Kiti kung'ang'aniwa 2030

Kiti kung'ang'aniwa 2030

Anaweza kugoma kutoka kwa sababu ya kuogopa mashtaka ya mauaji.Pili,uongozi/uongo umemfanya adhanie yupo juu mawinguni/untouchable.Tatu,uhondo,kunyenyekewa na kufanywa nusu-mungu unamfanya mtu kuwa zuzu-nguli.
Yes.
Hasa hili la kuogopa kushtakiwa ndiyo linaniwazisha.. Akiwaza kuwa niache hii Heshima yote nije kuitwa Mtuhumiwa na kuanza kupandishwa Vizimbani ilhali ninaweza ku twist mambo niendelee kuwatawala Mpaka pale Roho itakapoacha mwili..
 
Waislamu hawana shida na madaraka,

Hawajioni Mungu mtu,

Hii shida iko kwa wagalatia, akipata madaraka anajiona Mungu,

Angalia hata huko makazini kwenu, ukiongozwa na mkiristo hasa wa nyanda za juu kusaini au kaskazini lazima mpate taabu,

Wakristo wasio na shida ni wale waliokulia mikoa yenye waislamu wengi,, wanakuwa hawana uchu na madaraka au hawajioni mungu mtu
🤔🤔
 
Whatever the case, kama atagombea huo uchaguzi utadorora zaidi ya uliopita. Idadi ya wapiga kura itapungua zaidi. Labda kama ataamua kushindwa kwenye kura hapo watu watajitokeza kupiga kura na wapinzani watashinda
 
Mbona kipindi Cha jiwe alikuwa anapigiwa chapuo aendelee.

Hakuna kipya
Kisima ni kile kile
Maji ni Yale Yale
Ila mwataka kubadilisha kata
Aendelee
Huyu nchi imemshinda , jambo hilo hata hao ccm sidhani kama wanalitaka
 
Waislamu hawana shida na madaraka,

Hawajioni Mungu mtu,

Hii shida iko kwa wagalatia, akipata madaraka anajiona Mungu,

Angalia hata huko makazini kwenu, ukiongozwa na mkiristo hasa wa nyanda za juu kusaini au kaskazini lazima mpate taabu,

Wakristo wasio na shida ni wale waliokulia mikoa yenye waislamu wengi,, wanakuwa hawana uchu na madaraka au hawajioni mungu mtu
Ila kuiba , kuteka na kuua ndio mambo yenu😁
 
Ila kuiba , kuteka na kuua ndio mambo yenu😁
Umesahau magufuli ndo alitengeneza hii department,

Nadhani SSH kashindwa kuifuta tu, amepunguza tu viroba vya watu haviokotwi tena kunduchi.

Au mmesahau viroba vilivokuwa vinaokotwa kimya kimya
 
Back
Top Bottom