Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Unaniambia niachane na vitabu halafu hapo hapo unatumia maelezo ya kwenye vitabu kuniuliza swali.

Mbona haueleweki mkuu?halafu hata hivyo hoja yangu nimeeleza vizuri tu ni nini nazungumzia ila ajabu umeng'ang'ana kuniuliza hilo swali ambalo msingi wake ni maelezo ya kwenye vitabu vya dini.
Maelezo ya kwenye kitabu gani natumia? Unaweza kukitaja na kunipa aya yake?
 
Umeniuliza square root ya 2 tuitafute wapi?

Nikakujibu tuitafute katiya 1 na 2.

Unaniuliza huko kati ya 1 na 2 ndiko kuna namba zinazosema square root ya 2 ni nini?

Swali la kwanza na la pili hapa umepatia kunielewa.
Well done

Swali lako la tatu umenielewa/umeninukuu tofauti

Baada ya kuniambia tutafute square root ya 2 kati ya 1 na 2

Then mimi ninauliza square root ya 2 ni ipi kwenye range ambayo umesema tutafute?
Hapo sasa wewe ungejibu square root ya 2 ni 1.....

Tukirudi kwenye swali la msingi
Chanzo cha ulimwengu ni nini/kipi kutokana na muunganiko wa quantum theory na relativity theory?

Hapo jibu ambalo umetoa ni
By convergence, the mathematics needed to resolve the nature and beginning of the universe in the singularity at the big bang, according to the best known current theories, can be narrowed down to reconciling Einstein's Relativity, which dealst with the science of the very big/heavy and quantum theory, which deals with the very small.

This is because, at the singularity, allthe matter of the universe is condensed into an infinitesimally small space -the primordial beginning of our spacetime, necessitating a conundrum of the very dense/ large mass (Einstein's Relativity)in an infinitesimally small space (Quantum Physics).

Without coming up with the mathematics of reconciling Relativity and Quantum Physics, which has not been done todate, the beginning of the universe will remain unknown.


Kwa maneno ya kiswahili mepesi kabisa ni kwamba
"Bila kuwa na muundo wa kihesabu ambao utaoanisha relativity na quantum physics, kitu ambacho hakijafanyika hadi sasa, CHANZO CHA ULIMWENGU KITAENDELEA KUTOJULIKANA"

CC Mshana Jr Kiranga
 
Hayo maelezo ya REM yapo tayari kwenye link nilyokuwekea ili usome
Unachofanya ni kurudia rudia tuu maelezo hamna jipya

Umenipa link nisome kuhusu dreams
Nikasoma nikakuwekea conclusion ya hiyo article hukujibu chochote hadi sasa hivi
Nimekujibu kwamba conclusion haina uhusiano na ulichouliza.

Umeulizakama naweza kutoa ushahidi maandishi ya kwenye kitabu yapo.

Nikakujibu ushahidi mbona mwingi, naweza kukuonesha, tunaweza kuscan picha.

Unakuja kuniuliza, nikikupa kitabu kimeandikwa Ki Swede utaweza kunisomea na kuniambia maana yake? Mbona hapa wamesema mtu asiyejua ki Swede kujua maandishi yaliyoandikwa Ki Swede ni muhali.

Hujauliza swali hilo hapo mwanzo na wala mimi sijawahi kusema najua kusoma ki Swede.

You are changing the goalpost as you go along.

Hatimaye nakufunga goli, unasema ule upande ambao ulikuwa goli lako actually ni goli langu, kwa hiyo nilivyokufunga pale, nimejifunga mwenyewe.

Kwa mjadala wa hivyo, hatuwezikubadilishana kitu.

You are asking vague questions, you get general answers, you change your questions to something I had no claimon and that is outside the domain of the premise of my original statement.

Sijawahi kusema sayansiinaweza kutafsiri kila ndoto.

Wapi nimesema hilo?

Nimesema ndoto ni kitu tangible, kinaweza kuwa tested, kinaweza kupimwa, hakina logical incosistency na sayansi.

Unaelewa tofauti?
 
