Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

Kuna haja ya serikal kutenga bajeti kwa ajili ya kutafsiri hivi vitabu vya kiingereza just imagine kitabu km rich dad poor dad kingekuwa kimetafsiriwa kiswahili leo hii kingebadilisha maisha ya watu wangapi?

Wahindi bhana wamevitafrisi kwa kihindi mpaka lugha za kikabila na sio hicho tu vitabu kibao
 
Asante mtoa Uzi
Nilopouona uzi nikachukua diary yangu na pen na kuanza kuandika vitabu ambavyo sijasoma
Nimepata vitabu 45 ambavyosijasoma
Nitadownload na vingine kuvitafuta ubungo, Mwenge na posta, Mlimani City sigusi kwakuwa huuzwa bei kali, huwa napita kuvichungulia tu.

On top of that hili wazo la club ya kusoma vitabu ni zuri nimelipenda hebu fanyia makeke tuwe wamoja tujifunze kwa pamoja
It's so wonderful
Big up for the Uzi
 
Asante mtoa Uzi
Nilopouona uzi nikachukua diary yangu na pen na kuanza kuandika vitabu ambavyo sijasoma
Nimepata vitabu 45 ambavyosijasoma
Nitadownload na vingine kuvitafuta ubungo, Mwenge na posta, Mlimani City sigusi kwakuwa huuzwa bei kali, huwa napita kuvichungulia tu.

On top of that hili wazo la club ya kusoma vitabu ni zuri nimelipenda hebu fanyia makeke tuwe wamoja tujifunze kwa pamoja
It's so wonderful
Big up for the Uzi

thanks. litafanyiwa kazi
 
Kifupi nimesoma novels Chase, Mario Puzo, some African writters Ngugi, Chinua Achebe, Willy Gamba nk. Nimesoma vitabu sikumbuki author vilikuwa home nikiwa secondary ...the secret door to success etc. Havikunibadili
Holy Bible imenibadili mtazamo mzima wa maisha yangu kuanzia familia, mahusiano, kazi na uchumi. Try it!
 
Kiswahili kinakusumbua mkuu,,nakushauri ukasome hiki kitabu 'Soma kwa hatua' kitakusaidia sana.. Mimi nimesema 'kalibu' kila aina ya kitabu...kamba iko wapi hapo

kuna vitabu amevijata Ritz vipo UDSM,AIDHA MAIN LIBRARY EAST AFRICANA AU DEPT OF HISTORY BAADH NILIVISOMA HASA CHA ILLIFE the former professor at Cambridge university mzungu alokua anaamini katika african dev
 
Last edited by a moderator:
"The Philosophy of Religion: An Anthology".

Nilipokisoma nilikuwa na miaka 18, tangu hapo sijarudi katika kuamini kuwepo kwa mungu in the Judeo-Christian context.
 
Back
Top Bottom