Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Hakuna sehemu nimesema nimejihakikishia kuwa Mungu ndiye jibu la kweli juu ya swali langu nililouliza. Nasubiri majibu kutoka upande wa wasioamini juu ya uwepo wa Mungu ili kuona nao wana majibu gani juu ya swali langu.
Nami kama umenisoma vyema sijamaanisha kua umehitimisha kwa kudai jibu ni mungu

Nimeuliza hivyo ili nijue upi mtazamo wako katika hilo, hususani kama atheist wote watatoa jibu kama langu
 
Hapana, niliambiwa na mtu kua ushawahi kumuambia kiranga kua jiwe ni kiumbe hai na mimi nikakuuliza ili nijihakikishie ndipo ukathibitisha kua ni kweli uliongea huo utumbo.
Sio kweli.

Nasema tena hiv "JIWE NI KIUMBE" na hakuna wa kupinga hili kielimu.

Naongeza tena MUDA nao ni KIUMBE. JUA,MWEZI vyote ni VIUMBE,mpaka KIFO nacho ni kiumbe.
 
Kuhusu sayansi inaongea ukweli au la, ni vizuri kwanza ukafahamu sayansi ni nini? Inaongozwa na nini? Inajibu nini na inahudumia nini? [emoji123][emoji109][emoji120]
Asante sana mshana kwa kunipa mwongozo wa kujua vitu kwa kuanza kuvi define vyenyewe maana zake, bila hiyana nakubali hii ndio njia bora ya kujifunza jambo lolote usilolijua

Sasa mbona ulivyoambiwa na Kiranga u difine akili ni nini hujamjibu?? Mimi pia nilikuomba unipe definition ya roho hujajibu

Iweje saizi uniambie nijufunze kwa njia hizo ilihali wewe mwenyewe umeshindwa kutoa majibu ya maswali uliyoulizwa kupitia njia hizo hizo???
 
Hakuna chanzo cha chanzo, isipokuwa chanzo cha ulimwengu, binadamu na viumbe vingine. Hivi vina asili ya chanzo chake.
Kwa muktadha wa Mungu, chanzo. Nje yake yaani chanzo hakuna chanzo, isipokuwa chanzo chwenyewe, Mungu.

Kama chanzo cha chanzo hakipo basi hata sisi watu hatuna chanzo, kwasababu sisi ni visababishi vya vyanzo vingine
 
Kuna connection gani kati ya hilo swali na hoja yangu?
Nikisema wewe ni mjinga ujue huwa nakupa haki yako,halafu unataka unikosoe mimi hali ya kuwa hujui unachokiandika ni nini na kipo katika mrengo.

Uliposema kwamba ukianza kujadili na mimi kuhusu jiwe ni kiumbe kutakuwa hakuna tofauti yangu mimi na wewe. Unakumbuka hii kauli ? Sasa mimi ndio nikakuonyesha ya kuwa utofauti upo na utakuwepo,sababu mimi nathibitisha na wewe una kanusha. Kisha nikakuuliza swali "Je anae thibitisha na anae kanusha wawili hawa wako sawa ?".

Una upeo mdogo sana wa kung'amua mambo.
 
Chanzo chetu sisi binadamu ni nini ?

Au wale wa mwanzo wetu walitokana na nini ? Au sisi tumetokea tu bila chanzo ?
Kwani lazima wawe na chanzo??

Kilichokupelekea mpaka ufikiri kua nilazima kuna chanzo ninini?
 
Sio kweli.

Nasema tena hiv "JIWE NI KIUMBE" na hakuna wa kupinga hili kielimu.

Naongeza tena MUDA nao ni KIUMBE. JUA,MWEZI vyote ni VIUMBE,mpaka KIFO nacho ni kiumbe.

Usiishie hapo sema ni viumbe hai ili itaila wako uonekane vizuri
 
Kama chanzo cha chanzo hakipo basi hata sisi watu hatuna chanzo, kwasababu sisi ni visababishi vya vyanzo vingine
Una bahati uko mbali na mimi,ningekupiga bonge la BANZI,kauli mbona iko wazi sana,umeambiwa "Hakuna chanzo cha chanzo", yaani hicho chanzo cha pili hakihitaji chanzo sababu chenyewe ni chanzo kisichokuwa na chanzo ila ulimwengu wenyewe ndio una chanzo. Lakini maneno hayo hujaelewa tu halafu unakuja kuuliza maswali ya kitoto.
 
Kwani lazima wawe na chanzo??
Kwanini kusiwe na ulazima wa kuwa na chanzo ?

Sasa embu tueleze kwamba imekuwaje sasa tumekuwepo hapa duniani ? Vyovyote utakavyo jibu swali ndivyo linaonyesha ulazima wa kuwa na CHANZO.

