Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Imebid nirud tena kusoma mada nimegundua kiranga a kuchukua neno moja tu akili na kulileta hapa.

Badala ya kujibu kile anachopaswa kujibu.

NAANGALIA HAPA MSHANA ALIPOMALIZIA NA NDIPO KIRANGA ALIPOPATA SILAHA YAKE ISIYO NA UZITO

"/Wote tuna akili. Je, kuna ithibati? Na kama hatuna akili tuna ithibati? Lakini uhalisia unasemaje?"
Uzuri ni kwamba anapolala wenzake walishaamka..
 
Imebid nirud tena kusoma mada nimegundua kiranga a kuchukua neno moja tu akili na kulileta hapa.

Badala ya kujibu kile anachopaswa kujibu.

NAANGALIA HAPA MSHANA ALIPOMALIZIA NA NDIPO KIRANGA ALIPOPATA SILAHA YAKE ISIYO NA UZITO

"/Wote tuna akili. Je, kuna ithibati? Na kama hatuna akili tuna ithibati? Lakini uhalisia unasemaje?"
Ile kozi niliyokupeleka Msata kilingeni umefaulu vizuri sana
 
Mi ninachoona Kiranga hana akili ndo maana kashindwa kujibu swali jepesi na rahisi kama hilo.. so Mshana jr endelea tu na ulipokuwa unataka kuendelea baada ya kumuuliza hilo swali. huyo mtu hajijui kama ana akili au hana kuendelea kubishana wote mtaonekana hamna akili
 
Inafurahisha sana ukisema Mungu unaambiwa hayupo bila kuulizwa Mungu yupi lakini ukisema akili unatakiwa useme unamaanisha akili ipi.
Mungu tunaesema hayupo ni yule wa biblia na vitabu vingine vya dini.

Mungu huyu anaesujudiwa muumba wa nchi na mbingu.

Huyo ndio nasema wazi hayupo.

Ila ukisema Beyonce ni Mungu, sifa zake ni anaimba mziki, kaolewa na Jay Z, nitakuambia ndio Beyonce ni Mungu. Nitajibu hivyo kwasababu ya sifa ya Mungu alivyoelezwa kwa Beyonce
 
Ungekuwa una point au kusema akili inatafsiri nyingi basi ungejibu kwa tafsiri unayoijua ww halafu yeye angekuambia sijauliza kwa mlengo huo nawe ungejitetea kuwa swali lake halikuwa wazi sio kujizungusha zungusha tu ..
Hapana, sitaki kumfanyiakazi yake.

Kwa nini mimi nimfanyie kazi yake yeye?

Wakati yeye ndiye ananiuliza swali mimi?

Yeye anakilemagani mpaka ashindwe kuuliza swali lake mwenyewe vizuri?
 
Mkuu hawatakwambia kamwe maana ya akili japo wamekuuliza kama unayo au huna.
Tunakoelekea ni kujaza mada tu bila hoja za msingi.
[HASHTAG]#Akilininini[/HASHTAG]?
Hahaha, inamaana walivyokuwa wanauliza kama nina akili walikuwa wanauliza kuhus akili kama kitu wasichokijua ana vipi?
 
Hapana, sitaki kumfanyiakazi yake.

Kwa nini mimi nimfanyie kazi yake yeye?

Wakati yeye ndiye ananiuliza swali mimi?

Yeye anakilemagani mpaka ashindwe kuuliza swali lake mwenyewe vizuri?
Swali lake lipo vzr sana.
Unapotaka aulize vzr kwa tafsiri yako wewe huko ni kutaka aulize swali jipya tena tofauti na la mwanzo.
 
Mi ninachoona Kiranga hana akili ndo maana kashindwa kujibu swali jepesi na rahisi kama hilo.. so Mshana jr endelea tu na ulipokuwa unataka kuendelea baada ya kumuuliza hilo swali. huyo mtu hajijui kama ana akili au hana kuendelea kubishana wote mtaonekana hamna akili
Wewe unazo?

Thibitisha kwa picha nizione mkuu
 
Hapana, sitaki kumfanyiakazi yake.

Kwa nini mimi nimfanyie kazi yake yeye?

Wakati yeye ndiye ananiuliza swali mimi?

Yeye anakilemagani mpaka ashindwe kuuliza swali lake mwenyewe vizuri?
Walimu waliokufundisha walipata taabu sana nadhan maswali yao ilibidi yaanze na tafsiri ya maneno yote ya kwenye swali la msingi halafu ndo swali liulizwe huku likiwa na jibu ndani yake
 
Inafurahisha sana ukisema Mungu unaambiwa hayupo bila kuulizwa Mungu yupi lakini ukisema akili unatakiwa useme unamaanisha akili ipi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom