Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,257
- 4,845
Wadau hamjamboni nyote? Hiki ni kisa cha kweli ambacho kilitokea Moshi.
Tarimo na Mwasha walikuwa marafiki wakubwa na wote ni wafanyabiashara, japo Mwasha tajiri zaidi. Mke wa Tarimo ni Daktari Serikalini.
Tarimo akamtongoza mke wa rafikiye. Mke akamwambia mumewe kuhusu jambo hilo na fumanizi likapangwa.
Tarimo akafumaniwa nyumbani kwa Mwasha akiwa uvunguni mwa kitanda. Kwa usalama wake na hii ni baada ya kushikiwa mtutu wa bunduki
akauza gari lake bila kulipwa hata mia moja.
Tarimo na Mwasha walikuwa marafiki wakubwa na wote ni wafanyabiashara, japo Mwasha tajiri zaidi. Mke wa Tarimo ni Daktari Serikalini.
Tarimo akamtongoza mke wa rafikiye. Mke akamwambia mumewe kuhusu jambo hilo na fumanizi likapangwa.
Tarimo akafumaniwa nyumbani kwa Mwasha akiwa uvunguni mwa kitanda. Kwa usalama wake na hii ni baada ya kushikiwa mtutu wa bunduki
akauza gari lake bila kulipwa hata mia moja.