Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Ile ilikuwa ndip sifa anuai yake,kama hivi qlikuwa hajui kusoma na kuandika vipi angejua kusoma si ndip mngesema jamaa alikuwa mtunzi bora kuwahi kutokea.

Mola wetu ni mjuzi wa kupanga mambo.

Bado tunamuita mpumbavu aliyeshika akili za wapuuzi wachache mfano kama wako
 
Ila hii post yako # 4206 imeonyesha udhaifu wako mkubwa sana na uongo wako wa wazi,kumbe huwa mnakimbia kujibu maswali makusudi kuficha ujinga wenu na kujichanganya changanya kama ulivyo jipala mavi kwa hii post yako.
Ni hayawani tu ndiye ataona kama ulivyoona wewe kwenye post yangu
 
Yule wa kwanza kama ni mtu basi huyo huyo ndio Mungu/mungu then akaumba wengine tukaendelea kuzaliana hiyo vipi?Kama ukisema hapana wa kwanza aliumbwa, kwa nini huyu alieumba ukatae hakuumbwa?[emoji38][emoji38][emoji38] Hapo fasta watu wanaanza kukuletea vitabu na quotation bila proof[emoji23].
Ukimwambia athibitishe hawezi
 
Mpaka kufikia kuchukua mwelekeo au mtazamo huo ulionayo, umefanya utafiti na kuona kwamba, hicho unachokifuata ni sahihi, ndio ukweli.
Hii maana yake ni kwamba, una taarifa zote sahihi kwa pande zote: Mungu unaemkana hayupo, ni uongo, na hicho unachofuata na kuelewa ndio ukweli. Hicho cha kwako unachofuata, na Mungu unaemkana umeviweka kwenye mizani ukapima, ikaonekana Mungu ni uongo na hicho chako ndio ukweli.
Sasa, naomba unijibu maswali haya matatu:
1. Mungu maana yake ni nini?
2. Binadamu maana yake ni nini?
3. Ulimwengu maana yake ni nini?
Kutoka hapo, tutaweza kuendelea na mada. Tuelimishane.

Kwanza tuwekane sawa, kwasababu si kweli kama nimemkana mungu kama unavyodai. Mungu huyu hayupo sasa kivipi nimkane??


Maana ya mungu inasaidia nini au inahusika vipi katika hoja yangu kuhusu chanzo kisicho chanzo ambacho ni ulimwengu??

Binadamu - kwanza nielewavyo mimi neneo hili limetokana na maneno ya kiarabu "bin" halafu neno "adamu" ni jina la mtu ambaye ni finction character. neno hili ukiunganisha linakua binadamu likimaanisha mtoto wa adamu ambaye katokana na hadithi
 
Mkuu kwa heshima na taadhima hebu imagine una nguvu za kuona kesho na una nguvu za ku control kitu, na una nguvu za kuumba.Halafu unaamua kuwa naumba kitu aidha kwa mfano wako wewe au mfano wa kipekee lakini kitakuwa kina hisia na akili, halafu hicho "kitu" unakiweka katika mazingira kuwa kifate utaratibu wako ambao umeundaa ambao kwa kiasi kikubwa kile kitu chako,tukiite kiumbe unajua kina madhaifu ambayo pia umekiumba nacho, halafu mwisho unaamua pamoja na udhaifu nilichokiumbia kisipofaulu hizo condition basi ntakiangamiza/kukipa mateso makali.Hii yote ni ili iweje?Ukifikiria huru bila kwenda na "fear and obedience ya doctrine" kuna kitu hapa utaanza kuhisi hakiko sawa.
Hizi attempt za yupo au hayupo jibu lake ni hakuna anaejua.Kuwepo kwa nguvu za ziada hakumaanishi kuwa kuna Mungu/mungu inatakiwa kutambulika kama nguvu za ziada hivyo hivyo.
In the coming 5000 years mashine zikiweza pia kujitengeneza na tukazikabidhi rasmi akili through very sophisticated Artificial Intelligence kama zetu(tukiwa tumeshaziumba kwa mfano wetu) na zenyewe hizo machines katika majadiliano zitasema zimeumbwa na creator, zitajadiliana chanzo na mwisho zitakosa kujua kipi ni kipi, sio ajabu zikaanza kuandikiana vitabu vikaitwa Einstein,Nichola Tesla, Karl Max,e.t.c
 
Miaka na miaka watu bado wanajitutumua kusema kitu hakipo,ni ajabu kwa kweli ni wazi kuna sehemu hapako sawa.

