Kisiwa cha Ukara (Ukara Island)

Mh!! Sasa hayo majani naona bonge la dili na inabidi hiyo miti ipandwe mingi ili kuvutia watalii
 
Bwana safiri salama!

Kwenye majumuisho yako naamini kuna vitu vingi hutaweza kuvifaham! Usisite kutuomba msaada wenyeji wa huko tukujuze na jamii kwa ujumla
 
Mkuu umekosea ukerewe ina zaidi ya hivyo 11 ulivyosema, hebu hesabu hivi ambavyo mimi navikumbuka

Kweru
Kweru mto
Irugwa
Ukara
Sizu
Garinzila
Kamasi
Mafunke
Kibinda
Kiara
Burubi
Izinga
Siza
Ghana
Marerema
Lyamwenge
Bwiro
Kenfunezya
Furu mbisi

Hivyo ni baadhi tu!

Ukiongea hapa uwe na facts watu tusha declare huko ndo kwetu so tunajua mengi
 
Uje utembelee na kisiwa cha Ghana, hiki ndo kisiwa chenye starehe zaidi, wao hupenda kukiita Cape Town[emoji13] [emoji13] [emoji13]
 

Basi mpaka hapo wewe nindugu namimi hapo unapo pasemea ndio uwanja wetu wa nyumbani ukiulizia ukoo wa Nyabelo tu nimalamoja unafikishwa
 
safari iamalizika leo kwa kutoka Nansio hadi Bugorola saa 5 , na kutoka Bugorola hadi Bwisya (Ukara) saa sita.
 
Jamaa anaelichezesha huwa hataki msimame upande wake... Na watu kwa vile wameaminishwa ni miujiza, hukubali bila kuhoji.. Bahati mbaya wengine tumetokea kwenye Jamii ya watenda miujiza....kwetu kamati za ufundi ni kama Wacongo na muziki!!
ha haha sasa akilisukuma kwa nguvu zaidi itakuwaje
 
Father bwile yupi ndugu yangu? Alikuwa na kakake anaitwa sebastian machele? Usijekuta ndugu halafu hatujuani
 
ukara ndo naisikia leo.. endelea kutujuza kisiwa kilivyo.hali ya uchumi
hata mimi, ila nakumbuka hotuba ya Baba wa taifa mwalimu JKNY akisema MKARA!!!!! sasa nimejua hao watu wanapatikana wapi. endelea kutujuza mengi kutoka huko. kama walet bado ikosafi usisahau kupitia call me J. wakupe minofu ya Bashite jaribu kupiga stori 2,3 na majirani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…