Chikuvi2021
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 459
- 518
Mleta hoja,jiulize kwa nini Rais na viongozi wengine wote wa Serikali wanakula viapo wakiwa wameshika Masahafu au Bibilia, wakati wao Ni viongozi wa Serikali na siyo viongozi wa dini.
Mkuu kama imekuuma kunywa sumu
Yesu Mnayempambania wala hakuwa na hizo.
Wadhambi, Mafarisayo, Watoza Ushuru, Makahaba, Alipiga nao stori kabisa yani.
Imagine muujiza wake wa kwanza ni kugeuza maji kuwa divai!!
Manake aliwajali na walevi.
Niiiiiiiinyi sasa MASALIIIIIAAA!!
Yani mtu asitii Imani yake mshanyanyua kope.
Hem jamani.
Ni Kuagwa siyo kuapishwa... tena wakamsifu kweli Kenyata sasa leo tena nashangaa imekuwa nongwa kwa SamiaJambo la kiungwana sana hili
Nakumbuka hata uhuru kenyatta pia alifanya hivyo nadhani siku magu anaapishwa
We ni lichawiLeo tarehe 1/5/2022 Rais akiwa anawahutubia wafanyakazi Dodoma katika siku muhimu ya wafanyakazi duniani, ilitokea kusitishwa hotuba Kwa dk kama 3 na Rais pale Adhana ya mchana ilipokuwa ikisika kutokea msikitini karibu na uwanja wa Dodoma.
Hivi wadau wa utaifa hili lilipaswa kufanywa na Rais kiongozi mkuu wa Serikali ambaye tuna amini anaongoza SERIKALI ISIYO NA DINI?
Wananchi wakristo inabidi tuendelee kuvumilia tu kama msingi wa dini yetu.
Binadam tunashida kubwa sana Mungu atunusuru na adhabu zake. Maake hapo kwanza nchekeUmeathirika vipi wewe??? Imani yake inamuelekeza kunyamaza pale anaposkia adhana.
Sawa serikali haina dini ila yeye si anayo dini yake?? Mbona watu mna nongwa sana??
Inaonyesha ni Kiongozi anayeheshimu ibada na uchaji kwa Mungu wake.hii haijalishi ni dini gani.Hivyo anayo hofu ya Mungu.Kama kuna raisi huko nyuma ulikuwa unadhani ni mtu mwenye hofu ya Mungu halafu haheshimu maswala ya dini jua alikuwa anakuzugaLeo tarehe 1/5/2022 Rais akiwa anawahutubia wafanyakazi Dodoma katika siku muhimu ya wafanyakazi duniani, ilitokea kusitishwa hotuba Kwa dk kama 3 na Rais pale Adhana ya mchana ilipokuwa ikisika kutokea msikitini karibu na uwanja wa Dodoma.
Hivi wadau wa utaifa hili lilipaswa kufanywa na Rais kiongozi mkuu wa Serikali ambaye tuna amini anaongoza SERIKALI ISIYO NA DINI?
Wananchi wakristo inabidi tuendelee kuvumilia tu kama msingi wa dini yetu.
Hivi mleta mada na wewe umekaa na ukaona hii ndio kero pekee uliyonayo moyoni mwako?Leo tarehe 1/5/2022 Rais akiwa anawahutubia wafanyakazi Dodoma katika siku muhimu ya wafanyakazi duniani, ilitokea kusitishwa hotuba Kwa dk kama 3 na Rais pale Adhana ya mchana ilipokuwa ikisika kutokea msikitini karibu na uwanja wa Dodoma.
Hivi wadau wa utaifa hili lilipaswa kufanywa na Rais kiongozi mkuu wa Serikali ambaye tuna amini anaongoza SERIKALI ISIYO NA DINI?
Wananchi wakristo inabidi tuendelee kuvumilia tu kama msingi wa dini yetu.
Binadam tunashida kubwa sana Mungu atunusuru na adhabu zake. Maake hapo kwanza ncheke
Kama mkristo wa kweli Ni jambo jema sana kuheshimu imani ya watu...Leo tarehe 1/5/2022 Rais akiwa anawahutubia wafanyakazi Dodoma katika siku muhimu ya wafanyakazi duniani, ilitokea kusitishwa hotuba Kwa dk kama 3 na Rais pale Adhana ya mchana ilipokuwa ikisika kutokea msikitini karibu na uwanja wa Dodoma.
Hivi wadau wa utaifa hili lilipaswa kufanywa na Rais kiongozi mkuu wa Serikali ambaye tuna amini anaongoza SERIKALI ISIYO NA DINI?
Wananchi wakristo inabidi tuendelee kuvumilia tu kama msingi wa dini yetu.
Magu anaapishwa? Mwili wa magu ulikuwa unaagwaJambo la kiungwana sana hili
Nakumbuka hata uhuru kenyatta pia alifanya hivyo nadhani siku magu anaapishwa
Nanyie mnajichanganya sana, yesu ndio mungu halafu akapaa mbinguni kukaa mkono wa kiume wa mungu sasa mungu huko kwenu wapo wangapi?Kuepeuka adhabu ni kumkiri Yesu kuwa alizaliwa akafa akafufuka akapaa mbinguni na ameketi mkono wa kiume wa Mungu mwenyezi na atarudi kuja kuhukumu wazima na wafu! Tofauti na hapo endelea kusikiriza hadithi za mtume!
Pale kuna msikiti unasikika adhana yake?Hata Peter Kibatala kwenye kesi ya UHUJUMU UCHUMI pale mawasiliano alifanya hivyo
Nanyie mnajichanganya sana, yesu ndio mungu halafu akapaa mbinguni kukaa mkono wa kiume wa mungu sasa mungu huko kwenu wapo wangapi?
Alifanyia hapo hapo Dom sio chatoMara ya kwanza alifanya Uhuru Kenyata kule Chatto wakati wa Mazishi ya JPM