Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Kwenye post yangu ya kwanza nilijua mleta mada atatoka mpio, nikavuta subira labda kaja Na jipya kuliko wengine walio tangulia. Nimegungua hajajipanga ana onekana majukwaa mengine kakimbia mjadala, jibu akili ni nini? Naona ana anaenda kwa style ya kunyakua huku Uzi ukifika page 1400
Nimekudharau!
 
Kutokuwepo kwa mungu ni dhana uwepo wake kujipinga.

Mwenye upendo wote kuumba dunia hii yenye kuwezekana kuwako kwa mabaya, mabaya yote kuwako ni uthbitisho kuwa mungu hayupo
hoja zenu ni dhaifu mno...naamini hata wewe hapo ulipo huwezi jitokeza hadharani na kutetea hoja dhaifu kama hizi na kuzifanya ndo defensive mechanism yenu kumpinga Mungu mwenye utukufu wote muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo, uvijuavyo na usivyovijua.
 
Kutokuwepo kwa mungu ni dhana uwepo wake kujipinga.

Mwenye upendo wote kuumba dunia hii yenye kuwezekana kuwako kwa mabaya, mabaya yote kuwako ni uthbitisho kuwa mungu hayupo
Naam,

Mpaka sasa sijaona mtu aliyekanusha hili.

Kama Mungu yupo, ni muweza wa yote, mwenye upendo wote, ujuzi wote na kaumba ulimwengu huu, kwa nini kaumba ulimwengu ambao mabaya yanaweza kutokea wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kutokea.

Jibu la makosa ya mtu si jibu sahihi, Mungu angeweza kuumba dunia ambayo makosa hayawezekani.

Jibu la shetani si hibu sahihi, Mungu angeweza kuumba ulimwengu ambao shetani hawezi kuwepo.

Jibu la free will si jibu sahihi, Mungu angeweza kufanya mabaya hayawezekani kufanyika kama natural law, kama vile ambavyo hatuwezi kurudi nyuma katika muda, hatuwezi kurudi nyuma katika muda lakini wanaosema Mungu katupa free will hawasemi hilo linazuia free will.

Sijapata jibu la swali hili bado.
 
Square root ya 2 haiwezi kuwa kubwa zaidi ya 2 (kwa sababu namba ikiwa kubwa zaidi ya 2, uki i squared jibu litakuwa kubwa kuliko 2)
-Square root ya 2 haiwezi kuwa ndogo zaidi ya 1 (kwa sababu 1 squared ni moja)
- Square root ya 2 ipo kati ya 1 na 2


Hili linakidhi vigezo vya kuwa logical consistent, testable na pia evidence based.

Mfano wa square root uko wazi sababu kuna kanuni ambazo binadamu wamezitunga/wamezigundua/wamezitengeneza.

Mfano kuna vitu kibao vya kikemia lazima kifanyike under a certain room temperature ili upate majibu sahihi. Ukitoa hiyo kanuni ya room temperature kamwe hautopata jibu sahihi


Nimekutolea mfano wa ndoto kama unakidhi hizo principles.
Nasubiri majibu
 
sasa mkuu advancement ya elimu ndo kigezo cha kupinga uwepo wa Mungu ??
Hapana, contradictions katika dhana ya Mungu kuwepo wala hazihitajia advancement ya elimu kuziona, ni elementary kabisa.

Ukielewa contradiction ni nini, ukielewa kitu chenye contradiction hakipo, ukielewa square root ya 2 haiwezi kuwa kubwa kuliko 2, ukielewa Mungu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote ana contradiction, utaweza kuona kwamba Mungu huyo hayupo.

Huhitaji elimu kubwa sana.
 
hoja zenu ni dhaifu mno...naamini hata wewe hapo ulipo huwezi jitokeza hadharani na kutetea hoja dhaifu kama hizi na kuzifanya ndo defensive mechanism yenu kumpinga Mungu mwenye utukufu wote muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo, uvijuavyo na usivyovijua.
Umethbitisha kuwa mungu yupo?
 
Hili linakidhi vigezo vya kuwa logical consistent, testable na pia evidence based.

Mfano wa square root uko wazi sababu kuna kanuni ambazo binadamu wamezitunga/wamezigundua/wamezitengeneza.

Mfano kuna vitu kibao vya kikemia lazima kifanyike under a certain room temperature ili upate majibu sahihi. Ukitoa hiyo kanuni ya room temperature kamwe hautopata jibu sahihi


Nimekutolea mfano wa ndoto kama unakidhi hizo principles.
Nasubiri majibu
Nimekujibu na kukupa article ya Scientific American, umeisoma?
 
Naam,

Mpaka sasa sijaona mtu aliyekanusha hili.

Kama Mungu yupo, ni muweza wa yote, mwenye upendo wote, ujuzi wote na kaumba ulimwengu huu, kwa nini kaumba ulimwengu ambao mabaya yanaweza kutokea wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kutokea.

Jibu la makosa ya mtu si jibu sahihi, Mungu angeweza kuumba dunia ambayo makosa hayawezekani.

Jibu la shetani si hibu sahihi, Mungu angeweza kuumba ulimwengu ambao shetani hawezi kuwepo.

Jibu la free will si jibu sahihi, Mungu angeweza kufanya mabaya hayawezekani kufanyika kama natural law, kama vile ambavyo hatuwezi kurudi nyuma katika muda, hatuwezi kurudi nyuma katika muda lakini wanaosema Mungu katupa free will hawasemi hilo linazuia free will.