Jibu swali kisha uulize swali.
 
Nikisema wewe ni mjinga ujue huwa nakupa haki yako,halafu unataka unikosoe mimi hali ya kuwa hujui unachokiandika ni nini na kipo katika mrengo.

Uliposema kwamba ukianza kujadili na mimi kuhusu jiwe ni kiumbe kutakuwa hakuna tofauti yangu mimi na wewe. Unakumbuka hii kauli ? Sasa mimi ndio nikakuonyesha ya kuwa utofauti upo na utakuwepo,sababu mimi nathibitisha na wewe una kanusha. Kisha nikakuuliza swali "Je anae thibitisha na anae kanusha wawili hawa wako sawa ?".

Una upeo mdogo sana wa kung'amua mambo.
Bado swali langu hujalijibu, huwezi ukawa unauliza maswali ya kipumbavu nikayajibu bila kujua source

Swali ulilouliza lina relate vipi na hoja yangu??
 
Bado swali langu hujalijibu, huwezi ukawa unauliza maswali ya kipumbavu nikayajibu bila kujua source

Swali ulilouliza lina relate vipi na hoja yangu??
Kazi ipo hapa,kwanza unakumbuka swali lako ulilo uliza ? Mimi nakumbuka na jibu nimekupa.

Nakukumbusha tu,umetaka kuona uhusiano wa kauli yangu na hoja yako,mimi nimekuonyesha na kukupa ziada. Unakumbuka hilo ?
 
Una bahati uko mbali na mimi,ningekupiga bonge la BANZI,kauli mbona iko wazi sana,umeambiwa "Hakuna chanzo cha chanzo", yaani hicho chanzo cha pili hakihitaji chanzo sababu chenyewe ni chanzo kisichokuwa na chanzo ila ulimwengu wenyewe ndio una chanzo. Lakini maneno hayo hujaelewa tu halafu unakuja kuuliza maswali ya kitoto.

Unabahati mungu hayupo, angekuwepo ningemtia bonge la kofi kwa kuruhusu wapumbavu kama wewe na akili ndogo kama zako muwepo

Unajuaje kwamba ulimwengu kua unachanzo, na chanzo cha chanzo hicho kisiwe na chanzo???

Ukisema chanzo cha chanzo hakina chanzo unakua umemaanisha binadamu hana chanzo kwasababu yeye ni chanzo cha vyanzo vingine unaelewa we mbutika?????
 
VYOTE NI VIUMBE HAI NA VINATII AMRI YA ALIYE VIUMBA.
Hii kwa muktadha wa mazoba utaeleweka kirahisi sanz, maana kama walinyweshwa jiki kiulaini bila ubishi watashindwaje kuamini ujinga huu???

Kama mudy hakujua kusoma wala kuandika anashindwaje kuwapiga chenga ya mwili kwenye vitu kama hivi???
 
Unabahati mungu hayupo, angekuwepo ningemtia bonge la kofi kwa kuruhusu wapumbavu kama wewe na akili ndogo kama zako muwepo

Unajuaje kwamba ulimwengu kua unachanzo, na chanzo cha chanzo hicho kisiwe na chanzo???

Ukisema chanzo cha chanzo hakina chanzo unakua umemaanisha binadamu hana chanzo kwasababu yeye ni chanzo cha vyanzo vingine unaelewa we mbutika?????
Binadamu ni chanzo cha nini ? Jua au Mwezi au Milima au Miti au Mawe au Maji au nini ? Nani amekwambia kwamba chanzo cha chanzo yaani chanzo cha pili ni binadamu ?

Unapoambiwa Ulimwengu una chanzo bila hata kuuliza Binadamu lazima awe na chanzo kwani na yeye ni sehemu ya Ulimwengu.

Kaka wewe bado mdogo sana katika haya mambo,kama mtoto basi unalamba kamasi.

Nakufundisha kuwa makini katika kusoma hoja za watu na kujenga hoja pia,maswali unayouliza hata mtoto ni nadra sana kumkuta akiuliza.
 
Kazi ipo hapa,kwanza unakumbuka swali lako ulilo uliza ? Mimi nakumbuka na jibu nimekupa.

Nakukumbusha tu,umetaka kuona uhusiano wa kauli yangu na hoja yako,mimi nimekuonyesha na kukupa ziada. Unakumbuka hilo ?

Enhee nakusikia endelea
 
Hii kwa muktadha wa mazoba utaeleweka kirahisi sanz, maana kama walinyweshwa jiki kiulaini bila ubishi watashindwaje kuamini ujinga huu???
Nacheka sana huku nakuchora nimeshakuona hayawani ujue ndio maana nakupeleka puta navyotaka.

Sasa kanusha au onyesha kwamba hivyo vyote sio HAI.
 
Back
Top Bottom