Hili nililimaliza tayari ni wewe kurejea kule nilipo kupa ufafanuzi.Enhee nakusikia endelea
Hili nililimaliza tayari ni wewe kurejea kule nilipo kupa ufafanuzi.Enhee nakusikia endelea
Kama mudy hakujua kusoma wala kuandika anashindwaje kuwapiga chenga ya mwili kwenye vitu kama hivi???
hana chanzo kwasababu yeye ni chanzo cha vyanzo vingineBinadamu ni chanzo cha nini ?
Milima vyanzo vyake ni volcano, mwezi na jua vyanzo vyake ni ulimwengu ambao ndiyo main chanzo hivyo hauwezi kuwa na chanzoJua au Mwezi au Milima au Miti au Mawe au Maji au nini ? Nani amekwambia kwamba chanzo cha chanzo yaani chanzo cha pili ni binadamu ?
Yap binadamu ni sehemu ya ulimwengu, na ulimwengu ndio chanzo cha vyote hivyo huna haja ya kuuliza chanzo cha ulimwengu kwasababu ndicho chanzo cha yote hayoUnapoambiwa Ulimwengu una chanzo bila hata kuuliza Binadamu lazima awe na chanzo kwani na yeye ni sehemu ya Ulimwengu.
Yap kwenye maswala ya mungu mimi ni mtoto haswa na siji kukua katika hilo kwasababu hayupoKaka wewe bado mdogo sana katika haya mambo,kama mtoto basi unalamba kamasi.
Unifundishe nini mimi wewe? Kama mudy mlishindwa kumfundisha kujua kusoma na kuandika utanifundisha jambo gani lenye impact???Nakufundisha kuwa makini katika kusoma hoja za watu na kujenga hoja pia,maswali unayouliza hata mtoto ni nadra sana kumkuta akiuliza.
Nacheka sana huku nakuchora nimeshakuona hayawani ujue ndio maana nakupeleka puta navyotaka.
Sasa kanusha au onyesha kwamba hivyo vyote sio HAI.
Una maana gani? Wewe ni kisababishi cha vitu gani ukiondoa hivi anavyotengeza kwa kutumia vitu alivyovikuta ulimwenguni?Kama chanzo cha chanzo hakipo basi hata sisi watu hatuna chanzo, kwasababu sisi ni visababishi vya vyanzo vingine
Kwanza huoni hili ni muujiza kwa mtu asie jua kuandika akafundisha elimu kubwa namna hii ambayo hata wanasayansi wakae miaka na miaka wakanushe ya kuwa Jua,Mwezi,Jiwe,Maji,Kifo sio viumbe hai hawataweza ?
Asante. Mimi pia najifunza mengi kwa maandishi yako humu JF.Nimefaidika sana na maandishi yako.... Nimejifunza mengi sana![]()
![]()
Una maana gani? Wewe ni kisababishi cha vitu gani ukiondoa hivi anavyotengeza kwa kutumia vitu alivyovikuta ulimwenguni?
Sasa ndio uwe unatunza kumbukumbu. Wewe si ndio umesema pia kwamba Binadamu hana chanzo sababu yeye ni chanzo cha vingine.Yap binadamu ni sehemu ya ulimwengu, na ulimwengu ndio chanzo cha vyote hivyo huna haja ya kuuliza chanzo cha ulimwengu kwasababu ndicho chanzo cha yote hayo
Mimi si ndio nilikwambia ya kuwa Jiwe ni kiumbe hai siku za nyuma au sio mimi na msimamo ndio huo huo mpaka naingia kaburini.Mimi ndiye naye kupeleka navyotaka, mwanzo uliandika "viumbe" nimekufanya ubadili iwe "viumbe hai"
Kauli haijakamilika hii.Kutojua kusoma na kuandika kwa mtu kumekua ni muujiza???
Sasa mavi si yanajulikana mzee kwamba ni uchafu ? Landa uwe chizi ndio utataka uonje.Sheria yangu ni ileile, sinahaja ya kuonja mavi ili nihakikishe kua haya ni mavi.
Ile ilikuwa ndip sifa anuai yake,kama hivi qlikuwa hajui kusoma na kuandika vipi angejua kusoma si ndip mngesema jamaa alikuwa mtunzi bora kuwahi kutokea.Unifundishe nini mimi wewe? Kama mudy mlishindwa kumfundisha kujua kusoma na kuandika utanifundisha jambo gani lenye impact???
