MafiaIsland2015
Member
- Sep 21, 2011
- 20
- 8
Huyu mbunge wetu wa sasa nadhani mwenyewe keshajua. His time is up na nadhani its about time akatangaza kutogombea tena 2015.
Tushachoka na CCM wakitaka kulazimisha then bora tuwape wapinzani jimbo lakini as it is. We've had enough with Mr Shah. This does not mean kuwa tunataka Omari Kimbau awe mbunge wetu lakini kama akiweza na wengine sawa tuu
Kisiwa kinaendeshwa na NGO's tuuu , watu wamekatazwa kuvua, hakuna umeme, barabara mbovu, vituo vya afya navyo hatuna, kila kitu kigumu hapa kisiwani
lakini tushaamua. Hatumtaki huyu Mbunge wetu. Tushamchoka!!
Tushachoka na CCM wakitaka kulazimisha then bora tuwape wapinzani jimbo lakini as it is. We've had enough with Mr Shah. This does not mean kuwa tunataka Omari Kimbau awe mbunge wetu lakini kama akiweza na wengine sawa tuu
Kisiwa kinaendeshwa na NGO's tuuu , watu wamekatazwa kuvua, hakuna umeme, barabara mbovu, vituo vya afya navyo hatuna, kila kitu kigumu hapa kisiwani
lakini tushaamua. Hatumtaki huyu Mbunge wetu. Tushamchoka!!