Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 10,327
- 6,849
Kiranga,
Kuna maneno siku hizi wanaongeza kwenye Kiswahili, hasa yale yanayoibuka baada ya kuwepo kitu fulanileo ambacho huko nyuma hakikuwepo. Baadhi ya maneno haya ni kama: mtandao, luninga, mubashara, kumbukizi (japo hili si mojawapo ya yale niliyeleza hapa), kinakilishi (kompyuta), n.k. Wanaofanya jitihada hizi nzuri nadhani ni TATAKI (UDSM) au BAKITA au wote wawili kwa pamoja. Kwa hiyo kuna baadhi ya maneno machache siku hizi yanatungwa na professional Bodies na kuongezwa kwenye Kiswahili
Kuna maneno siku hizi wanaongeza kwenye Kiswahili, hasa yale yanayoibuka baada ya kuwepo kitu fulanileo ambacho huko nyuma hakikuwepo. Baadhi ya maneno haya ni kama: mtandao, luninga, mubashara, kumbukizi (japo hili si mojawapo ya yale niliyeleza hapa), kinakilishi (kompyuta), n.k. Wanaofanya jitihada hizi nzuri nadhani ni TATAKI (UDSM) au BAKITA au wote wawili kwa pamoja. Kwa hiyo kuna baadhi ya maneno machache siku hizi yanatungwa na professional Bodies na kuongezwa kwenye Kiswahili