Sijapata jibu la swali hili bado.
Hawawezi kukanusha, kwa kuwa wapo kwa wengi wape ktk mkumbo.
 
Hapo imesemwa chanzo cha ulimwengu ni nini?
Wewe uliuliza chanzo cha ulimwengu ni nini au chanzo cha ulimwengu tukitafute kwenye nini?

Ushasahau ulichouliza mara hii?

Hujauliza "Chanzo cha ulimwengu tukitafute kwenye nini?" hapo juu?

Unabadilisha swali baada ya kukujibu swali lako au vipi?

Nilishawahi kukwambia nakijua chanzo cha ulimwengu?
 
Ndoto zimeelezewa kisayansi, kisaikolojia, zinapimwa kwa theta waves kwenye frontal lobe.

Soma hapa Scientific American waliandika article kuhusu hili.

The Science Behind Dreaming

Swala la sayansi kuthibitisha uwepo wa ndoto nalijua hata kwenye post yangu nimesema hili
Oneirology - Wikipedia

Mimi ninauliza swala la kufanyia validity taste kwenye dream interpretation ili ziwe logicaly consistent, testable na evidence based.

Je unaweza apply hizo principles 3 hapo kwenye dream interpretation?
 
Hapana, contradictions katika dhana ya Mungu kuwepo wala hazihitajia advancement ya elimu kuziona, ni elementary kabisa.

Ukielewa contradiction ni nini, ukielewa kitu chenye contradiction hakipo, ukielewa square root ya 2 haiwezi kuwa kubwa kuliko 2, ukielewa Mungu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote ana contradiction, utaweza kuona kwamba Mungu huyo hayupo.

Huhitaji elimu kubwa sana.
Pia ukielewa kuwa Mungu hapangiwi katika maamuzi yake na pia ukielewa kuwa Mungu ametupa majaribu ya aina mbali mbali ili tuzidi kumuabudu basi tusingefika kote huku. Ndomana nakwambia suala la Mungu ni la kiimani zaidi. Kwa bahati mbaya wewe Quran huiamini but ningekupa scientific proof ya uwepo wake pasi na shaka.
All u need is to empty your head and learn about Islam, Quran is science
 
Nimekujibu na kukupa article ya Scientific American, umeisoma?

Mkuu Kiranga conclusion ya hiyo article uliyoniambia niisome inasema hivi kuhusu dreams

"So, over the years, numerous theories have been put forth in an attempt to illuminate the mystery behind human dreams, but, until recently, strong tangible evidence has remained largely elusive."

Nafikiri hapa naweza sema principles za evidence based na testable zimeshindwa kutoa majibu kuhusu interpretation of dreams
 
Kwa hiyo unakubali Mungu wa kwenye vitabu ana contradictions na hayupo ni wa kutungwa na watu tu?
Si suala la mungu wa kwenye vitabu au mie kukubali au kukataa.

Hoja ni kwamba hizo unazoita contradictions hazipingi ile dhana/imani ya kuwepo Mungu,bali zinahusu maelezo ya kwenye vitabu kuhusu Mungu. Ila wewe unatumia hoja ya contradictions kudai kwamba ni ushahidi hakuna Mungu.
 
Kwenye post yangu ya kwanza nilijua mleta mada atatoka mpio, nikavuta subira labda kaja Na jipya kuliko wengine walio tangulia. Nimegungua hajajipanga ana onekana majukwaa mengine kakimbia mjadala, jibu akili ni nini? Naona ana anaenda kwa style ya kunyakua huku Uzi ukifika page 1400
Kwanini haukusubiri jibu kwa Kiranga ambaye ndiyo wa kwanza kuulizwa swali kama ana akili?

Kiranga anataka kutuaminisha ya kwamba neno akili lina maana nyingi na ndiyo maana ameshindwa kujibu swali kwa sababu hakujua muuliza swali alikusudia maana ipi.

Matokeo yake hajatoa hata maana mbili tu za neno akili ili tujue kweli alishindwa kuelewa.
 
Wewe uliuliza chanzo cha ulimwengu ni nini au chanzo cha ulimwengu tukitafute kwenye nini?

Ushasahau ulichouliza mara hii?

Hujauliza "Chanzo cha ulimwengu tukitafute kwenye nini?" hapo juu?

Unabadilisha swali baada ya kukujibu swali lako au vipi?

Nilishawahi kukwambia nakijua chanzo cha ulimwengu?

Nilikuuliza chanzo cha ulimwengu tukitafute kwenye nini?

Baada ya hapo wewe ukajibu

Kwenye hesabu za muunganiko wa Einstein's Theory of Relativity na Quantum Theory,kwenye quantum gravity.

Sasa baada ya hapo nikauliza swali lingine jipya
Humo kwenye muunganiko wa quantum theory na relativity theory zinasema "chanzo cha ulimwengu ni nini?
 
Swala la sayansi kuthibitisha uwepo wa ndoto nalijua hata kwenye post yangu nimesema hili
Oneirology - Wikipedia

Mimi ninauliza swala la kufanyia validity taste kwenye dream interpretation ili ziwe logicaly consistent, testable na evidence based.

Je unaweza apply hizo principles 3 hapo kwenye dream interpretation?
Unaelewa nilichoandika ninini?

"Validity taste" ni nini? do you stickyour tongue inside the head to "taste" the dream if it is valid or not?

Kama hujui tofauti ya "test" na "taste"kwa nini nifikiri nikikuelezea utaielewa?
 
Back
Top Bottom