Kapu la mjanja mjinga hatii mkpnoIgwe wanaJF!
Maajabu hayaishi, Chadema sikio la kufa. Ndugu Lazaro Nyalandu amehudhuria kikao cha kamati kuu ya Chadema. Ikumbukwe kikao cha KK hujadili mambo ya juu na ya siri kubwa. Hii ni dalili ya kuwa 'Kamanda' Nyalandu sasa kaingia kunako chungu.
Hongera Nyalandu kwa kuaminiwa mapema ndani ya Chadema.
Picha zinakujia muda mfupi.