Kisomo Ikulu Dar es salaam

Kisomo Ikulu Dar es salaam

mbona tuliambiwa serikali haina dini?mbona huyu mtu anendekeza udini sana

Ingekuwa busara na kupendeza zaidi kama hiki kisomo angefanyia nyumbani kwao Msoga!! Tabia hii hii ndio wanaiendeleza kwenye chama chao cha magamba kwa kufanyia mikutano yao ya chama chao huko huko Magogoni badala ya kwenye kaofisi kao ka Lumumba!!
 
View attachment 208941 'Wakati wa kutafuta Uhuru, Nyerere alisomewa sana hivyo visomo na Masheikh'
Angalia hii picha aliyopika na Masheikh.
Ngalikihinja

Hakuna mtu anayebisha kuwa Nyerere hakushirikiana na waislam na yeye mwenyewe alikiri hivyo lakini hata kama alisomewa dua na wakina Sheikh Ramiya dua hizo hazikusomwa Ikulu bali huko Bagamoyo!! Ikulu ni mahala patakatifu na sio mahala pa kufanyia shrehe za harusi kama wanavyofanya siku hizi!!
 
Raha ya kufanya kisomo Ikulu ni kubwa kuliko ya Makka
Huwezi kufanananisha kufanya kisomo ikulu na msikiti wa makka ni vitu 2 tofauti kabisa.Makka ndio Makao makuu ya dini ya kiislam na ikulu ni makao ya Rais mkuu umesoma darasa la ngapi?
 
10704196_581447171954911_2753762943673533096_n.jpg




Watoto bana.

Hana hata habari ya kinachoendelea ndio kwanza anabinuka sarakasi
 
Hakuna mtu anayebisha kuwa Nyerere hakushirikiana na waislam na yeye mwenyewe alikiri hivyo lakini hata kama alisomewa dua na wakina Sheikh Ramiya dua hizo hazikusomwa Ikulu bali huko Bagamoyo!! Ikulu ni mahala patakatifu na sio mahala pa kufanyia shrehe za harusi kama wanavyofanya siku hizi!!

.........patakatifu ndipo panaposomwa duwa kumshukuru Mungu na pia kumuomba kheri zake ! ...au hutaki tu Waislaam waombe duwa Ikulu !?
 
Ingekuwa busara na kupendeza zaidi kama hiki kisomo angefanyia nyumbani kwao Msoga!! Tabia hii hii ndio wanaiendeleza kwenye chama chao cha magamba kwa kufanyia mikutano yao ya chama chao huko huko Magogoni badala ya kwenye kaofisi kao ka Lumumba!!

..........Mzee Bulesi imekuuuma sana eeeh !?.............mbona hapo Ikulu yeye na familia yake ndio makazi yao ! Kulala hapo haikuumi !?
Wagalatia mnafanya kama vile Ikulu ni yenu mmepangisha watu kwa muda !
Kwa Taarifa yako hata nyumba ya kupanga unaweza kufanya hicho alichofanya bila ruhusa ya mwenye nyumba !

Duuh....hakika Wagala mna choyo na chuki !:confused2:
 
Last edited by a moderator:
Leo umenielekeza kitu
Ngalikihinja, Bulesi
Siku moja nilimpa lift jamaa mmoja njia panda yakuelekea maeneo ninayo ishi. Alikuwa ni mtu wa makamo na alijitambulisha kwangu ni Mchungaji. Alikokuwa akielekea ndiko na mimi nilikokuwa nikienda, kifupi alikuwa ni mgeni wa jirani zangu.

Katika mazungumzo baina yetu, akanijulishwa kuwa anaenda nyumba mojawapo za jirani zangu kufanya maombi. Na akaongezea kuwa ni kawaida yake kufanya ziara nyumba mbali mabali kwa watu walio omba huduma yake ya 'maombi'
Ni kamwambia hilo ni jambo la kheri kuwasaidia watu kuwa karibu na Mungu.

Ila comment yake ya mwisho wakati tunaagana ndio ilinishangaza......pale aliponiambia kuwa 'vichwa vyake ni vya watu wa maana' ! Nikamuuliza hao ni watu gani ?..........akanijibu ni TRA na BoT !:becky:
 
Narudia tena wakristo wengi wa tanzania mna roho mbaya sana, ni unafik kujifanya unampenda mungu kama unachuki hata na binaadamu mwenzako, hivi mtu kuomba dua kwa dini yake wewe unaumia ??? Aisee
 
Huu si ubaguzi wa dini!!!,,,,bali ni chuki zilizojaa vifuani.halafu hapo tusiokuwa waislam tunawaita waislam wabaguzi?!!
 
leo ndio nmejua sisi wakristo ni wabaguzi.
Wakristo wenzangu mnatuaibisha sana kuwa na mawazo ya kibaguzi kama hayo maana sisi ndio wa kwanza kuanza kusema wenzetu ni wadini.
Ila najua wengi wanaochangia na kuponda uislami sio #catholic hao itakuwa ni #walokole tu.
Ndugu zangu waislamu naomba msamaa kwa niaba ya wakristo wenzangu

kweli kabisa mdau!!!
 
swala ni kwamba white house imebadilishwa kuwa sehemu ya mapepo?kwa sababu naamini jamaa yuko na ile imani ya kachezewa na sasa anajizindika ndani nyumba takatifu.

Swissme;

unajiumbua kuwa ni kweli unachuki nyingi kifuani kwa waumini wa dini ya kiislam!,,,,,na inakuwa kweli kuwa wasio waislam wamebeba chuki kubwa vifuani mwao kuliko chuki wanazozionesha wazi wazi kwa waislam!
 
mbona tuliambiwa serikali haina dini?mbona huyu mtu anendekeza udini sana

we ndo mdini kwa kutaka kumfanya asitekeleze vitu vya dini yake!,,,,,lakini viongozi wapinga uislam kama lukuvi huwaoni kuwa ni wabaguzi wa wazi na wachukia uislam wakubwa!
 
mkuu tangu enzi za kambarage hapo mjengoni pamefanywa mengi sana hilo waliona ni la kawaida...

mbona kambarage aliyafanya hayo akiwa na masheikh na hakukuwa na lawama hizi!,,,,tena kambarage akiwa mkatoliki pure!!!
 
kuna watu wanaudini sanaa...kuitwa waslamu eti kujaza mapepo,mbona wakiitwa wachungaji ikulu hamlalamiki.

halafu makanisani ndo unakuta kuna miujiza ambayo ni migumu hata kuielewa imetoka wapi!,,,,,na unakuta waumini ndo wameiamini kuliko?!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom