Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Pia ukielewa kuwa Mungu hapangiwi katika maamuzi yake na pia ukielewa kuwa Mungu ametupa majaribu ya aina mbali mbali ili tuzidi kumuabudu basi tusingefika kote huku. Ndomana nakwambia suala la Mungu ni la kiimani zaidi. Kwa bahati mbaya wewe Quran huiamini but ningekupa scientific proof ya uwepo wake pasi na shaka.
All u need is to empty your head and learn about Islam, Quran is science

First thing first.

Unaelewa kwamba sijasema Mungu anapangiwa? Bali anajipinga yeye mwenyewe, dhana ya kuwepo kwake haina mpango, inajipingpinga?

Unaelewa tofauti hapo?
 
Mkuu Kiranga conclusion ya hiyo article uliyoniambia niisome inasema hivi kuhusu dreams

"So, over the years, numerous theories have been put forth in an attempt to illuminate the mystery behind human dreams, but, until recently, strong tangible evidence has remained largely elusive."

Nafikiri hapa naweza sema principles za evidence based na testable zimeshindwa kutoa majibu kuhusu interpretation of dreams
Evidence kuhusu nini? Tatizo unabadilisha goalposts.

Ulivyoanza kuu;liza swali uliongelea interpretation of dreams?

Unajua hata unachotaka kuuliza ni nini?

Jamani, mnaona kwa nini nilimuuliza Mshana ajibu akili ni ninikabla sijamjibu swali lake kama nina akili au sina?

Your question was not specific, you got a general answer.

Now you are asking a totally different question.
 
Si suala la mungu wa kwenye vitabu au mie kukubali au kukataa.

Hoja ni kwamba hizo unazoita contradictions hazipingi ile dhana/imani ya kuwepo Mungu,bali zinahusu maelezo ya kwenye vitabu kuhusu Mungu. Ila wewe unatumia hoja ya contradictions kudai kwamba ni ushahidi hakuna Mungu.
Hujajibu swali nililokuuliza na ulilojibu sijakuuliza.

Nimekuuliza hivi.

Kwa hiyo unakubali Mungu wa kwenye vitabu ana contradictions na hayupo ni wa kutungwa na watu tu?

Huko kwingine kwa Mungu asiye kwenye vitabu nakuja, jibu swali hili kwanza ili tulimalize.
 
First thing first.

Unaelewa kwamba sijasema Mungu anapangiwa? Bali anajipinga yeye mwenyewe, dhana ya kuwepo kwake haina mpango, inajipingpinga?

Unaelewa tofauti hapo?
Mkuu wewe unaji contradict sana...si ndo nyie mnaodai kwamba eti kwanini anaachia mabaya wakati ana uwezo wa kuyaondoa..mara Oooh sijui kwanini hakuumba ulimwengu usiokua na mabaya .... sasa huku si ndo kumpangia katika maamuzi yake ama ??

Au wenzangu nyie hamuelewi hata hicho mnachokisimamia..tokea mwanzo sijaona solid arguments zenu zaidi ya kuuliza swali ndani ya swali.
 
Kwanini haukusubiri jibu kwa Kiranga ambaye ndiyo wa kwanza kuulizwa swali kama ana akili?

Kiranga anataka kutuaminisha ya kwamba neno akili lina maana nyingi na ndiyo maana ameshindwa kujibu swali kwa sababu hakujua muuliza swali alikusudia maana ipi.

Matokeo yake hajatoa hata maana mbili tu za neno akili ili tujue kweli alishindwa kuelewa.
Wewe huu mjadala unaufuatilia au unarukaruka tu?

Unaelewakwamba kuna watu watatu washajibu maana ya akili ni ninikw amujibu wao na nishawajibu kama ninazo au sina akili kwa muktadha wao?

Unajua hilo?

Unaelewa kwamba maandishi bado yapo kwenye hii thread na huhitaji archaeelogist kuyafukua?
 
Unaelewa nilichoandika ninini?

"Validity taste" ni nini? do you stickyour tongue inside the head to "taste" the dream if it is valid or not?

Kama hujui tofauti ya "test" na "taste"kwa nini nifikiri nikikuelezea utaielewa?

Typing error zisikufanye ukimbie hoja
Nimeandika 'taste' kimakosa
Nlikuwa nataka kuandika 'test'

Naomba majibu
 
Nilikuuliza chanzo cha ulimwengu tukitafute kwenye nini?

Baada ya hapo wewe ukajibu



Sasa baada ya hapo nikauliza swali lingine jipya
Humo kwenye muunganiko wa quantum theory na relativity theory zinasema "chanzo cha ulimwengu ni nini?
Umeniuliza square root ya 2 tuitafute wapi?

Nikakujibu tuitafute katiya 1 na 2.

Unaniuliza huko kati ya 1 na 2 ndiko kuna namba zinazosema square root ya 2 ni nini?

By convergence, the mathematics needed to resolve the nature and beginning of the universe in the singularity at the big bang, according to the best known current theories, can be narrowed down to reconciling Einstein's Relativity, which dealst with the science of the very big/heavy and quantum theory, which deals with the very small.

This is because, at the singularity, allthe matter of the universe is condensed into an infinitesimally small space -the primordial beginning of our spacetime, necessitating a conundrum of the very dense/ large mass (Einstein's Relativity)in an infinitesimally small space (Quantum Physics).

Without coming up with the mathematics of reconciling Relativity and Quantum Physics, which has not been done todate, the beginning of the universe will remain unknown.
 
Mkuu wewe unaji contradict sana...si ndo nyie mnaodai kwamba eti kwanini anaachia mabaya wakati ana uwezo wa kuyaondoa..mara Oooh sijui kwanini hakuumba ulimwengu usiokua na mabaya .... sasa huku si ndo kumpangia katika maamuzi yake ama ??

Au wenzangu nyie hamuelewi hata hicho mnachokisimamia..tokea mwanzo sijaona solid arguments zenu zaidi ya kuuliza swali ndani ya swali.

Hapana, kumpangia ni hivi.

Mungu: Mimi ni Mungu mbaya, naua watu, nawapa magonjwa, sijali wakiwa na njaa.

Kiranga: Wewe Mungu ni mbaya, ungekuwa mzuri usingeua watu, usingewapa magonjwa, ungejali wakiwa na njaa.

Hapo utasema Kiranga anampangia Mungu.

Lakini hili si lililopo.Tunachoambiwa ni hiki.

Mungu: Mimi ni Mtakatifu sana, nina upendo wote, ujuzi wote, uwezo wote. Kisha, nina ghadhabu kali, nahukumu wana kwa makosa ya baba na babu zao, naua wanyama kwa makosa ya watu. Naruhusu mabaya duniani hata kama naweza kuyazuia na niliweza kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani. Naua mpaka vitoto vichanga kwa kuvifukia kwa matetemeko ya ardhi.

Kiranga: Mungu, mimi sikupangii, najua unafanya unachotaka kufanya, lakini mbona hueleweki? Mbona unasema wewe una uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, halafu unaachia mabaya? Kwa nini hukuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Hapo sijampangia, nimehoji mbona yeye mwenyewe anajipinga ?
 
Evidence kuhusu nini? Tatizo unabadilisha goalposts.

Ulivyoanza kuu;liza swali uliongelea interpretation of dreams?

Unajua hata unachotaka kuuliza ni nini?

Jamani, mnaona kwa nini nilimuuliza Mshana ajibu akili ni ninikabla sijamjibu swali lake kama nina akili au sina?

Your question was not specific, you got a general answer.

Now you are asking a totally different question.

Kama swali lilikuwa general then limeshakuwa specified toa majibu.
 
Without coming up with the mathematics of reconciling Relativity and Quantum Physics, which has not been done todate, the beginning of the universe will remain unknown.

Nashukuru hili umeshanukuu/kusema kabisa

"'....the begining of the universe will remain unkonwn."

Au nimekuelewa tofauti?

Zingatia hizo ... mwanzo wa quote mkuu
 
Typing error zisikufanye ukimbie hoja
Nimeandika 'taste' kimakosa
Nlikuwa nataka kuandika 'test'

Naomba majibu
Test nini? Unaweza kurudi nyumaulikoanzia ambakoumeanza kuuliza mamboya ndoto ukanionesha umeuliza kuhusu ku test nini?

Mimi naweza kukuambiandoto ziko testable, watu wanaweza kuweka vyombovya kupima REM na waves kwenye ubongo wa watu kadhaa, na wale watu wakalala, wakiamka asubuhi,vile vyombo vinaweza kuonesha kwamba fulani kaota ndoto, na fulani hajaota ndoto, kwamujibu wa readings za ubongo zao.

Tayari dreams zishakuwa evidence based and testable.

Sijawahi kusema sayansi inaweza kutafsiri kila ndoto au hata kama kila ndoto ina tafsiri.

Hiloswalihalipo katika domain ya nilichosema.

Ni kamavile nakwambia kwamba maandishi ya kwenye kitabu yanaonekana kwa macho, naweza kuona maandishi ya kitabu nikasemayapo kwa sababu nayaona.

Halafu wewe unaniambia hiki kitabu cha Sweden kimeandikwa Kiswede, unaweza kunisomea na kuniambia wameandika nini?

Sijakwambia kwamba naweza kusoma Ki Swede. Nimekwambia unaweza kuonesha maandishi yapo kwa ushahidi.

Unachanmganya mambo tofauti.
 
Nashukuru hili umeshanukuu/kusema kabisa

"'....the begining of the universe will remain unkonwn."

Au nimekuelewa tofauti?

Zingatia hizo ... mwanzo wa quote mkuu
Soma post 1431 nishajibu kablakuona hiipost kwa sababu nilijua unakwenda huko.

Najibu maswali yako kablahujauliza, maswali yangu narudia mara mia huyajibu.

Kwa sababu unatetea uongousioweza kuuelezea.
 
Nashukuru hili umeshanukuu/kusema kabisa

"'....the begining of the universe will remain unkonwn."

Au nimekuelewa tofauti?

Zingatia hizo ... mwanzo wa quote mkuu
Umeelewa kilichofuatia baada ya neno "unknown" hapo?

Au unakata nukuu bila kuielewa?

Nikisema "siwezi kwenda Kariakoo mpaka nipate nauli ya daladala" maana yake nini?

Utaishia kuninukuu kwamba nimesema "siwezi kwenda Kariakoo" ?
 
Hujajibu swali nililokuuliza na ulilojibu sijakuuliza.

Nimekuuliza hivi.

Kwa hiyo unakubali Mungu wa kwenye vitabu ana contradictions na hayupo ni wa kutungwa na watu tu?

Huko kwingine kwa Mungu asiye kwenye vitabu nakuja, jibu swali hili kwanza ili tulimalize.
Nadhani haujanielewa.

Hakuna nilipotenganisha mungu wa kwenye vitabu na mungu mwengine au kusema kuwa kuna mungu wa kwenye vitabu na mungu asiyekwenye vitabu.

Hoja yangu ni kwamba anayekusudiwa hapa ni mmoja tu ambaye ndiyo muumbaji,ila kuna maelezo tofauti kumuhusu bhuyo mungu kama yaliyopo kwenye hivyo vitabu na kuna wengine hawafuati hivyo vitabu ila pia wanaamini mungu ambaye ndiyo muumbaji.

Sasa wewe hiyo hoja ya contradictions inahusu maelezo ya kwenye hivyo vitabu vya dini na ndiyo maana hata wale wenye kuamini mungu ila hawaamini hivyo vitabu wanakubaliana na wewe.

Kwahiyo hauwezi kuniuliza kuwa kama nimekubali et mungu wa kwenye vitabu hayupo?hakuna mungu wa kwenye vitabu,ila kuna maelezo yenye kuhusu Mungu kwenye hivyo vitabu.
 
Test nini? Unaweza kurudi nyumaulikoanzia ambakoumeanza kuuliza mamboya ndoto ukanionesha umeuliza kuhusu ku test nini?

Mimi naweza kukuambiandoto ziko testable, watu wanaweza kuweka vyombovya kupima REM na waves kwenye ubongo wa watu kadhaa, na wale watu wakalala, wakiamka asubuhi,vile vyombo vinaweza kuonesha kwamba fulani kaota ndoto, na fulani hajaota ndoto, kwamujibu wa readings za ubongo zao.

Tayari dreams zishakuwa evidence based and testable.

Sijawahi kusema sayansi inaweza kutafsiri kila ndoto au hata kama kila ndoto ina tafsiri.

Hiloswalihalipo katika domain ya nilichosema.

