Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Kwahiyo wewe uliposema Chanzo cha kila kitu ni Ulimwengu ulituiga sisi sio tena kibubusa ? Tena ukasema hupaswi kutaka kujua chanzo cha ulimwengu wakati ulimwengu ndio Chanzo cha kila kitu ?

Tatizo unakosa umakini mpaka unachosha,mamo mepesi sana haya,sijui vipi huyaelewi.

Hivi nikisema "Chanzo kisicho na chanzo" kuna tofauti gani na mtu akasema "Chanzo cha kila kitu ni Ukimwengu" ? Kwa unavyojua wewe ulimwengu hauna chanzo au nakuzulia ?

Hapo hakuna jibu sahihi,bali naonyesha udhaifu wako katika kujenga mambo na kuyaelewa,yaani unakurupuka bila kuelewa.

Hakuna cha mimi kuchukua.

Sijakubali hilo,nachofanya hapa naonyesha udhaifu wako tu.

Ugonjwa wa akili sio tusi na hii ni haki yako wala sijakudhulumu.

Ukweli ni kwamba hata kuusogelea huo unao uita uzushi hujausogelea,hapa shahidi ni nafsi yako hakuna haja ya kukubana tena ufinyua wako wa maarifa ya jambo hili umekuvua nguo jana.
Ukisema hakuna jibu sahihi unakua hunipingi mimi, unapinga kanuni yenu ya chanzo kisicho na chanzo na kuionesha kua ni ya uongo
 
Hapo hutakiwi kunipa option sababu hakuna jibu sahihi pili unatakiwa kubatilisha kabisa kauli yako ya kusema binadamu hana chanzo,halafu muda huo huo unasema chanzo cha kila kitu ni Ulimwengu,hakuna zaidi.

Unatakiwa ukiri huko nyuma kwamba ulikosea.
Hata aliyetengeneza bunduki naye anaogopa ukimnyooshea

Umeona hiyo sheria yenu inavyowahukumu nyinyi wenyewe?
 
Mimi nimekuambia mungu hayupo, unavyouliza nani aliyepo unakusudia nini
Kisichopo hakipo kivipi kuwe na mbadala?
Hadi hapa, nafahamu hujui ni nini kipo au nani yupo!
Binadamu, wewe ukiwa miongoni mwao, ulimwengu na vitu vingine vinavyoonekana, huoni kama vipo?
Unachekesha sana! Believe me this prove who you're!
 
Sawasawa umecheza vizuri formation ya wengi wenu;attack then lie. Nisaidie tu kwa kifupi utafiti uliofanya wewe na kuthibitisha bila chembe ya shaka kuwa Mungu/mungu yupo...
Kimsingi wewe ndio una-attack kwa kuwaita wanaokwenda makanisa/miskitini wajinga: wasioelewa.
Lakini hiyo haijakupa nafuu, unapotosha watu kwa maandishi yako yasiyo na chembe hata moja ya ukweli unaodai.
Kwa mtu makini hata yule ambae hajapata elimu rasmi, hutoa mtazamo wake kwenye jambo analolikubali au analolikataa kwa ushahidi wa maelezo madhubuti au vitu.
Kuhusu uthibitisho wa Mungu yupo, ni huu hapa:
1. Mwanadamu ni uthibitisho wa Mungu yupo.
2. Ulimwengu ni uthibitisho wa Mungu yupo.
 
Kuna msemo usemao kua, palipo na ukweli uongo hujitenga

Naweza nikajua uongo wa kitu kua hakipo bila hata kufanya utafiti wa kujifunza juu ya hicho kitu
Wewe kwa hakika ni mwongo. Unawezaje kujua huu ni uongo nje ya utafiti? Hakuna kitu kama hicho.
Naomba nikwambie ukweli: uongo au ukweli kwenye mitazamo yote au mambo yote ni kwa njia ya utafiti pekee. Nje ya utafiti huwezi kujua upi ni ukweli na upi ni uongo.
 
Ukisema hakuna jibu sahihi unakua hunipingi mimi, unapinga kanuni yenu ya chanzo kisicho na chanzo na kuionesha kua ni ya uongo
Kijana una yumba sana,majibu yako japo yapo katika kanuni hiyo lakini yote si sahihi.

Nilikuuliza kwamba hii kanuni imekuwaje tangu jana unaifata hiyo hiyo,au huwa hamjui mnacho kiandika na kukiegemea ?

