Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,468
- 113,583
- Thread starter
- #81
Mkuu Vumilika karibu pande hiziNdugu Mwalla tunashukuru kwa taarifa ya uchambuzi wako wa CAG katika katiba yetu, naomba utasaidie na hii hapa chini.
Nini uwajibikaji na uwajibishwaji wa spika wa bunge na naibu wake?
Kisheria, Spika wa Bunge anaweza kuondolewa. Je, Job Ndugai aondolewe?
Wanabodi, Niliposema Rais wa JMT anaweza Kuondolewa madarakani na Bunge, wengi walibeza kuwa nilikuwa nazungumzia hypothetical situation, yaani kitu ambacho hakipo, nikauliza hakipo vipi wakati kipo kwenye Katiba yetu?, sema haijatokea tukapata rais wa kulazimika Kuondolewa. Leo ninazungumzia...
www.jamiiforums.com