Mcqueenen
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 6,816
- 11,541
Kwani Kuna marefu yasiyokuwa Na ncha bro?Huo ni mchakato mrefu mno...
Kwani Kuna marefu yasiyokuwa Na ncha bro?Huo ni mchakato mrefu mno...
Mlizoea bahasha aliyekupeni ulaji hayupo,2025 lazima mchezee vitasa vya wajumbeWabunge tunampima Raisi na hatoshi , soon tunapiga Kura ya kutokuwa na Imani nae
Ni wA Bunge TuAkivunja ndiyo tunakwenda kwenye uchaguzi wa bunge na uraisi kama sijakosea