Ndivyo Ilivyo
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 243
- 4
Ngekewa,
Ahsante Mkuu kwa uchambuzi mahiri. Nashangaa sana na maneno luninga na jokofu na nakumbuka maneno ya kulazimisha kama vile kukarabati, zahanati na mengineyo ambayo yanawapa taabu watoto nyumbani kutamka. Kiswahili jamani na kiwe kiswahili na tukiwache kinyumburuke katika hali asilia na siyo kukilazimisha
Ahsante Mkuu kwa uchambuzi mahiri. Nashangaa sana na maneno luninga na jokofu na nakumbuka maneno ya kulazimisha kama vile kukarabati, zahanati na mengineyo ambayo yanawapa taabu watoto nyumbani kutamka. Kiswahili jamani na kiwe kiswahili na tukiwache kinyumburuke katika hali asilia na siyo kukilazimisha