Kama wewe ni mzawa asilia wa Mafia, mbunge is very irrelevant, just think out of your box. Mafia ni kisiwa unaweza kujitenga katika masuala ya kiuchumi then ya kisiasa.
Usimlalamikie mtu ambaye ametumia Juhudi zake binafsi ili Apate Mkopo wa Shangingi,Alipwe Seating Allowance ili abwabwaje au ake kimya tu lakini bado atalipwa hiyo allowance.na akifanikiwa anaweza kuwa Waziri wa kuteuliwa na Raisi.
Hivi unategemea mtu aliyetumia pesa yake na uwezo wake binafsi ajali maslahi yenu huko Mafia, a good example ni Mbunge aliyejitoa siasa uchwara wa IGUNGA, the Richest man in TZ, lakini ukienda Igunga maendeleo hayapo,watu maskini,vumbi kila kona, shule hamna. So kwa wewe wa MAFIA tuliza ball usimsumbue mbuge mteuliwa wa CCM.
USHAURI:
Anzisha Mageuko ya kiuchumi na kisiasa. Fungua website/blogg na gazeti la kisiwa. Changisha wananchi0, elimisha wananchi juu ya mfumo wa uchaguzi na jinsi ya kulinda kura, (ukionyesha mapungufu), wananchi wakikuelewa. Karibisha Makamanda waje wakupe msaada wa Mageuko kisiwani kwenu.