Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 43,037
- 34,741
Mngejenga na Msikiti msipate shida ya kuweka hema...
manajaza mapepo tu! state house.
Umempa heshima kubwa asiyostahili. Jibu lake huyo mb.wa ni tusi tu.
mkuu tangu enzi za Kambarage hapo mjengoni pamefanywa mengi sana hilo waliona ni la kawaida...
kuna watu wanaudini sanaa...kuitwa waslamu eti kujaza mapepo,mbona wakiitwa wachungaji ikulu hamlalamiki.
hizi busara hazijatumika kujibia hapa .....!!!
... kwa kuwa actually hao huwa hawatumikii pepo wachafu...
Ingekuwa MAASKOFU au Madre wameenda kufanya ibada sidhani kama angesema ni mapepo machafu coz ni yake..