Ila hii post yako # 4206 imeonyesha udhaifu wako mkubwa sana na uongo wako wa wazi,kumbe huwa mnakimbia kujibu maswali makusudi kuficha ujinga wenu na kujichanganya changanya kama ulivyo jipala mavi kwa hii post yako.hana chanzo kwasababu yeye ni chanzo cha vyanzo vingine
Milima vyanzo vyake ni volcano, mwezi na jua vyanzo vyake ni ulimwengu ambao ndiyo main chanzo hivyo hauwezi kuwa na chanzo
Yap binadamu ni sehemu ya ulimwengu, na ulimwengu ndio chanzo cha vyote hivyo huna haja ya kuuliza chanzo cha ulimwengu kwasababu ndicho chanzo cha yote hayo
Yap kwenye maswala ya mungu mimi ni mtoto haswa na siji kukua katika hilo kwasababu hayupo
Unifundishe nini mimi wewe? Kama mudy mlishindwa kumfundisha kujua kusoma na kuandika utanifundisha jambo gani lenye impact???
Mpaka kufikia kuchukua mwelekeo au mtazamo huo ulionayo, umefanya utafiti na kuona kwamba, hicho unachokifuata ni sahihi, ndio ukweli.Unaelewa hata nikienda sawa na swali lako nikisema nilijibu hujui kua chanzo kitakua ni ulimwengu na sio mungu??
Ntajikita kuwahoji zaidi ili waweze kunielezea kwa kina namna binadamu wale wawili walivyotokea.Nami kama umenisoma vyema sijamaanisha kua umehitimisha kwa kudai jibu ni mungu
Nimeuliza hivyo ili nijue upi mtazamo wako katika hilo, hususani kama atheist wote watatoa jibu kama langu
Yap ni chanzo cha vingine, kwani hujui vyanzo vya vitu vilivyoanzishwa na mtu???Sasa ndio uwe unatunza kumbukumbu. Wewe si ndio umesema pia kwamba Binadamu hana chanzo sababu yeye ni chanzo cha vingine.
Nilivyosema ulimwengu ndio chanzo cha kilakitu umekubaliana na mimi kua ulimwengu ndio chanzo cha kila kitu?Hapa naona unasema Ulimwengu ndio chanzo cha kila kitu. Kwahiyo rekebisha kule juu kwanza uliposema kwamba binadamu hana chanzo.
Sielewi chanzo unachokidai wewe kua ndicho, kwa muktadha huo uko sahihiNAHITIMISHA HIVI :
1. Huelewei chochote kuhusu CHANZO.
Aliyetoa sheria ya chanzo hakina chanzo ndiye anayebanwa na hiyo sheria yake mwenyewe kwa kumzuia kuhoji vyanzo vya vyanzo vingine. Unaikubali sheria hiyo??2. Uache uongo na uwe makini,kwanini utuzuie sisi tusiulize kuhusu Chanzo cha Ulimwengu sababu yeye ni Chanzo,wakati huku sisi tunaposema hakuna Chanzo cha Chanzo unatupinga ?
Yule wa kwanza kama ni mtu basi huyo huyo ndio Mungu/mungu then akaumba wengine tukaendelea kuzaliana hiyo vipi?Kama ukisema hapana wa kwanza aliumbwa, kwa nini huyu alieumba ukatae hakuumbwa?😆😆😆 Hapo fasta watu wanaanza kukuletea vitabu na quotation bila proof😂.Yule mwanaume wa kwanza aliumbwa na Mola kwa mikono yake,yule mwinginge alitokana na yule mwanaume,kisha vikafata vizazi na vizazi kwa njia ya kuingiliana.
Na ndiomaana nimekwambia huna uwezo wa kunipelekesha kukubali ujinga wako, kwasababu sitaki wote tufananeMimi si ndio nilikwambia ya kuwa Jiwe ni kiumbe hai siku za nyuma au sio mimi na msimamo ndio huo huo mpaka naingia kaburini.
Kwa kujua huko sina haja ya kuonjaSasa mavi si yanajulikana mzee kwamba ni uchafu ? Landa uwe chizi ndio utataka uonje.
Naendelea kukufundisha.