Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

Kwa kweli bible is the best book coz ni life itself ukiishi na kuifata ni somethn very valuable pia kunakitabu cha Joyce mayer kimebadili sana mtazamo wangu kifikra kinaitwa BATTLE FIELD OF THE MIND I wish watu wakisome
Tx1753

Ni kizuli, Ni moja kati ya vitabu nilivyovipenda
 
Wana JF.
'Learning The Hard Way' sio mchezo. Mtunzi ni Yusuph Halimoja. Huwezi amini umahili wa mtunzi katika novel hii. Kwa anayeza kunisaidia kukipata tena aniambie tafadhali.
 
they are extremely smart or extremely ignorant cha salim boss
 
Kuna vitabu vitatu ambavyo vimeshangia kubadili maisha yangu kwa kiwango kikubwa sana. Ningependekeza kila mtanzania avisome.
1. THINK AND GROW RICH
Hiki kimenisaidia kuweza kufikia uwezo mkubwa ulio ndani yangu na kuniwezesha kuona fursa nyingi zinazonizunguka.
2. RICH DAD, POOR DAD
Hiki kimenisaidia kuhusu utofauti kati ya elimu ya darasani na elimu halisi ya mtaani. Kimenisaidia kuona mambo ambayo nilifichwa darasani na ambayo ni ya msingi sana ili kufanikiwa.
3. THE RICHEST MAN IN BABYLON
Hiki kimenisaidia kuhusiana na maswala yote yanayohusuana na fedha kuanzia kuweka akiba mpaka kuwekeza. Kimeniwezesha kuweza kujilipa mimi mwenyewe hata kwa kipato kidogo sana na kuweza kujenga akiba iliyotosha kuanzia biashara.
Hivyo ni vitabu ambavyo natamani kila mtanzania avisome. Kama huna vitabu hivi nitumie email kwenye amakirita@gmail.com na nitakutumia vyote vitatu bure kabisa.
Au unaweza kutembelea AMKA MTANZANIA na ukajifunza mengi pamoja na uchambuzi wa vitabu hivi.
Kiongozi,unatuma softcopy au hard copy?kama ni soft copy nitumie tafadhali tillychizenga@gmail.com
 
1. Bible
2. Become a better you- Joel osteen
3.Think Big- Ben Carson
4. Rich Dad, poor Dad- Robert Kiyosaki
5. The power of a praying wife- Stormie Omartian
6. the power of positive thinking- Rev. Dr Norman Vincent
 
Back
Top Bottom