Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Hili nilikuhoji wewe sasa,rejea kisha ulijibu.
Unanihoji mimi kivipi vitu ambavyo sijavitamka mimi?? Hii dhana ya chanzo kisicho na chanzo imeanzishwa na nyinyi believers sasa mnatakiwa mkubsliane kwanza nyinyi kua ni kweli kisha ndipo tuanze kuichambua

Huu ni udhaifu wako mwingine,hili ulitakiwa uulize mwanzo kabisa hata kabla ya kunukuu hoja zangu.
Huu ni udhaifu wako ulitakiwa kuweka wazi kabisa kabla hata hujaulizwa

|QUOTE]Kasome tena hoja zangu na hii kauli unatakiwa uirekebishe sababu inajipinga kwa kauli yako nyingine kwamba "Binadamu hana chanzo sababu yeye ni chanzo cha vingine,Ulimwengu ndio chanzo cha kila kitu". Hii kauli inajipinga pakubwa sana na kutokana na kauli kunapatikana maswali mengi mno na udhaifu mkubwa pia.[/QUOTE]
Kwaiyo hapo unachagua lipi liwe jibu kwako ambalo utalielewa vizuri kati ya ulimwengu na binadamu??

Naona na wewe imekubana sio ? Maana naona umepayuka kule kwamba hakuna wajibu wa kuhoji juu ya chanzo cha kila kitu.
Mpaka hapa umekubali kua ulimwengu ndio chanzo kwa minajili ya sheria hiyo huwezi kuhoji zaidi ya hapo. Na hitimisho la hoja hii ni kua mungu hayupo


Kaka wewe ni mgonjwa wa akili,na unaparamia yasiyo kuhusu na kuyafanya yakuhusu.

Nafurahi kua mgonjwa wa akili kwa kua bado nimeweza kung'amua uzushi mwingi ambao wasiougua ugonjwa wa akili wamekamatika kizembe tena hadi na mbutika zisizojua hata kusoma wala kuandika.
 
Hizi ni porojo zako kulingana na attitude yako
Lugha za ustaarabu hunogesha mjadala... Hoja hujibiwa kwa hoja na si kejeli wala viroja... Kila mtu hapa ana mtazamo na msimamo wake lakini tunaelimishana na kupingana na hoja
 
Mtazamano wangu ni kwamba binadamu wale wawili wa kwanza wana chanzo, chanzo chao ni nini ? Hapa bado sijapata jibu na ndio ninalolitafuta.
Kwani lazima wawe na chanzo?? Yaani haiwezekani kitu kikawepo bila chanzo??
 
Mwanadamu hana chanzo sababu ni chanzo cha vingine,muda huo huo unasema Ulimwengu ndio chanzo cha kila kitu ?

Hutumii akili kufikiria bali hisia na kupenda ubishani na utaendelea kuwa kituko mpaka siku utakayo kubali ukweli.

Sawa kabisa

Ngoja nikupe option

Jibu gani kati ya ilo unaloliona ni chanzo cha chanzo kingine kati ya binadamu na ulimwengu?
 
Ile post yako ndio imemaliza mjadala wako na imekuvua nguo kabisa na kukuweka wazi uhalisia ya kuwa kumbe huwa mnaigiza bila kujijua na hamna elimu ya hiki mnachokikana.

Umejivua nguo,hii sisi waswahili tunasema "Kunya anye kuku,akinya bata ........." au "Mla mla leo mla jana kalani ?" au kama wasemavyo Waswahili.
Hapa Hakuna hoja ya msingi
 
Lugha za ustaarabu hunogesha mjadala... Hoja hujibiwa kwa hoja na si kejeli wala viroja... Kila mtu hapa ana mtazamo na msimamo wake lakini tunaelimishana na kupingana na hoja
Mshana usiwe mnafiki, alivyoniita mimi mgonjwa wa akili mbona hujam quote kumrekebisha atumie lugha nzuri???
 
Si ndio Mungu/mungu mnaetufundisha yuko hivyo,simple like this kaumba,kaeka masharti na ambae atashindwa atapata cha mtema kuni regardless of christians au muslims katika hili mnafanana au?
Mtu makini akisoma kwenye haya maandishi yako tangu mwanzo,haoni kitu kingine isipokuwa ujinga wa kutoelewa mambo.
Kwenye maandishi yako hakuna hoja ya kipi unakielewa kwenye jambo la mwanadamu, ulimwengu na Mungu. Unaandika hivi kwamba mambo haya si tofauti katika maana, jinsi yake na ukweli wake.
Umeandika juu ya maadili na unajiuliza: iweje Mungu aliemba viumbe vyake aviadhibu tena? Unaona kuna shida! Hapo hapo hushwangazwi na huoni shida kwa mzazi kumwadhibu mwanae kwa kosa hilo hilo la maadili!
Nikiangalia kwenye maandishi yako nagundua umesoma mambo, lakini umeshindwa kufanya utafiti kujua ukweli wa mambo hayo (Binadamu, Ulimwengu na Mungu) au kinyume chake.
Mtu anaejua mambo hawezi kuandika kama wewe hivi. Unaandika bila kujua kama hili ni eneo la maarifa linalojitosheleza (Field of study)!
 
Maana ya mungu inasaidia nini au inahusika vipi katika hoja yangu kuhusu chanzo kisicho chanzo ambacho ni ulimwengu??

