Kitakachofuata kwa Mdee na wenzake baada ya Rais Samia kuhudhuria mwaliko wa kongamano la BAWACHA, kitawaumiza sana CHADEMA

Tafakari yetu

JF-Expert Member
Apr 19, 2021
1,502
4,408
Keshokutwa ni siku ya wanawake duniani na tayari BAWACHA kupitia Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe.Mbowe wamempa mualiko Mhe.Rais wa kuhudhuria kongamao la BAWACHA.

Kwa mtazamo wangu Jambo hilo sidhani kama litawezekana Mhe.Rais kuhudhuria. Kwanza Kongamano hilo litafanyika Kilimanjaro hivyo uwezekano wa kurudi kanda ileile baada ya siku tatu kutokea Arusha nafikiri ni jambo gumu ila linawezekana. Pia, yawezekana kuna mialiko mingine karibu zaidi kapatiwa kulingana na ratiba yake.

Yote kwa yote, kuhudhuria na kutohudhuria kunatokana na ratiba yake. Tuachane na kutohudhuria na sasa tujikite kwenye kuhudhuria.

Kuhudhuria kwa Rais Samia kwenye kongamano hilo kwa mtazamo wangu itahitimisha ile safari ndefu ya ni nini hatima ya Mdee na wenzake.

Siku hiyo Rais atatangaza upatinisho wa Mdee na wenzake na Chama chao. Baada ya Rais kuwapatanisha , Mbowe atatangaza kuwakuba Tena kama wanachama halali na hapo 'handshake' itafanyika na hatima ya Mdee na wenzake itajulikana.

Kitendo hicho kitawatesha sana wanachama wa kawaida wa CHADEMA na watapitia mateso makali sana. Na hapo ndipo swali litaibuka, Je kurejea kwa Mdee ni asset au liability?

Sitaki kusema leo kwamba ni asset au ni liability kwa sababu mateso ya wanaCHADEMA yataongezeka zaidi.

Kitakachofuata ni kwamba kesi ya Mdee na wenzake itafutwa na CHADEMA hawatoonesha nia ya kuendelea nayo.
 
1. Waliofungua kesi ni Halima na wenzake. Hivyo wakiifuta maana yake wamekubaliana na uamuzi wa kufukuzwa Chadema. Na itapelekea kufukuzwa ubunge.

2. Msamaha bado hautakuwa na tija kwa kina Halima. Jambo ambalo litakuwa na tija ni kutenguliwa kwa uamuzi wa Baraza Kuu kuwafukuza uanachama.

3. Mahakama inatakiwa kutengua uamuzi wa Baraza Kuu kuwafukuza Halima na wenzake. Kinyume na hapo huu mkwamo utaendelea kuwepo.
 
Keshokutwa ni siku ya wanawake duniani na tayari BAWACHA kupitia Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe.Mbowe wamempa mualiko Mhe.Rais wa kuhudhuria kongamao la BAWACHA.

Kwa mtazamo wangu Jambo hilo sidhani kama litawezekana Mhe.Rais kuhudhuria. Kwanza Kongamano hilo litafanyika Kilimanjaro hivyo uwezekano wa kurudi kanda ileile baada ya siku tatu kutokea Arusha nafikiri ni jambo gumu ila linawezekana. Pia, yawezekana kuna mialiko mingine karibu zaidi kapatiwa kulingana na ratiba yake.

Yote kwa yote, kuhudhuria na kutohudhuria kunatokana na ratiba yake. Tuachane na kutohudhuria na sasa tujikite kwenye kuhudhuria.

Kuhudhuria kwa Rais Samia kwenye kongamano hilo kwa mtazamo wangu itahitimisha ile safari ndefu ya ni nini hatima ya Mdee na wenzake.

Siku hiyo Rais atatangaza upatinisho wa Mdee na wenzake na Chama chao. Baada ya Rais kuwapatanisha , Mbowe atatangaza kuwakuba Tena kama wanachama halali na hapo 'handshake' itafanyika na hatima ya Mdee na wenzake itajulikana.

Kitendo hicho kitawatesha sana wanachama wa kawaida wa CHADEMA na watapitia mateso makali sana. Na hapo ndipo swali litaibuka, Je kurejea kwa Mdee ni asset au liability?

Sitaki kusema leo kwamba ni asset au ni liability kwa sababu mateso ya wanaCHADEMA yataongezeka zaidi.

