Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,796
- 71,214
Atujibu kwanza post [HASHTAG]#100[/HASHTAG]Wewe msichana CHADEMA inakuuma nini? Kama kaingia KK wewe inakuhusu nini? Mbona hujishangai wewe umeingia CCM juzi tu leo waziri wakati kuna waliozaliwa humo na hawajawahi kuwa mawaziri.
Umemzidi hata Nape!