Kukitafuta kitu kisichokuwepo ni sawa na kutafuta maembe kwenye shamba la michungwa

Kisichokuwepo huwezi kukithibitisha kuwepo kwake kwakuwa hakipo
 
Kama ukisema hapana wa kwanza aliumbwa, kwa nini huyu alieumba ukatae hakuumbwa?
Sasa hili liko kwako,utuambie kwanini yule aliyeumba awe ameumbwa ?

Kwako wewe ili uthibitisho uwe uthibitisho unatakiwa ukidhi vitu gani ?
 
Na ndiomaana nimekwambia huna uwezo wa kunipelekesha kukubali ujinga wako, kwasababu sitaki wote tufanane

Mwanadamu hana chanzo sababu ni chanzo cha vingine,muda huo huo unasema Ulimwengu ndio chanzo cha kila kitu ?

Hutumii akili kufikiria bali hisia na kupenda ubishani na utaendelea kuwa kituko mpaka siku utakayo kubali ukweli.
 
Nilivyosema ulimwengu ndio chanzo cha kilakitu umekubaliana na mimi kua ulimwengu ndio chanzo cha kila kitu?
Ulipokuwa una andika haya ulikuwa unataka nikubaliane na wewe au wewe ulikuwa ujasema unachokiamini ?

Sasa suala la makubaliano linatoka wapi na la nini na ili iweje ?

Wewe umeleta uongo wako sasa ujengee hoja ili tuone ukweli wako wapi.
 
nami nitakuuliza mpaka unauliza hivyo unakubaliana na dhana ya chanzo cha chanzo hakina chanzo???
Hili nilikuhoji wewe sasa,rejea kisha ulijibu.
Sielewi chanzo unachokidai wewe kua ndicho, kwa muktadha huo uko sahihi
Huu ni udhaifu wako mwingine,hili ulitakiwa uulize mwanzo kabisa hata kabla ya kunukuu hoja zangu.

Kasome tena hoja zangu na hii kauli unatakiwa uirekebishe sababu inajipinga kwa kauli yako nyingine kwamba "Binadamu hana chanzo sababu yeye ni chanzo cha vingine,Ulimwengu ndio chanzo cha kila kitu". Hii kauli inajipinga pakubwa sana na kutokana na kauli kunapatikana maswali mengi mno na udhaifu mkubwa pia.
Aliyetoa sheria ya chanzo hakina chanzo ndiye anayebanwa na hiyo sheria yake mwenyewe kwa kumzuia kuhoji vyanzo vya vyanzo vingine. Unaikubali sheria hiyo??
Naona na wewe imekubana sio ? Maana naona umepayuka kule kwamba hakuna wajibu wa kuhoji juu ya chanzo cha kila kitu.

Kaka wewe ni mgonjwa wa akili,na unaparamia yasiyo kuhusu na kuyafanya yakuhusu.
 
Ni hayawani tu ndiye ataona kama ulivyoona wewe kwenye post yangu
Ile post yako ndio imemaliza mjadala wako na imekuvua nguo kabisa na kukuweka wazi uhalisia ya kuwa kumbe huwa mnaigiza bila kujijua na hamna elimu ya hiki mnachokikana.

Umejivua nguo,hii sisi waswahili tunasema "Kunya anye kuku,akinya bata ........." au "Mla mla leo mla jana kalani ?" au kama wasemavyo Waswahili.
 
Yule wa kwanza kama ni mtu basi huyo huyo ndio Mungu/mungu then akaumba wengine tukaendelea kuzaliana hiyo vipi?

Inaonekana huwa unasoma bila kutafakari.

Haya maneno ni yako wewe na utuambie umeyapata wapi ? Ukisoma kauli yangu iko wazi na nimekwambia kabisa,Mwanadamu wa kwanza kuumbwa ni Adamu na yeye huyu aliumbwa na Mola wetu muumba kwa mikono yake miwili,kwa maana hiyo kwa vyovyote vile yule aliye umba hawezi kuwa mtu sababu yeye ndio aliyemuumba binadamu wa kwanza.

Na kusema kama "Yule wa kwanza kama ni mtu huyo huyo ndip Mungu......." kwa misingi gani ? Unathibitisha au unataka upewe maelezo ?
 
