illuh
JF-Expert Member
- Mar 17, 2014
- 1,254
- 700
Mumy Rosemarie,Serikali haina dini, na pia Serikali haiamini uchawi Serikali haina dini hasa katika maamuzi yake sababu inaamulia watu tofauti katika jamii.. inatakiwa isibase katika dini yeyote...Ila kwa mtu pekee anadini..Na haiamini uchawi hasa katika maamuzi yanayohusu serikali...Ila katika watu binafsi wapo wanaoamini uchawi ...HIVI HAVIKATAZWI...Ndio maana katika kuapishwa kila mmoja anaapishwa kwa kitabu chake hata kama kingekiwa chakichawi.
Kuhusu Rais kuomba ni issue binafsi na pale ndio sehemu yake...Ni sawa na Rais yeyote angekuwa wa dini nyingine angeweza kuomba au kwenda ombewa na dini yake...pale yatakapomkabili magonjwa au jambo lolote...
Ila katika kuombea Taifa ni dini zoote zingeweza ombea...
Kuhusu Rais kuomba ni issue binafsi na pale ndio sehemu yake...Ni sawa na Rais yeyote angekuwa wa dini nyingine angeweza kuomba au kwenda ombewa na dini yake...pale yatakapomkabili magonjwa au jambo lolote...
Ila katika kuombea Taifa ni dini zoote zingeweza ombea...
mbona tuliambiwa serikali haina dini?mbona huyu mtu anendekeza udini sana