Kitakachofuata ni kwamba kesi ya Mdee na wenzake itafutwa na CHADEMA hawatoonesha nia ya kuendelea nayo.
Wapenda migogoro kazini.
Acheni watu wasameheane maisha ni mafupi sana.
Furaha ya ccm ni kuona cdm ikiwa vipande vipande
 
1. Waliofungua kesi ni Halima na wenzake. Hivyo wakiifuta maana yake wamekubaliana na uamuzi wa kufukuzwa Chadema. Na itapelekea kufukuzwa ubunge.

2. Msamaha bado hautakuwa na tija kwa kina Halima. Jambo ambalo litakuwa na tija ni kutenguliwa kwa uamuzi wa Baraza Kuu kuwafukuza uanachama.

3. Mahakama inatakiwa kutengua uamuzi wa Baraza Kuu kuwafukuza Halima na wenzake. Kinyume na hapo huu mkwamo utaendelea kuwepo.
3.Mahakama mnaona inauzito kwa hakina mdee tu,juzi Lema kasamehewa madhambi yake na Mama samia tena akiwa huko uchagani na akafuta kesi zake,mbona hamkusema amekosea mahakama......
Nadhani ww ni mmoja wa watakao umia jiandae kisaikolojia na hutaofanya chochote,Kesi itaishia majukwaani kama ya Makonda na Ruge na Makonda na Gwajima.
Chama kina wenyewe jiulizeni kwann Lissu karudi kwa bwana wake ubaligiji?
 
1. Waliofungua kesi ni Halima na wenzake. Hivyo wakiifuta maana yake wamekubaliana na uamuzi wa kufukuzwa Chadema. Na itapelekea kufukuzwa ubunge.

2. Msamaha bado hautakuwa na tija kwa kina Halima. Jambo ambalo litakuwa na tija ni kutenguliwa kwa uamuzi wa Baraza Kuu kuwafukuza uanachama.

3. Mahakama inatakiwa kutengua uamuzi wa Baraza Kuu kuwafukuza Halima na wenzake. Kinyume na hapo huu mkwamo utaendelea kuwepo.
CHADEMA ni Mbowe na Mbowe ndo CHADEMA. Baraza kuu ni kama rubber stamp tu.
 
3.Mahakama mnaona inauzito kwa hakina mdee tu,juzi Lema kasamehewa madhambi yake na Mama samia tena akiwa huko uchagani na akafuta kesi zake,mbona hamkusema amekosea mahakama......
Nadhani ww ni mmoja wa watakao umia jiandae kisaikolojia na hutaofanya chochote,Kesi itaishia majukwaani kama ya Makonda na Ruge na Makonda na Gwajima.
Chama kina wenyewe jiulizeni kwann Lissu karudi kwa bwana wake ubaligiji?

Tatizo ni kwamba uamuzi wa kuwafukuza umefanywa na kikao cha baraza kuu la Chadema.

Namna ya kuubatilisha uamuzi huo ni kupitia mahakama kwa hukumu kwamba Baraza Kuu lilikosea.

Tofautisha kesi ya Mbowe na kesi ya Halima. Kesi ya Mbowe ilifunguliwa na serikali / Dpp. Upande wa pili Halima amefungua kesi dhidi ya Chadema. Akiifuta maana yake amekubali kufukuzwa na kupoteza ubunge.
 
Tatizo ni kwamba uamuzi wa kuwafukuza umefanywa na kikao cha baraza kuu la Chadema.

Namna ya kuubatilisha uamuzi huo ni kupitia mahakama kwa hukumu kwamba Baraza Kuu lilikosea.

Tofautisha kesi ya Mbowe na kesi ya Halima. Kesi ya Mbowe ilifunguliwa na serikali / Dpp. Upande wa pili Halima amefungua kesi dhidi ya Chadema. Akiifuta maana yake amekubali kufukuzwa na kupoteza ubunge.
Mzee hiyo ishaisha si umesikia mawakili wamesema hawana cha kuendelea kuwaoji hao wamama,Kama zilivyofutwa kesi za LEMA basi na za hao wamama zitafutwa.
 
Kesi itafutwa kama ilivyofutwa ya Lema. Wewe mwanachama wa kawaida kaa kimya. Sisi tuko na Mbowe.

..kesi ya Lema ilifutwa na serikali.

..kesi ya Halima anatakiwa aifute mwenyewe.

..na akiifuta uamuzi wa baraza kuwafukuza unasimama.