Mkuu kwa heshima na taadhima hebu imagine una nguvu za kuona kesho na una nguvu za ku control kitu, na una nguvu za kuumba.
Ku "imagine" juu ya kitu kisichowezekana ni matumizi mabaya akili na kupoteza,na kufikiri pasi na mipaka ni utumwa wa kujitakia.

Kwanza umeonyesha udhaifu juu jua ya kutaka ku imagine kwa jambo lisilo wezekana,hapa umeonyesha ya kuwa hujui kwamba jambo hilo haliwezekani kwa kutokujua kwako ukapoteza muda kwenye hamna.

Yaani huwezi kupatia katika mfano ulio uweka sababu kufikiri kwa mtindo huo hakuwezekani na huwezi kupata jibu katika mtindo huo.
Halafu unaamua kuwa naumba kitu

Nani alikwambia kwamba binadamu anaumba na kile alichokiumba kikaitwa "Kiumbe", hii kauli yako haiungwi mkono na lugha yoyote hapa duniani. Kwa maana bado unaelea kwenye uongo na kutolijua hili kunaonyesha hukijui unacho kiongelea,huu ujasiri huwa nauona humu tu jf.
kitu aidha kwa mfano wako wewe au mfano wa kipekee lakini kitakuwa kina hisia na akili, halafu hicho "kitu" unakiweka katika mazingira kuwa kifate utaratibu wako ambao umeundaa ambao kwa kiasi kikubwa kile kitu chako,tukiite kiumbe unajua kina madhaifu ambayo pia umekiumba nacho, halafu mwisho unaamua pamoja na udhaifu nilichokium

Sababu umeshakosea katika msingi huko ulipoanzia haya maelezo hayana kazi tena wala maana yoyote.
 
Ku "imagine" juu ya kitu kisichowezekana ni matumizi mabaya akili na kupoteza,na kufikiri pasi na mipaka ni utumwa wa kujitakia.
Kwanza umeonyesha udhaifu juu jua ya kutaka ku imagine kwa jambo lisilo wezekana,hapa umeonyesha ya kuwa hujui kwamba jambo hilo haliwezekani kwa kutokujua kwako ukapoteza muda kwenye hamna.
Yaani huwezi kupatia katika mfano ulio uweka sababu kufikiri kwa mtindo huo hakuwezekani na huwezi kupata jibu katika mtindo huo.
Nani alikwambia kwamba binadamu anaumba na kile alichokiumba kikaitwa "Kiumbe", hii kauli yako haiungwi mkono na lugha yoyote hapa duniani. Kwa maana bado unaelea kwenye uongo na kutolijua hili kunaonyesha hukijui unacho kiongelea,huu ujasiri huwa nauona humu tu jf.
Sababu umeshakosea katika msingi huko ulipoanzia haya maelezo hayana kazi tena wala maana yoyote.
1.Si ndio Mungu/mungu mnaetufundisha yuko hivyo,simple like this kaumba,kaeka masharti na ambae atashindwa atapata cha mtema kuni regardless of christians au muslims katika hili mnafanana au?Mfano wa pale juu hiki ndicho kilikuwa cha msingi.Hayo ya binadamu haumbi kiumbe ni janja janja zako za kunifunga mdomo.
Mi ninaposiamamia ni kuwa suala la Mungu/mungu kuwepo au kutokuwepo ni suala tusilolijua... tuendelee kumtafuta tu labda ipo siku tutampata.Ila humu Jf tumekwama.
2.Huu ujasiri wa kuandika humu tunaupata kwa sababu humu hatukutani na kitu tunasema "never ignore the power of fools in large number" wanaweza kukuua.Leo majamaa wanatoka msikitini/kanisani uwaambie jamani eeh salini swalini ila humo kuna uongo mwingi,imagine negative shits zinazoweka kutokea naweza hata kupigwa😃😃😃.
Iko hivi wajinga wanaenda kanisani/misikitini kumtafuta Mungu/mungu. Intelligents wanaenda kama sehemu ya kuendelea kuishi vizuri na jamii hii ya wajinga in large numbers
 
Ile post yako ndio imemaliza mjadala wako na imekuvua nguo kabisa na kukuweka wazi uhalisia ya kuwa kumbe huwa mnaigiza bila kujijua na hamna elimu ya hiki mnachokikana.

Umejivua nguo,hii sisi waswahili tunasema "Kunya anye kuku,akinya bata ........." au "Mla mla leo mla jana kalani ?" au kama wasemavyo Waswahili.
Hizi ni porojo zako kulingana na attitude yako
 
Back
Top Bottom