Kitendo cha IGP Sirro kutoa hukumu ya Ugaidi wa Mbowe huku kesi ikiwa Mahakamani ni Uhalifu. Napendekeza kesi hiyo ifutwe haraka

Wote bila shaka mmemsikia Mkuu wa jeshi la Polisi wa Tanzania Mtukufu IGP Simon Sirro , kauli yake hii ni sawa na kulazimisha mahakama kutenda ayanenayo.

Sirro anafahamu kwamba Sheria inakataza yaliyo Mahakamani kujadiliwa vijiweni , na hasa kama anayejadili ana maslahi kwenye kesi iliyo mahakamani , kama yeye Sirro alivyo na maslahi binafsi kwenye kesi hii , lakini ameamua kupuuza ili kumrahisishia maamuzi hakimu wao wanayemtumia kumkomoa Mbowe na Chadema.

Sirro anapaswa kuleta ushahidi wake Mahakamani , badala ya kupiga filimbi mitaani , OMARI MAHITA alikuwa IGP Ambaye rekodi yake ya ukatili haijavunjwa hadi leo , lakini baada ya kustaafu ALISHITAKIWA MAHAKAMANI KWA KESI YA KUMBAKA HOUSE GIRL WAKE MWENYEWE, NA KUMPACHIKA MIMBA KISHA KURUKA MATUNZO YA MTOTO , wala ccm aliyoipigania haikumuokoa kwenye aibu ile , nani aliyesahau jambo hili ? Sirro ajifunze kutenda haki ili asije kudhalilika huko mbele, Cheo ni dhamana ya muda mfupi tu .

Pamoja na Omari Mahita kujenga msikiti Morogoro lakini watukufu waislam wamekataa kuutumia ili kuogopa kunajisi udhu wao kwa kuswali kwenye msikiti wa katili aliyeiona ccm ni bora kuliko Allah Subhhannah.

Mwisho napendekeza kesi ya Mbowe ifutiliwe mbali kwa maana ni ya uongo , na IGP Sirro atimuliwe kazi kabla jua halijazama.

Haya mabango nimeyaona Leo Mkoani Mwanza na Shinyanga kama sikosei naamini haki itatendeka
 
Wote bila shaka mmemsikia Mkuu wa jeshi la Polisi wa Tanzania Mtukufu IGP Simon Sirro , kauli yake hii ni sawa na kulazimisha mahakama kutenda ayanenayo.

Sirro anafahamu kwamba Sheria inakataza yaliyo Mahakamani kujadiliwa vijiweni , na hasa kama anayejadili ana maslahi kwenye kesi iliyo mahakamani , kama yeye Sirro alivyo na maslahi binafsi kwenye kesi hii , lakini ameamua kupuuza ili kumrahisishia maamuzi hakimu wao wanayemtumia kumkomoa Mbowe na Chadema.

Sirro anapaswa kuleta ushahidi wake Mahakamani , badala ya kupiga filimbi mitaani , OMARI MAHITA alikuwa IGP Ambaye rekodi yake ya ukatili haijavunjwa hadi leo , lakini baada ya kustaafu ALISHITAKIWA MAHAKAMANI KWA KESI YA KUMBAKA HOUSE GIRL WAKE MWENYEWE, NA KUMPACHIKA MIMBA KISHA KURUKA MATUNZO YA MTOTO , wala ccm aliyoipigania haikumuokoa kwenye aibu ile , nani aliyesahau jambo hili ? Sirro ajifunze kutenda haki ili asije kudhalilika huko mbele, Cheo ni dhamana ya muda mfupi tu .

Pamoja na Omari Mahita kujenga msikiti Morogoro lakini watukufu waislam wamekataa kuutumia ili kuogopa kunajisi udhu wao kwa kuswali kwenye msikiti wa katili aliyeiona ccm ni bora kuliko Allah Subhhannah.

Mwisho napendekeza kesi ya Mbowe ifutiliwe mbali kwa maana ni ya uongo , na IGP Sirro atimuliwe kazi kabla jua halijazama.

Tulia gaidi mbowe lipate hudumiwa linapostahili
 
Haya mabango nimeyaona Leo Mkoani Mwanza na Shinyanga kama sikosei naamini haki itatendeka
Kuna choo pia stendi fulani ya mabasi karibu na tundu kabisa la choo wameandika hivyo na mshale wakauchora kuelekea ndani ya hilo tundu...
 
Kwani ninyi mna ushahidi gani kuwa mbowe hawezi kufanya mambo yaho moyo wa mtu ni kichaka
 
Wote bila shaka mmemsikia Mkuu wa jeshi la Polisi wa Tanzania Mtukufu IGP Simon Sirro , kauli yake hii ni sawa na kulazimisha mahakama kutenda ayanenayo.

Sirro anafahamu kwamba Sheria inakataza yaliyo Mahakamani kujadiliwa vijiweni , na hasa kama anayejadili ana maslahi kwenye kesi iliyo mahakamani , kama yeye Sirro alivyo na maslahi binafsi kwenye kesi hii , lakini ameamua kupuuza ili kumrahisishia maamuzi hakimu wao wanayemtumia kumkomoa Mbowe na Chadema.

