Kitendo cha Rais kusimamisha hotuba kisa Adhana ya waislam imakaaje hii kitaifa?

Mleta hoja,jiulize kwa nini Rais na viongozi wengine wote wa Serikali wanakula viapo wakiwa wameshika Masahafu au Bibilia, wakati wao Ni viongozi wa Serikali na siyo viongozi wa dini.
 
Mkuu kama imekuuma kunywa sumu
damn.png
 
eti umeumia Rais kusitisha hotuba kupisha adhana kwa hoja eti Serikali haina dini

ila huumii Serikali hiyo hiyo isiyo na dini kupeleka Mamilion ya Serikali isiyo na dini kwny Taasisi za dini kwa kigezo cha kuboresha huduma za kijamii na kuacha kupeleka kwny Taasisi zake
 
Yesu Mnayempambania wala hakuwa na hizo.

Wadhambi, Mafarisayo, Watoza Ushuru, Makahaba, Alipiga nao stori kabisa yani.

Imagine muujiza wake wa kwanza ni kugeuza maji kuwa divai!!
Manake aliwajali na walevi.

Niiiiiiiinyi sasa MASALIIIIIAAA!!

Yani mtu asitii Imani yake mshanyanyua kope.

Hem jamani.
 
Yesu hajawahi kupambaniwa na mtu! Huyo sio Muhammad mzee! Akisemwa vibaya mnabwatuka! Muhammad alikuja baada ya miaka 600 Kristo alishafanya yake! Ndo akaanza kuototeza vijisentensi kwenye biblia!
Yesu Mnayempambania wala hakuwa na hizo.

Wadhambi, Mafarisayo, Watoza Ushuru, Makahaba, Alipiga nao stori kabisa yani.

Imagine muujiza wake wa kwanza ni kugeuza maji kuwa divai!!
Manake aliwajali na walevi.

Niiiiiiiinyi sasa MASALIIIIIAAA!!

Yani mtu asitii Imani yake mshanyanyua kope.

Hem jamani.
 
Kama umekasirika wewe jinyee tu mzee... kwanza unateseka ukiwa wapi kiongozi?
 
Leo tarehe 1/5/2022 Rais akiwa anawahutubia wafanyakazi Dodoma katika siku muhimu ya wafanyakazi duniani, ilitokea kusitishwa hotuba Kwa dk kama 3 na Rais pale Adhana ya mchana ilipokuwa ikisika kutokea msikitini karibu na uwanja wa Dodoma.

Hivi wadau wa utaifa hili lilipaswa kufanywa na Rais kiongozi mkuu wa Serikali ambaye tuna amini anaongoza SERIKALI ISIYO NA DINI?

Wananchi wakristo inabidi tuendelee kuvumilia tu kama msingi wa dini yetu.
We ni lichawi
 
Umeathirika vipi wewe??? Imani yake inamuelekeza kunyamaza pale anaposkia adhana.

Sawa serikali haina dini ila yeye si anayo dini yake?? Mbona watu mna nongwa sana??
Binadam tunashida kubwa sana Mungu atunusuru na adhabu zake. Maake hapo kwanza ncheke
 
Leo tarehe 1/5/2022 Rais akiwa anawahutubia wafanyakazi Dodoma katika siku muhimu ya wafanyakazi duniani, ilitokea kusitishwa hotuba Kwa dk kama 3 na Rais pale Adhana ya mchana ilipokuwa ikisika kutokea msikitini karibu na uwanja wa Dodoma.

Hivi wadau wa utaifa hili lilipaswa kufanywa na Rais kiongozi mkuu wa Serikali ambaye tuna amini anaongoza SERIKALI ISIYO NA DINI?