Ni kamavile nakwambia kwamba maandishi ya kwenye kitabu yanaonekana kwa macho, naweza kuona maandishi ya kitabu nikasemayapo kwa sababu nayaona.

Halafu wewe unaniambia hiki kitabu cha Sweden kimeandikwa Kiswede, unaweza kunisomea na kuniambia wameandika nini?

Sijakwambia kwamba naweza kusoma Ki Swede. Nimekwambia unaweza kuonesha maandishi yapo kwa ushahidi.

Unachanmganya mambo tofauti.

Hayo maelezo ya REM yapo tayari kwenye link nilyokuwekea ili usome
Unachofanya ni kurudia rudia tuu maelezo hamna jipya

Umenipa link nisome kuhusu dreams
Nikasoma nikakuwekea conclusion ya hiyo article hukujibu chochote hadi sasa hivi
 
Umeelewa kilichofuatia baada ya neno "unknown" hapo?

Au unakata nukuu bila kuielewa?

Nikisema "siwezi kwenda Kariakoo mpaka nipate nauli ya daladala" maana yake nini?

Utaishia kuninukuu kwamba nimesema "siwezi kwenda Kariakoo" ?

Wewe unahisi sijakuelewa?
 
Wewe huu mjadala unaufuatilia au unarukaruka tu?

Unaelewakwamba kuna watu watatu washajibu maana ya akili ni ninikw amujibu wao na nishawajibu kama ninazo au sina akili kwa muktadha wao?

Unajua hilo?

Unaelewa kwamba maandishi bado yapo kwenye hii thread na huhitaji archaeelogist kuyafukua?
Na hapo ndiyo penye tatizo,maana maana neno "akili" ni neno ambalo hutumika katika maongezi yetu ya kila siku na lina maana,na halipo miongoni mwa maneno yenye maana zaidi ya moja.

Na ndiyo maana Mshana alipolitumia hilo neno kukuulizia swali hakuhitaji kulitolea maelezo,ajabu sasa wewe ukaanza kuleta habari za muktadha na kutaka tafsiri binafsi.

Kwanini uliyaleta hayo?na ndiyo chanzo cha kukwamisha mjadala.
 
Nadhani haujanielewa.

Hakuna nilipotenganisha mungu wa kwenye vitabu na mungu mwengine au kusema kuwa kuna mungu wa kwenye vitabu na mungu asiyekwenye vitabu.

Hoja yangu ni kwamba anayekusudiwa hapa ni mmoja tu ambaye ndiyo muumbaji,ila kuna maelezo tofauti kumuhusu bhuyo mungu kama yaliyopo kwenye hivyo vitabu na kuna wengine hawafuati hivyo vitabu ila pia wanaamini mungu ambaye ndiyo muumbaji.

Sasa wewe hiyo hoja ya contradictions inahusu maelezo ya kwenye hivyo vitabu vya dini na ndiyo maana hata wale wenye kuamini mungu ila hawaamini hivyo vitabu wanakubaliana na wewe.

Kwahiyo hauwezi kuniuliza kuwa kama nimekubali et mungu wa kwenye vitabu hayupo?hakuna mungu wa kwenye vitabu,ila kuna maelezo yenye kuhusu Mungu kwenye hivyo vitabu.

Achana na vitabu.

Unakubali kwamba mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kuumba ulimwengu huu unaoruhusu mabaya ni contradiction?
 
Achana na vitabu.

Unakubali kwamba mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kuumba ulimwengu huu unaoruhusu mabaya ni contradiction?
Unaniambia niachane na vitabu halafu hapo hapo unatumia maelezo ya kwenye vitabu kuniuliza swali.

Mbona haueleweki mkuu?halafu hata hivyo hoja yangu nimeeleza vizuri tu ni nini nazungumzia ila ajabu umeng'ang'ana kuniuliza hilo swali ambalo msingi wake ni maelezo ya kwenye vitabu vya dini.
 
Wewe unahisi sijakuelewa?
Kwa nini umekatisha nukuu?

Nimeandika "siwezi kwenda Kariakoo mpaka nipate nauli ya daladala"

Wewe unaninukuu kwamba nimesema "siwezi kwenda Kariakoo".

Nikisema hujaandika kama mtu aliyenielewa nitakuwa nimekosea?
 
Back
Top Bottom