Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,160
- 55,671
Mtoto muzuri kwa nini unateseka...
Ulivyomaliza shuleni mkaenda kupanga msasani? Wewe na bf wako? Kama ndio unawezaje kuishi na mwanaume bila ndoa wakati wewe bado ndogo( kwa maandishi yako nimehisi mdogo). Au mlienda kuishi wewe na nani? Sorry kama sijakuelewa.Jamani siyo hivo...Yaan sijui hata nisemeje
Maneno ya mkosaji anikule alikwmbia anarudi?????? nauli utamtumia???? au ww ndgu yako atafikia kwako???? mind your head





hata kichakani utaliwa tuu..mwanamke mwenyewe weweNo nilipang na family....Cyo bf..Lov u wiseUlivyomaliza shuleni mkaenda kupanga msasani? Wewe na bf wako? Kama ndio unawezaje kuishi na mwanaume bila ndoa wakati wewe bado ndogo( kwa maandishi yako nimehisi mdogo). Au mlienda kuishi wewe na nani? Sorry kama sijakuelewa.
Pili kama una malengo na huyo bf wake usirudie kosa hilo wewe waliona Dogo ila ni kubwa.
Usijifanye jeuri .mtumie hii SMS sasa hivi Mimi Dada yako nimesema
" sweetheart, am very sorry, kindly sorry . hii haitojirudia sikufanya makusudi na sikujua nakuudhi." I love u. Plz forgive me.
Ulivyomaliza shuleni mkaenda kupanga msasani? Wewe na bf wako? Kama ndio unawezaje kuishi na mwanaume bila ndoa wakati wewe bado ndogo( kwa maandishi yako nimehisi mdogo). Au mlienda kuishi wewe na nani? Sorry kama sijakuelewa.
Pili kama una malengo na huyo bf wake usirudie kosa hilo wewe waliona Dogo ila ni kubwa.
Usijifanye jeuri .mtumie hii SMS sasa hivi Mimi Dada yako nimesema
" sweetheart, am very sorry, kindly sorry . hii haitojirudia sikufanya makusudi na sikujua nakuudhi." I love u. Plz forgive me.

Lov u dada 
Usimfanyie hivyo mwenzako,wakati Timy hategemei kurudi!
We demu ni mjanja sana.kiufup hao rafiki zako unawataka sema tatzo ndo hvo haijawa.so unajarib kuweka mazingira wakuelewe tuu,
Sasa jamaa yako namuunga mkono,hata mim ujinga huo ni marufuku kwangu.useme nna wivu sjui,habar ndo hyo,hzo ndo rules zangu...nampongeza jamaa sabab hatak ujinga
Mi nshawaacha wasichana weng kwa kuhis tuu,na ndo mwendo wangu huo,sasa je ndo nione wish kama hzo si ndo ntafkuza kabisa..pambaf kabisa..we kuwa na jeur,utabak unapigwa mashine tuu wanaume wanakukimbia,unazeeka.jifanye mzungu tuu






Pole sana sipo kama unavonifkiria .... lait ungejua usingeongea huo upuuzi
nacheka kwa dharau sana yaan ma pumpkin kam ww huwa nawachora tuAsante sana F183 ..Watu kama nyie ndo wakuigwa katika jamii maan kuna mijitu inakurupuka tu ku comment upuuziNashauri best ang ebu kaa chn jishushe mwombe msamaha nae ni binadamu atakusamehe zen usichotaka mwenzako asikufanyie jitaidi usimfanyie. Ndo hayo tu dada ang kipenzi
Eti nishawaacha wasichana wengi kuacha wasichana wengi ndo solution au unaona sifa tu kuropokaWe demu ni mjanja sana.kiufup hao rafiki zako unawataka sema tatzo ndo hvo haijawa.so unajarib kuweka mazingira wakuelewe tuu,
Sasa jamaa yako namuunga mkono,hata mim ujinga huo ni marufuku kwangu.useme nna wivu sjui,habar ndo hyo,hzo ndo rules zangu...nampongeza jamaa sabab hatak ujinga
Mi nshawaacha wasichana weng kwa kuhis tuu,na ndo mwendo wangu huo,sasa je ndo nione wish kama hzo si ndo ntafkuza kabisa..pambaf kabisa..we kuwa na jeur,utabak unapigwa mashine tuu wanaume wanakukimbia,unazeeka.jifanye mzungu tuu

Ni upumbafu tu ndo Uliokujaa kichwani..Yaan .. Kuna kipindi pia niliwahi kuishi maeneo flani yaan ndo nikajikuta na mimi wa mambele ndo maan unakuta napost kitu nasahau kabisa kama hii ni tanzania