Binadamu - kwanza nielewavyo mimi neneo hili limetokana na maneno ya kiarabu "bin" halafu neno "adamu" ni jina la mtu ambaye ni finction character. neno hili ukiunganisha linakua binad
Kumbuka huwezi kujua huu ni ukweli au la; hiki kipo au hakipo kwa kukipuuza au kukipinga.
Njia pekee ya kujua hayo yote ni kufuatilia kwa kujifunza na kufanya utafiti: kuangalia uzoefu wa maisha.
Hatahivyo, hakuna hata swali moja ulilojibu.
Maneno tu ya bure...and they reflect who you are!
 
Unanihoji mimi kivipi vitu ambavyo sijavitamka mimi?? Hii dhana ya chanzo kisicho na chanzo imeanzishwa na nyinyi believers sasa mnatakiwa mkubsliane kwanza nyinyi kua ni kweli kisha ndipo tuanze kuichambua
Kwahiyo wewe uliposema Chanzo cha kila kitu ni Ulimwengu ulituiga sisi sio tena kibubusa ? Tena ukasema hupaswi kutaka kujua chanzo cha ulimwengu wakati ulimwengu ndio Chanzo cha kila kitu ?

Tatizo unakosa umakini mpaka unachosha,mamo mepesi sana haya,sijui vipi huyaelewi.

Hivi nikisema "Chanzo kisicho na chanzo" kuna tofauti gani na mtu akasema "Chanzo cha kila kitu ni Ukimwengu" ? Kwa unavyojua wewe ulimwengu hauna chanzo au nakuzulia ?
Kwaiyo hapo unachagua lipi liwe jibu kwako ambalo utalielewa vizuri kati ya ulimwengu na binadamu??
Hapo hakuna jibu sahihi,bali naonyesha udhaifu wako katika kujenga mambo na kuyaelewa,yaani unakurupuka bila kuelewa.

Hakuna cha mimi kuchukua.
Mpaka hapa umekubali kua ulimwengu ndio chanzo kwa minajili ya sheria hiyo huwezi kuhoji zaidi ya hapo. Na hitimisho la hoja hii ni kua mungu hayupo
Sijakubali hilo,nachofanya hapa naonyesha udhaifu wako tu.
Nafurahi kua mgonjwa wa akili kwa kua bado nimeweza kung'amua uzushi mwingi ambao wasiougua ugonjwa wa akili wamekamatika kizembe tena hadi na mbutika zisizojua hata kusoma wala kuandika.
Ugonjwa wa akili sio tusi na hii ni haki yako wala sijakudhulumu.

Ukweli ni kwamba hata kuusogelea huo unao uita uzushi hujausogelea,hapa shahidi ni nafsi yako hakuna haja ya kukubana tena ufinyua wako wa maarifa ya jambo hili umekuvua nguo jana.
 
Sawa kabisa

Ngoja nikupe option

Jibu gani kati ya ilo unaloliona ni chanzo cha chanzo kingine kati ya binadamu na ulimwengu?
Hapo hutakiwi kunipa option sababu hakuna jibu sahihi pili unatakiwa kubatilisha kabisa kauli yako ya kusema binadamu hana chanzo,halafu muda huo huo unasema chanzo cha kila kitu ni Ulimwengu,hakuna zaidi.

Unatakiwa ukiri huko nyuma kwamba ulikosea.
 
Mtu makini akisoma kwenye haya maandishi yako tangu mwanzo,haoni kitu kingine isipokuwa ujinga wa kutoelewa mambo.
Kwenye maandishi yako hakuna hoja ya kipi unakielewa kwenye jambo la mwanadamu, ulimwengu na Mungu. Unaandika hivi kwamba mambo haya si tofauti katika maana, jinsi yake na ukweli wake.
Umeandika juu ya maadili na unajiuliza: iweje Mungu aliemba viumbe vyake aviadhibu tena? Unaona kuna shida! Hapo hapo hushwangazwi na huoni shida kwa mzazi kumwadhibu mwanae kwa kosa hilo hilo la maadili!
Nikiangalia kwenye maandishi yako nagundua umesoma mambo, lakini umeshindwa kufanya utafiti kujua ukweli wa mambo hayo (Binadamu, Ulimwengu na Mungu) au kinyume chake.
Mtu anaejua mambo hawezi kuandika kama wewe hivi. Unaandika bila kujua kama hili ni eneo la maarifa linalojitosheleza (Field of study)!
Sawasawa umecheza vizuri formation ya wengi wenu;attack then lie. Nisaidie tu kwa kifupi utafiti uliofanya wewe na kuthibitisha bila chembe ya shaka kuwa Mungu/mungu yupo...
 
Hapo hutakiwi kunipa option sababu hakuna jibu sahihi pili unatakiwa kubatilisha kabisa kauli yako ya kusema binadamu hana chanzo,halafu muda huo huo unasema chanzo cha kila kitu ni Ulimwengu,hakuna zaidi.

Unatakiwa ukiri huko nyuma kwamba ulikosea.
Kivipi hakuna jibu sahihi?
 
Kumbuka huwezi kujua huu ni ukweli au la; hiki kipo au hakipo kwa kukipuuza au kukipinga.
Njia pekee ya kujua hayo yote ni kufuatilia kwa kujifunza na kufanya utafiti: kuangalia uzoefu wa maisha.
Hatahivyo, hakuna hata swali moja ulilojibu.
Maneno tu ya bure...and they reflect who you are!

Kuna msemo usemao kua, palipo na ukweli uongo hujitenga

Naweza nikajua uongo wa kitu kua hakipo bila hata kufanya utafiti wa kujifunza juu ya hicho kitu
 
Back
Top Bottom