Wananchi wakristo inabidi tuendelee kuvumilia tu kama msingi wa dini yetu.
Inaonyesha ni Kiongozi anayeheshimu ibada na uchaji kwa Mungu wake.hii haijalishi ni dini gani.Hivyo anayo hofu ya Mungu.Kama kuna raisi huko nyuma ulikuwa unadhani ni mtu mwenye hofu ya Mungu halafu haheshimu maswala ya dini jua alikuwa anakuzuga
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Leo tarehe 1/5/2022 Rais akiwa anawahutubia wafanyakazi Dodoma katika siku muhimu ya wafanyakazi duniani, ilitokea kusitishwa hotuba Kwa dk kama 3 na Rais pale Adhana ya mchana ilipokuwa ikisika kutokea msikitini karibu na uwanja wa Dodoma.

Hivi wadau wa utaifa hili lilipaswa kufanywa na Rais kiongozi mkuu wa Serikali ambaye tuna amini anaongoza SERIKALI ISIYO NA DINI?

Wananchi wakristo inabidi tuendelee kuvumilia tu kama msingi wa dini yetu.
Hivi mleta mada na wewe umekaa na ukaona hii ndio kero pekee uliyonayo moyoni mwako?

Nikuambie ukweli....punguza upumbavu.
 
Kuepeuka adhabu ni kumkiri Yesu kuwa alizaliwa akafa akafufuka akapaa mbinguni na ameketi mkono wa kiume wa Mungu mwenyezi na atarudi kuja kuhukumu wazima na wafu! Tofauti na hapo endelea kusikiriza hadithi za mtume!
Binadam tunashida kubwa sana Mungu atunusuru na adhabu zake. Maake hapo kwanza ncheke
emoji23.png
emoji23.png
 
Leo tarehe 1/5/2022 Rais akiwa anawahutubia wafanyakazi Dodoma katika siku muhimu ya wafanyakazi duniani, ilitokea kusitishwa hotuba Kwa dk kama 3 na Rais pale Adhana ya mchana ilipokuwa ikisika kutokea msikitini karibu na uwanja wa Dodoma.

Hivi wadau wa utaifa hili lilipaswa kufanywa na Rais kiongozi mkuu wa Serikali ambaye tuna amini anaongoza SERIKALI ISIYO NA DINI?

Wananchi wakristo inabidi tuendelee kuvumilia tu kama msingi wa dini yetu.
Kama mkristo wa kweli Ni jambo jema sana kuheshimu imani ya watu...
Pili Msikiti ule upo karibu sana na uwanja wa Jamhuri kiasi kwamba kunakuwepo na muingiliano mkubwa wa sauti...

Kwa kuwa unajua kuandika... andika hoja nyingine. Hizi za dini achana nazo!
 
Kuepeuka adhabu ni kumkiri Yesu kuwa alizaliwa akafa akafufuka akapaa mbinguni na ameketi mkono wa kiume wa Mungu mwenyezi na atarudi kuja kuhukumu wazima na wafu! Tofauti na hapo endelea kusikiriza hadithi za mtume!
Nanyie mnajichanganya sana, yesu ndio mungu halafu akapaa mbinguni kukaa mkono wa kiume wa mungu sasa mungu huko kwenu wapo wangapi?
 
Sawa ni maoni yako! Ukumbuke hata uislam unakiri kuwa Yesu ndo atakuja kuhukumu ulimwengu! Sasa hapo wakumfata nani? Anayekueleza brabra za hadithi au atakayekuja kuhukumu? Wewe jiulize tu kujua uongo wa uislam ni pale unapoambiwa kule ahera kuna moto ya pombe na mabikira 70 wanaobadilika rangi mara elfu kwa siku! Hapo ujiongeze mwenyewe kama haumwabudu shetani mwenyewe anayejivika Umungu kwa kujificha kwenye vitabu wa torati za Mussa!
Nanyie mnajichanganya sana, yesu ndio mungu halafu akapaa mbinguni kukaa mkono wa kiume wa mungu sasa mungu huko kwenu wapo wangapi?
 
Back
Top Bottom