Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,356
- 21,390
Spika hata aondolewe bado tatizo litakuwa palepale. Tatizo sio Spika tatizo ni hizo sheria za Bunge zinazompa Spika mamlaka ya kufanya hivo. Huyu hata mkimwondoa atakuja mwingine atafanya hivohivo maana ndio mwongozo wake.
My intake. Tusikomae tu na Spika Wabunge nao wajirekebishe, unajua kuongoza watu wazima ni kazi sana, imagine kila siku wabunge wengine wafanye kama ilivyokuwa kwa Mdee na Bulaya na Spika akae kimya si tutasema Bunge limemshinda? Hebu tuweni neutral tuone mengi
Tatizo si SHERIA za BUNGE tatizo ni Upendeleo unaofanywa na viongozi wa Bunge.