Mwana wa Mungu
JF-Expert Member
- Aug 14, 2008
- 1,003
- 83
jamanieee, hivi tuseme kuwa, kiswahili halisi na cha kufuatwa kama ndo mfano wa kiswahili halisi na kizuri ni cha wapi? mfano, nikianza kama nchi, ukienda kenya, kiswahili chao kimegonjwa, ukienda congo ndo kimekukufa, ukienda zenji ni cha mlegezo debwedebwe.
ukija hapa bara, wachaga wanaongea lafudhi ya kikwao, wahaya ndo kabisaa, wahehe ndo kama kwenye maigizo ya luninga, wazaramo ndo watoto wa mjini hata kama ni mzee,watu wa tanga wanaongea kama hawataki,watu wa mtwara wakiongea watakutemea mate kwa cheche..eg.che mkapa, wamasai kwa kina Lowasa ndo kimelala na mama yeyo kabisa, sasa, kipi kiswahili halisi? na ninani wa kumcheka mwenzake?mfano wazungumza kiswahili wote africa tukikutana pamoja, au tz tukikutana pamoja kima mmoja akawa anaongea, icho kichekesho nani ataibuka kumcheka mwenzie?,manake ivyo vicheko havitaisha, kila mtu akigeukia huku anacheka, yule anayemcheka mwenzie naye anachekwa nk. duh!
ukija hapa bara, wachaga wanaongea lafudhi ya kikwao, wahaya ndo kabisaa, wahehe ndo kama kwenye maigizo ya luninga, wazaramo ndo watoto wa mjini hata kama ni mzee,watu wa tanga wanaongea kama hawataki,watu wa mtwara wakiongea watakutemea mate kwa cheche..eg.che mkapa, wamasai kwa kina Lowasa ndo kimelala na mama yeyo kabisa, sasa, kipi kiswahili halisi? na ninani wa kumcheka mwenzake?mfano wazungumza kiswahili wote africa tukikutana pamoja, au tz tukikutana pamoja kima mmoja akawa anaongea, icho kichekesho nani ataibuka kumcheka mwenzie?,manake ivyo vicheko havitaisha, kila mtu akigeukia huku anacheka, yule anayemcheka mwenzie naye anachekwa nk. duh!