Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 730
- 2,957
Mada nzuri sana hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maandishi yako, lakini machache. Pia wakoloni waliharibu historia yetu nyingi. Kama wanubi walikua maandishi ya meroitic ambayo mpaka sasa haijatafsirika. maandishi ya Geez kule Ethiopia. maandishi ya Nsibidi kule Nigeria. Hata maandishi ya Misri (Hieroglyphics)Ni kweli waafrika kila jamii Mungu aliwajalia Lugha Tena Lugha zilizokamilika ukichukulia Tanzania tuu mfano kuna Lugha nyingi sana za kikabila tofauti na nchi za Ulaya ama ASIA ambako Mungu aliwapa lugha chache pamoja na herufi na maandishi kitu ambacho nchi nyingi za kiafrika zina maneno tuu maandishi ya asili kama wachina, wahindi, wajapani, waarabu hatukujaliwa. Sasa hawa wanaojiita wataalamu wa kiswahili wanataka kukiarabisha moja kwa moja kuwa kiarabu si jambo bora kwa sasa
Hata kule Papua New Guine waaafrika wa kule wana kabila 800 kwa Nchi moja. ( Lugha mianane)
Waafrika walisambazika duniani kote kutoka Afrika miaka elfu nyingi iliyopita. Ni wazi( Inajulikana) kuwa hawaishi Afrika kwa sasa, lakini ni wa asili ya kiafrika ( Rangi ya ngozi, mila, mienendo) na kadhalika. Nilitumia nambari ya kabila zao kama mfano wa wingi wa lugha zinazoongelewa na watu weusi.Nani kasema wenyeji wa papua new guinea ni waafrika???
Waafrika walisambazika duniani kote kutoka Afrika miaka elfu nyingi iliyopita. Ni wazi( Inajulikana) kuwa hawaishi Afrika kwa sasa, lakini ni wa asili ya kiafrika ( Rangi ya ngozi, mila, mienendo) na kadhalika. Nilitumia nambari ya kabila zao kama mfano wa wingi wa lugha zinazoongelewa na watu weusi.
Wana sayansi wameshakubaliana kuwa binadamu alitoka Afrika kabla ya kusambazika duniani kote, kwahivyo pia aborigines walitoka Afrika miaka karibu 75,000 zamani. Boss haya ni mambo wanasayansi wengi wameshakubaliana. Ndipo kuna "Out of Africa Theory"Siyo lazima kwamba Rangi ya ngozi nyeusi iwe ni kitambulisho cha mtu mwenye asili ya Afrika.
Unasemaje kuhusu Aborigines wenyeji wa asili ya Australia? ?, Genes zao ni za kipekee hazifanani na Genes za waafrika weusi japokuwa Wao ni weusi ni hivyohivyo kwa Wenyeji wa Papua new Guinea.
Wana sayansi wameshakubaliana kuwa binadamu alitoka Afrika kabla ya kusambazika duniani kote, kwahivyo pia aborigines walitoka Afrika miaka karibu 75,000 zamani. Boss haya ni mambo wanasayansi wengi wameshakubaliana. Ndipo kuna "Out of Africa Theory"