Unaweza kunipa tofauti ya maana ya kauli hizi mbili na je kauli ya pili haiingii katika kauli ya kwanza ? :

1. Hakuna Chanzo cha chanzo na
2. Ulimwengu ni chanzo cha kila kitu.

Ukichemka kujibu swali hilo,itabidi niwe nasoma tu hoja zako bila kukujibu yaani nitkupuuza na kuhitimisha ya kuwa hujui lolote katika mada hii.

Tuendelee. ...
 
Imeshakuvua nguo kwa kudandia usijo kijua kisha ukakitumia.

Ulitakiwa uhakiki kwanza kabla ya kuandika na ujue una andika nini.
Kisicho na chanzp hakina chanzo, kwa sheria hiyo huna haja ya kuhoji chanzo cha ulimwengu.
 
Unataka turudi tena kule mbali tuliko toka ?

Inabidi ukiri ya kuwa hili tunalo lijadili sasa limeisha,ili nikupeleke kule sasa.

Nasubiri jibu.
Thibitisha mungu yupo
 
Kijana una yumba sana,majibu yako japo yapo katika kanuni hiyo lakini yote si sahihi.

Nilikuuliza kwamba hii kanuni imekuwaje tangu jana unaifata hiyo hiyo,au huwa hamjui mnacho kiandika na kukiegemea ?

Unaweza kunipa tofauti ya maana ya kauli hizi mbili na je kauli ya pili haiingii katika kauli ya kwanza ? :

1. Hakuna Chanzo cha chanzo na
2. Ulimwengu ni chanzo cha kila kitu.

Ukichemka kujibu swali hilo,itabidi niwe nasoma tu hoja zako bila kukujibu yaani nitkupuuza na kuhitimisha ya kuwa hujui lolote katika mada hii.

Tuendelee. ...
Chanzo cha chanzo hakina chanzo, tunaona ulimwengu ni chanzo cha vingine, hivyo ulimwengu hauna chanzo
 
Kisicho na chanzp hakina chanzo, kwa sheria hiyo huna haja ya kuhoji chanzo cha ulimwengu.

Naendelea kukufundisha.

Unakubalian na hiyo sheria au hukubaliani nayo ?

Vipi nikisema kwamba "Kila kitu kina chanzo isipokuwa Mola". Utataka kujua chanzo cha Mola ?

Kwanini ulikuwa unataka kujua chanzo cha Mola muumba wakati ulishaambiwa ya kuwa hana chanzo ?


Nipo .....
 
Thibitisha mungu yupo

Huku tunarudi nyuma na tutarudi usijali sababu nimeamua kukufundisha usiwe na shaka.

Sasa kwanza umekiri kule ulikosea kusema mwanadamu hana chanzo sababu ni chanzo cha vingine ?

Ukikiri hilo tunahamia huki unapopataka.
 
Chanzo cha chanzo hakina chanzo, tunaona ulimwengu ni chanzo cha vingine, hivyo ulimwengu hauna chanzo
Nakuuliza swali hujibu,embu jaribu kujibu nilicho kuuliza au hujakielewa ? Sijakuuliza kwamba uniambie ulimwengu ni chanzo au la,soma tena swali langu,naona unajibi amnacho sijakuuliza.

Hapa naona kama kuna kitu umekisahau,umesema "...tunaona ulimwengu ni chanzo cha vingine,...". Rekebisja haraka,kabla sijakubana tena.

Hili swali kidogo lipo nje ya maada,ila lina maana sana,maana naona unatumia msingi dhaifu wa kimantiki,ushawahi kusoma elimu ya LOGIC ?
 
Naendelea kukufundisha.

Unakubalian na hiyo sheria au hukubaliani nayo ?

Vipi nikisema kwamba "Kila kitu kina chanzo isipokuwa Mola". Utataka kujua chanzo cha Mola ?

Kwanini ulikuwa unataka kujua chanzo cha Mola muumba wakati ulishaambiwa ya kuwa hana chanzo ?


Nipo .....

Hapa naona umeanza kuhamisha magoli baada ya kuona sheria ile ya chanzo cha chanzo hakina chanzo imewabana.

Unakubali kila kitu kinachanzo isipokua ulimwengu???
 
Huku tunarudi nyuma na tutarudi usijali sababu nimeamua kukufundisha usiwe na shaka.

Sasa kwanza umekiri kule ulikosea kusema mwanadamu hana chanzo sababu ni chanzo cha vingine ?

Ukikiri hilo tunahamia huki unapopataka.

Wewe mbona huja kili kua ile sheria mliyoiteua imewabana wenyewe na umeanza kutipika kwa kuhamisha magoli??
 
Back
Top Bottom