Swali la kwanza na la pili hapa umepatia kunielewa.
Well done

Swali lako la tatu umenielewa/umeninukuu tofauti

Baada ya kuniambia tutafute square root ya 2 kati ya 1 na 2

Then mimi ninauliza square root ya 2 ni ipi kwenye range ambayo umesema tutafute?
Hapo sasa wewe ungejibu square root ya 2 ni 1.....

Tukirudi kwenye swali la msingi
Chanzo cha ulimwengu ni nini/kipi kutokana na muunganiko wa quantum theory na relativity theory?

Hapo jibu ambalo umetoa ni



Kwa maneno ya kiswahili mepesi kabisa ni kwamba
"Bila kuwa na muundo wa kihesabu ambao utaoanisha relativity na quantum physics, kitu ambacho hakijafanyika hadi sasa, CHANZO CHA ULIMWENGU KITAENDELEA KUTOJULIKANA"

CC Mshana Jr Kiranga
Following positively.....
 
Swali la kwanza na la pili hapa umepatia kunielewa.
Well done

Swali lako la tatu umenielewa/umeninukuu tofauti

Baada ya kuniambia tutafute square root ya 2 kati ya 1 na 2

Then mimi ninauliza square root ya 2 ni ipi kwenye range ambayo umesema tutafute?
Hapo sasa wewe ungejibu square root ya 2 ni 1.....

Tukirudi kwenye swali la msingi
Chanzo cha ulimwengu ni nini/kipi kutokana na muunganiko wa quantum theory na relativity theory?

Hapo jibu ambalo umetoa ni



Kwa maneno ya kiswahili mepesi kabisa ni kwamba
"Bila kuwa na muundo wa kihesabu ambao utaoanisha relativity na quantum physics, kitu ambacho hakijafanyika hadi sasa, CHANZO CHA ULIMWENGU KITAENDELEA KUTOJULIKANA"

CC Mshana Jr Kiranga
Tafsiri.

Ukitakakujua chanzo cha ulimwengu kwa kusoma Quran na Biblia na kutafuta uchawi wa mizimu, bila kujua solution ya ku reconcile hesabu za relativity na quantum physics, kwa mujibu wa sayansi tunayoijua sasa, ni sawa na kutafuta square root ya 2 nje ya range ya 1 mpaka 2.

You will be looking for answers in the wrong place.
 
kaka mshana umetukosea sana atheists nadhani wewe ni mchanga katika nyanja hii naomba nafasi nitolee ufafanuzi ipasavyo.
atheists(wakanaji mungu au miungu) tumegawanyika makundi mawili ambayo ni
i/implicity atheists
ii/explicity atheists
nafafanua kama ifuatavyo;
i/implicity atheist ni wale wasioamini uwepo wa mungu au miungu yeyote(deities) hawa wanaamin katika sayansi zaidi.mfano wa implicity atheists ni stephen hawking,richard dawkins,kiranga na wengineo.
ii/explicity atheists hawa ni wale wanaokana uwepo wa miungu mingine na kuamini mungu mmoja(one deit) hapa ndo unatukuta mimi na wafuasi wengine kama betrand russels.
nawasilisha kwenu!!
 
Hizo contraditions bado unasema unaambiwa yani bado unatumia nadharia ya watu wengine. Hapo umetumia akili kufahamu au kujua yale yaliyojadiliwa na watu waliopita kwa hali hiyo hutaki kuamini kile kilicho ndani ya akili yako.

Narudia tena mkuu uwepo wa Mungu upo katika akili yako na sio kutumia akili yako kujua uwepo wa Mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama yeye Kiranga , kutumia kwake akili na kufahamu, au kujuwa, yale yaliyojadiliwa kunaonyesha uwepo wa Mungu, vipi vichaa wasiokuwa na akili na uwezo wa kufahamu au kujuwa, hao wanaonyesha uwepo wa nani? Au tuwabague hapa?
 
kaka mshana umetukosea sana atheists nadhani wewe ni mchanga katika nyanja hii naomba nafasi nitolee ufafanuzi ipasavyo.
atheists(wakanaji mungu au miungu) tumegawanyika makundi mawili ambayo ni
i/implicity atheists
ii/explicity atheists
nafafanua kama ifuatavyo;
i/implicity atheist ni wale wasioamini uwepo wa mungu au miungu yeyote(deities) hawa wanaamin katika sayansi zaidi.mfano wa implicity atheists ni stephen hawking,richard dawkins,kiranga na wengineo.
ii/explicity atheists hawa ni wale wanaokana uwepo wa miungu mingine na kuamini mungu mmoja(one deit) hapa ndo unatukuta mimi na wafuasi wengine kama betrand russels.
nawasilisha kwenu!!
Nimewakosea? Hebu niweke wazi nimewakosea wapi...yani kwanini muwe kundi maalum sana lisilokubali mitazano ya wengine?
 