Sirro anapaswa kuleta ushahidi wake Mahakamani , badala ya kupiga filimbi mitaani , OMARI MAHITA alikuwa IGP Ambaye rekodi yake ya ukatili haijavunjwa hadi leo , lakini baada ya kustaafu ALISHITAKIWA MAHAKAMANI KWA KESI YA KUMBAKA HOUSE GIRL WAKE MWENYEWE, NA KUMPACHIKA MIMBA KISHA KURUKA MATUNZO YA MTOTO , wala ccm aliyoipigania haikumuokoa kwenye aibu ile , nani aliyesahau jambo hili ? Sirro ajifunze kutenda haki ili asije kudhalilika huko mbele, Cheo ni dhamana ya muda mfupi tu .

Pamoja na Omari Mahita kujenga msikiti Morogoro lakini watukufu waislam wamekataa kuutumia ili kuogopa kunajisi udhu wao kwa kuswali kwenye msikiti wa katili aliyeiona ccm ni bora kuliko Allah Subhhannah.

Mwisho napendekeza kesi ya Mbowe ifutiliwe mbali kwa maana ni ya uongo , na IGP Sirro atimuliwe kazi kabla jua halijazama.

 
Bando langu
Simu yangu,
Halafu unipangia cha kuandika!!
Kama unaumia acheni ugaidi.
Askari wakamuuliza Yesu tufanyaje ili tuurithi ufalme wa Mungu? Yesu akajibu akawaambia MSIWASHITAKI WATU KWA UONGO.( YESU alijua ili la kubambikiza watu kesi ni njia inayowapeleka Askari wengi Jehanamu)
 
Ila ya Sabaya ilipojadiliwa kwenye vijiwe bado haijawa VOID sio? Au kisa anaejadiliwa hapa ni Mbowe?

Tulieni sasa.
Tofautisha anayejadili na mazingira yakujadiliwa, Huyo aliyeongea ni IGP ambaye anajua sheria vizuri bila shaka sasa unamlinganisha na watu wanaojadili vijiweni wana madhara gani na power gani kwa mahakama?
 
Unajitekenya halafu unalazisha ucheke mwenyewe sasa kesi ya mahita inakujaje sasa hivi mbona hujaizungumzia kesi ya lema naye ana kesi ya kubaka pia yaani jeuri yenu imekwisha sirro kasema mumuulize mshitakiwa mambo hayo aliyouliza awajibu unakuja kuharisha hapa ooo mahita alibaka hivi huja maliza kusaini yale makaratasi ya kumtoa mbowe? bado anayea ndoo mwenzio kamsaidie
We kima kwel
 
heeee inamaana hata alivyosema mkamuulize DJ we bintihujasikia? utakuwa na matatizo wewe
Mkuu kama hujasoma sheria sikulaumu. Kauli za IGP ni kielelezo tosha kwamba anaishurutisha mahakama iende kwenye mwelekeo autakao maana huwezi kusema nendeni mkamuulize mhusika kwa maana ana ushahidi tosha.

Halafu kesi ikiwa mahakamani huwezi kusema kwamba una ushahidi wa kutosha tena unazungumza nje ya mahakama.

This case is void abinito
 
Wote bila shaka mmemsikia Mkuu wa jeshi la Polisi wa Tanzania Mtukufu IGP Simon Sirro , kauli yake hii ni sawa na kulazimisha mahakama kutenda ayanenayo.

Sirro anafahamu kwamba Sheria inakataza yaliyo Mahakamani kujadiliwa vijiweni , na hasa kama anayejadili ana maslahi kwenye kesi iliyo mahakamani , kama yeye Sirro alivyo na maslahi binafsi kwenye kesi hii , lakini ameamua kupuuza ili kumrahisishia maamuzi hakimu wao wanayemtumia kumkomoa Mbowe na Chadema.

Sirro anapaswa kuleta ushahidi wake Mahakamani , badala ya kupiga filimbi mitaani , OMARI MAHITA alikuwa IGP Ambaye rekodi yake ya ukatili haijavunjwa hadi leo , lakini baada ya kustaafu ALISHITAKIWA MAHAKAMANI KWA KESI YA KUMBAKA HOUSE GIRL WAKE MWENYEWE, NA KUMPACHIKA MIMBA KISHA KURUKA MATUNZO YA MTOTO , wala ccm aliyoipigania haikumuokoa kwenye aibu ile , nani aliyesahau jambo hili ? Sirro ajifunze kutenda haki ili asije kudhalilika huko mbele, Cheo ni dhamana ya muda mfupi tu .

Pamoja na Omari Mahita kujenga msikiti Morogoro lakini watukufu waislam wamekataa kuutumia ili kuogopa kunajisi udhu wao kwa kuswali kwenye msikiti wa katili aliyeiona ccm ni bora kuliko Allah Subhhannah.

Mwisho napendekeza kesi ya Mbowe ifutiliwe mbali kwa maana ni ya uongo , na IGP Sirro atimuliwe kazi kabla jua halijazama.

Boss nawe una kazi! KIla siku ni kutetea Mbowe! Au una nini na yeye?
Polisi ni haki yao kutuhumu uharifu. Ndo maana wanakututusa hadi mahakamani. Na ni kazi yao kushawishi mahakama kwamba ushahidi ni huu! sasa wewe unahangaikaaaaa!
 
Boss nawe una kazi! KIla siku ni kutetea Mbowe! Au una nini na yeye?
Polisi ni haki yao kutuhumu uharifu. Ndo maana wanakututusa hadi mahakamani. Na ni kazi yao kushawishi mahakama kwamba ushahidi ni huu! sasa wewe unahangaikaaaaa!
Nyerere angekuwa na mawazo ya kindezi kama yako nchi hii isingepata uhuru milele
 
Back
Top Bottom