima.
Hii ipoje tenah š¤£kuku anavyokojoa wima.
JPM ndiye mwenyewe alipenda sana mambo haya.... Kuna siku alikuwa Anazindua miradi akajisemea eti.... Hivi siku sipo hii miradi nani ataiendeleza?.... Magufuli ndiye rais wa kwanza kutengeneza hali ya kuabudiwa, Magufuli ndiye muasisi wa kuhitaji kuongezewa muda! Magufuli ndiye kinara wa kutengeneza akina Kangi Lugola na Kabudi wakaanza Kumuabudu kama Mungu wao, matukio ya watu kutekwa kwa kasi yalianzia kwenye utawala wake, umesahau matukio ya Kibiti, je ile video ya Magaidi wa Msumbiji na eneo la Kitahiya hukuiona? Hayo yote Watanzania leo mmeyasahau? Naamini Magufuli angekuwepo angefuata nyazo za Kagame japo walikuwa wameshakuwa maaduiMzee wa Msoga ndiye alikuwa anasambaza hizo taarifa na kikundi chake ili kumuharibia JPM..
JPM ndiye mwenyewe alipenda sana mambo haya.... Kuna siku alikuwa Anazindua miradi akajisemea eti.... Hivi siku sipo hii miradi nani ataiendeleza?.... Magufuli ndiye rais wa kwanza kutengeneza hali ya kuabudiwa, Magufuli ndiye muasisi wa kuhitaji kuongezewa muda! Magufuli ndiye kinara wa kutengeneza akina Kangi Lugola na Kabudi wakaanza Kumuabudu kama Mungu wao, matukio ya watu kutekwa kwa kasi yalianzia kwenye utawala wake, umesahau matukio ya Kibiti, je ile video ya Magaidi wa Msumbiji na eneo la Kitahiya hukuiona? Hayo yote Watanzania leo mmeyasahau? Naamini Magufuli angekuwepo angefuata nyazo za Kagame japo walikuwa wameshakuwa maaduiMzee wa Msoga ndiye alikuwa anasambaza hizo taarifa na kikundi chake ili kumuharibia JPM..
Hawezi kufanya hivyo maana siku zote ndio style yake ndio hio kutanguliza machawa wamuongelee alafu yeye anakuja kumalizia tu, ndiomaana hakanushiSamia anatakiwa kuitolea kauli hoja hii ili watu waelewe msimamo wake ni upi.
Si kutuacha tunajadili kauli za wapambe ambazo zinaweza kuwa zao tu, au zina baraka zake Samia, tunajadili habari tukiwa gizani bila kujua kipi ni kipi.
Na iwapo hataitolea kauli hoja hii, tafsiri ya watu wanaotumia akili itakuwa kwamba, hoja hii imetolewa, au angalau imebarikiwa, na Samia mwenyewe.
Na tafsiri hii itakuwa ya sawa.
Hususan kwa sababu huyu moambe si mpambe wa kawaida tu, huyu mpambe ameshawahi kutoa kauli ambazo zilikuja kutimilika kwa vitendo vya serikaki ya Samia.
Kitaalamu asipokanusha ni jibu tosha kwamba amekubali yaliyosemwa.Hawezi kufanya hivyo maana siku zote ndio style yake ndio hio kutanguliza machawa wamuongelee alafu yeye anakuja kumalizia tu, ndiomaana hakanushi
š Ya leo kaliWaislamu hawana shida na madaraka,
Hawajioni Mungu mtu,
Hii shida iko kwa wagalatia, akipata madaraka anajiona Mungu,
Angalia hata huko makazini kwenu, ukiongozwa na mkiristo hasa wa nyanda za juu kusaini au kaskazini lazima mpate taabu,
Wakristo wasio na shida ni wale waliokulia mikoa yenye waislamu wengi,, wanakuwa hawana uchu na madaraka au hawajioni mungu mtu
Hachuchumai.Hii ipoje tenah š¤£
Tujitahidi Watanzania, tuweke mwenye damu ya JPM.Napata maono kabisa 2030 hatuta taka kuachia ngaz KITI hiki kitang'ang'aniwa tuendelee kumilik upya,save huu Uzi.
UdiniWaislamu hawana shida na madaraka,
Hawajioni Mungu mtu,
Hii shida iko kwa wagalatia, akipata madaraka anajiona Mungu,
Angalia hata huko makazini kwenu, ukiongozwa na mkiristo hasa wa nyanda za juu kusaini au kaskazini lazima mpate taabu,
Wakristo wasio na shida ni wale waliokulia mikoa yenye waislamu wengi,, wanakuwa hawana uchu na madaraka au hawajioni mungu mtu
watatangaza huo ushindi?Whatever the case, kama atagombea huo uchaguzi utadorora zaidi ya uliopita. Idadi ya wapiga kura itapungua zaidi. Labda kama ataamua kushindwa kwenye kura hapo watu watajitokeza kupiga kura na wapinzani watashinda
Wanawake wameingia vipi kwenye mada?Anatoa mfano halisi wa namna wanawake wa siku hizi walivyo. Mwanamke haaminiki.
Mada kuu ni mwanamke.Wanawake wameingia vipi kwenye mada?
Hiyo mada wewe umetoa wapi?Mada kuu ni mwanamke.
Angalia vema utaona tu.Ving'ang'a!Hiyo mada wewe umetoa wapi?
Au tunaona tofauti?
Mimi nimesoma mada ni kiti kung'ang'aniwa.
Lile puuzi limetumwa tena kupima upepo bungeni.Napata maono kabisa 2030 hatuta taka kuachia ngaz KITI hiki kitang'ang'aniwa tuendelee kumilik upya,save huu Uzi.
Unaamua kabisa kujizima data unasahau kama humuhumu ndani kuna watu walisema watanzania hawawezi kuandamana wakaandamana Tanzania ya leo kila kitu kinawezekana na wana CCM watakubali na maisha ya kama Uganda yataendeleaHaiwezi tokea hiyo. Wenzie walikaa pembeni.