Umeniuliza square root ya 2 tuitafute wapi?

Nikakujibu tuitafute katiya 1 na 2.

Unaniuliza huko kati ya 1 na 2 ndiko kuna namba zinazosema square root ya 2 ni nini?

By convergence, the mathematics needed to resolve the nature and beginning of the universe in the singularity at the big bang, according to the best known current theories, can be narrowed down to reconciling Einstein's Relativity, which dealst with the science of the very big/heavy and quantum theory, which deals with the very small.

This is because, at the singularity, allthe matter of the universe is condensed into an infinitesimally small space -the primordial beginning of our spacetime, necessitating a conundrum of the very dense/ large mass (Einstein's Relativity)in an infinitesimally small space (Quantum Physics).

Without coming up with the mathematics of reconciling Relativity and Quantum Physics, which has not been done todate, the beginning of the universe will remain unknown.

Mkuu Mshana Jr unaweza toa msaada wa tafsiri ya hayo maneno hapo juu?

Naona Kiranga kwenye tafsir yake kaweka maneno quran na biblia wakati mie siyaoni kwenye maneno aliyotoa

Msaada tafadhali
 
kaka mshana umetukosea sana atheists nadhani wewe ni mchanga katika nyanja hii naomba nafasi nitolee ufafanuzi ipasavyo.
atheists(wakanaji mungu au miungu) tumegawanyika makundi mawili ambayo ni
i/implicity atheists
ii/explicity atheists
nafafanua kama ifuatavyo;
i/implicity atheist ni wale wasioamini uwepo wa mungu au miungu yeyote(deities) hawa wanaamin katika sayansi zaidi.mfano wa implicity atheists ni stephen hawking,richard dawkins,kiranga na wengineo.
ii/explicity atheists hawa ni wale wanaokana uwepo wa miungu mingine na kuamini mungu mmoja(one deit) hapa ndo unatukuta mimi na wafuasi wengine kama betrand russels.
nawasilisha kwenu!!
Yeddy Guyy hawa jamaa wameshindwa mjadala.

Tuendeleze mjadala.

Bertrand Russell was a prolific thinker, mathematician, logician and philosopher. I respect his work. His essay "Why I Am Not A Christian" was a seminal, eye opening work during my formative years as I was rejecting clear falsehoods.

Bertrand Russell aliamini Mungu gani?

Halafu, mbona katika definition yako umeniita mimi implicit atheist, wakati katika maelezo haya chini naelezwa kama explicit atheist?

Implicit and explicit atheism - Wikipedia
 
Tafsiri.

Ukitakakujua chanzo cha ulimwengu kwa kusoma Quran na Biblia na kutafuta uchawi wa mizimu, bila kujua solution ya ku reconcile hesabu za relativity na quantum physics, kwa mujibu wa sayansi tunayoijua sasa, ni sawa na kutafuta square root ya 2 nje ya range ya 1 mpaka 2.

You will be looking for answers in the wrong place.

Mkuu mimi sijaona maneno quran na biblia kwenye post ya lugha ya kimombo uloweka.

Na wala nikisoma sioni muunganiko wa wewe kuja kusema quran na biblia.

Msaada kwenye tafsiri kwanza
Kiranga
 
Nimewakosea? Hebu niweke wazi nimewakosea wapi...yani kwanini muwe kundi maalum sana lisilokubali mitazano ya wengine?
umekosea kumjumuisha member wetu kiranga katika non-belivers.naomba utuombe radhi kaka mshana.
 
Kwa hiyo unakubali Mungu wa kwenye vitabu ana contradictions na hayupo ni wa kutungwa na watu tu?

