KoreaKaskazini
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 219
- 51
Ndugu zangu mkumbuke kuna Viongozi wa Kanisa hawa wanakwenda kula Futali hapo Ikulu.
ongea ww hope watakuelewa mkuu
Ndugu zangu mkumbuke kuna Viongozi wa Kanisa hawa wanakwenda kula Futali hapo Ikulu.
Swala ni kwamba WHITE HOUSE imebadilishwa kuwa sehemu ya mapepo?kwa sababu naamini jamaa yuko na ile imani ya kachezewa na sasa anajizindika ndani nyumba takatifu.
swissme;
Hivi Nyerere alishawahi kusalisha jumuiya ikulu?
Kiongozi akhsante sana.
Kumbe ni mjukuu wa Amiri jeshi mkuu!
nimeweka picha ya Nyerere na Masheikh lakini Mod wameificha (hidden) !
Madrasa. Bahati mbaya haina grade wala syllabus maalum!Huwezi kufanananisha kufanya kisomo ikulu na msikiti wa makka ni vitu 2 tofauti kabisa.Makka ndio Makao makuu ya dini ya kiislam na ikulu ni makao ya Rais mkuu umesoma darasa la ngapi?
Ndugu zangu mkumbuke kuna Viongozi wa Kanisa hawa wanakwenda kula Futali hapo Ikulu.
..........Mzee Bulesi imekuuuma sana eeeh !?.............mbona hapo Ikulu yeye na familia yake ndio makazi yao ! Kulala hapo haikuumi !?
Wagalatia mnafanya kama vile Ikulu ni yenu mmepangisha watu kwa muda !
Kwa Taarifa yako hata nyumba ya kupanga unaweza kufanya hicho alichofanya bila ruhusa ya mwenye nyumba !
Duuh....hakika Wagala mna choyo na chuki !:confused2:
.........patakatifu ndipo panaposomwa duwa kumshukuru Mungu na pia kumuomba kheri zake ! ...au hutaki tu Waislaam waombe duwa Ikulu !?
Mkome kuchagua wapiga vidufu kuingia ikulu
Hakuna mtu anayebisha kuwa Nyerere hakushirikiana na waislam na yeye mwenyewe alikiri hivyo lakini hata kama alisomewa dua na wakina Sheikh Ramiya dua hizo hazikusomwa Ikulu bali huko Bagamoyo!! Ikulu ni mahala patakatifu na sio mahala pa kufanyia shrehe za harusi kama wanavyofanya siku hizi!!
.haaa...haaa...haaa ! Patakatfu ndipo Mwenyezi Mungu anapo kurubia ! .......Duwah haisomwi Bar ndugu yangu Bulesi !
Rais Mkapa ndio muanzilishi wa kufanya party za Harusi Ikulu. Au imewakera sana kuona waswahili swahili na makanzu kanzu ikulu !??........maana nyie kwa nongwa na chuki !:blabla:
halafu ushangae viongozi wa madhehebu ya uislamu na ukristo wanapendana, wanaalikana ila hawa waumini sasa ndio wanachukiana na kusemanaaa...Dhambi zimewatawala