..ndio maana nasema ili kuweka mambo sawa ni lazima kesi iishe kwa kuwapa ushindi Halima na wenzake.
 
Kesi ikifutwa maana yake Waliofungua kesi wamekubaliana na uamuzi wa kufukuzwa Chadema na kufutwa ubunge wao.

Kitakachofuata ni Kamati kuu ya Chadema iwarudishie uanachama na kisha ianze upya kuteua wabunge.

Na Mama Samia huenda akamteua Lissu na Mbowe kuwa Wabunge maana Rais anayo mamlaka ya kuteua wabunge wataziba zile nafasi za kina Balozi Polepole.
 
3.Mahakama mnaona inauzito kwa hakina mdee tu,juzi Lema kasamehewa madhambi yake na Mama samia tena akiwa huko uchagani na akafuta kesi zake,mbona hamkusema amekosea mahakama......
Nadhani ww ni mmoja wa watakao umia jiandae kisaikolojia na hutaofanya chochote,Kesi itaishia majukwaani kama ya Makonda na Ruge na Makonda na Gwajima.
Chama kina wenyewe jiulizeni kwann Lissu karudi kwa bwana wake ubaligiji?
Unaweza mention hayo madhambi ya Lema mpaka kua na kesi?
 
..kesi ya Lema ilifutwa na serikali.

..kesi ya Halima anatakiwa aifute mwenyewe.

..na akiifuta uamuzi wa baraza kuwafukuza unasimama.

..ndio maana nasema ili kuweka mambo sawa ni lazima kesi iishe kwa kuwapa ushindi Halima na wenzake.
Hayo ni mawazo yako madogo kama mwanachama wa kawaida. Sio hivyo unavyodhani. Wewe ukiwa kama mwanachama wa CHADEMA ulidhani kuwa kina Lema huwasiliana na watu wa CCM na kusaidiana mambo mbalimbali? Ulidhani ipo siku viongozi wako watasimama majukwaani na kumsifu mwenyekiti wa CCM? Ulidhani ipo siku mwenyekiti wa CCM atakuwa mgeni rasmi kwenye shughuli ya CHADEMA? Nasisitiza CHADEMA ni Mbowe na Mbowe ndo CHADEMA.
 
Keshokutwa ni siku ya wanawake duniani na tayari BAWACHA kupitia Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe.Mbowe wamempa mualiko Mhe.Rais wa kuhudhuria kongamao la BAWACHA.

Kwa mtazamo wangu Jambo hilo sidhani kama litawezekana Mhe.Rais kuhudhuria. Kwanza Kongamano hilo litafanyika Kilimanjaro hivyo uwezekano wa kurudi kanda ileile baada ya siku tatu kutokea Arusha nafikiri ni jambo gumu ila linawezekana. Pia, yawezekana kuna mialiko mingine karibu zaidi kapatiwa kulingana na ratiba yake.

Yote kwa yote, kuhudhuria na kutohudhuria kunatokana na ratiba yake. Tuachane na kutohudhuria na sasa tujikite kwenye kuhudhuria.

Kuhudhuria kwa Rais Samia kwenye kongamano hilo kwa mtazamo wangu itahitimisha ile safari ndefu ya ni nini hatima ya Mdee na wenzake.

Siku hiyo Rais atatangaza upatinisho wa Mdee na wenzake na Chama chao. Baada ya Rais kuwapatanisha , Mbowe atatangaza kuwakuba Tena kama wanachama halali na hapo 'handshake' itafanyika na hatima ya Mdee na wenzake itajulikana.

Kitendo hicho kitawatesha sana wanachama wa kawaida wa CHADEMA na watapitia mateso makali sana. Na hapo ndipo swali litaibuka, Je kurejea kwa Mdee ni asset au liability?

Sitaki kusema leo kwamba ni asset au ni liability kwa sababu mateso ya wanaCHADEMA yataongezeka zaidi.

Kitakachofuata ni kwamba kesi ya Mdee na wenzake itafutwa na CHADEMA hawatoonesha nia ya kuendelea nayo.
Kuna watu wataishia kupiga ramli chonganishi na za kubahatisha sana.. Kumbukeni CHADEMA sio CCM yenye matawi kibao
CCM asili
CCM maslahi
CCM makinikia
CCM jiwe
CCM samoa gang nknk
CHADEMA ni moja na itabaki kuwa moja ndio maana waasi wengi wanatamani kurejea
 
Back
Top Bottom