TESRA
JF-Expert Member
- Nov 25, 2017
- 333
- 321
-Hakuna mtu yeyote aliweza ona kimondo cha mbozi kikidondoka. ilikuwa mwaka 1930 ambapo mzee halele aliyekuwa mhunzi wa chuma eneo hilo ndiye mgunduzi wa jiwe hilo.Less creative
Kijiji kingeachwa na kuboreshwa ili watalii wakija wapige story na Mashuhuda jinsi kimondo kilivyo piga hiyo siku....mijitu inawaza kupiga
-Niliwai tembelea eneo la kimondo na nilimuuliza msimamizi wa hicho kimondo sababu za kuto kujua umri wa kimondo hicho toka kimekuwepo ardhini pale. alisema wakati tu kimondo kimegunduliwa kwa wakati huo, udongo wote wa pembeni uliokuwa unazunguka kimondo hicho uliondolewa kimakosa pasipo kujua faida ya udongo katika kupima umri wa kimondo kuwepo pale ardhini sababu ule udongo uliogusana na kimondo unakuwa na layers mbalimbali ambazo zingetumika kutambua umri wa kimondo hicho tangu kimekuwepo pale.
-Mfano ni kimondo cha Hoba kilichopo Namibia kiligunduliwa miaka nyuma kadhaa kabla ya kimondo cha mbozi, ilikuwa mwaka 1920's lakini wameweza kujua umri wa kimondo cha Hoba uwepo wake pale ardhini, ni umri wa miaka 8,0000 iliyopita, hii inatokana na kuto kualibiwa kwa scene ya kimondo hicho.