Huko kwingine kwa Mungu asiye kwenye vitabu nakuja, jibu swali hili kwanza ili tulimalize.
Halafu tena unaniuliza mie tena hayo maelezo unayatoa kitabu gani? Kwelii!!!!
 
Mkuu Mshana Jr unaweza toa msaada wa tafsiri ya hayo maneno hapo juu?

Naona Kiranga kwenye tafsir yake kaweka maneno quran na biblia wakati mie siyaoni kwenye maneno aliyotoa

Msaada tafadhali
Asikuchanganye stick kwenye mada.... Usikubali kamwe akuongoze... Jiongoze... Jibu kwa mtazamo wako na muktadha wako sio kwa mwongozo wa mwingine....
Na kamwe usikubali kutolewa nje ya mada ama kuchanganyiwa mada
 
Mkuu mimi sijaona maneno quran na biblia kwenye post ya lugha ya kimombo uloweka.

Na wala nikisoma sioni muunganiko wa wewe kuja kusema quran na biblia.

Msaada kwenye tafsiri kwanza
Kiranga
Post gani ya kimombo? Haina namba?

Be specific please. Weka namba ya post. Au inukuu.

Umepewa uwezo wa kuwa specific na teknolojia. Hawa watu waliokuwekea namba kwenye posts hawakuweka namba kama mapambo. Walioweka uwezo wa kunukuu post hawajaweka uwezo wa kunukuu kama mapambo.

Ondoa utata.

Be specific.

Don't be vague.

Kuna post kibao nimeandika kimombo.

Sasa ukisema post niliyoandika kimombo, nikitaka kuirejea niisome, ili nielewe point yako ni ipi, nitairejea post gani?

Ndiyo maana mijadala mingine tunashindwa kuelewana. Hata unapojenga hoja huwezi kujielezea ukaeleweka vizuri mpaka nikuulize maswali mara nne nne.

Be specific. Please.

Halafu nikimuuliza Mshana anaposema akili anamaanisha nini kuna watu watanishangaa!
 
Halafu tena unaniuliza mie tena hayo maelezo unayatoa kitabu gani? Kwelii!!!!
Nineacha kuzungumzia Mungubwa kwenye vitabu

Sahau vitabu..

Nimekuuliza.

Kwa kufikiri kichwani tu. Si kunukuu kitabu chochote.

Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, ambaye kaumba ulimwengu huu ambayo mabaya yanawezekana kuwepo. Unakubali yupo?

Hujajibubswali hili.
 
umekosea kumjumuisha member wetu kiranga katika non-belivers.naomba utuombe radhi kaka mshana.
Naomba uelewe kwamba tuko kwenye mjadala huru... Tuelewe maana halisi ya kuomba radhi... Kupishana hoja na mitazano sio sehemu ya kuombana radhi
Sijamtusi mtu
Sijamdhihaki mtu
Sijamkejeli mtu
Nauliza u exclusivity ya nyie ni ipi mpaka mkatae kukosolewa! Tena kwa hoja?
Mimi ni mnyenyekevu na mwenye tafakuri sana na ni mwepesi kuomba radhi pale ninapoona kwa hakika nimekosea sio nje ya hapo
 
Naomba uelewe kwamba tuko kwenye mjadala huru... Tuelewe maana halisi ya kuomba radhi... Kupishana hoja na mitazano sio sehemu ya kuombana radhi
Sijamtusi mtu
Sijamdhihaki mtu
Sijamkejeli mtu
Nauliza u exclusivity ya nyie ni ipi mpaka mkatae kukosolewa! Tena kwa hoja?
Mimi ni mnyenyekevu na mwenye tafakuri sana na ni mwepesi kuomba radhi pale ninapoona kwa hakika nimekosea sio nje ya hapo
Wewe hata basic definition ya atheist huijui.

Una force mambo.

Original post yako inapotosha na watu kadhaa wamesema hilo.

Mpaka sasa nilikuwa hata sijataka kukuchana kuhusu hilo.

Kwa sababu umeshindwa hata kujibu akili ni nini kwa muktadha wako.
 
Back
Top Bottom