Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Just Google mkuu.
images (6).jpeg

Baada ya ku-google hii ni picha ambacho nimerudi nayo as a summary of hiyo Human Evolution. Kwangu mimi naona bado imejaa ukakasi sana, kuamini kwamba Sisi( mimi na wewe) asili yetu imetoka huku. Nikiangalia maumbile ya hicho kiumbe katika stage ya kwanza na namna ambavyo binadamu tupo naona kuna utofauti mkubwa sana, pili kwa nini baada ya kufikia stage tuliyopo sasa, Evolution hiyo haijaendelea tena ?
 
Nimrmjibu tofauti na fikra zako! Kwanini unapenda kuwalisha watu majibu? Huu ni mjadala huru tujadiliane kwa hoja na si viroja
Umemjibu tofauti na fikra zangu kivipi, kwamba biblia uliyomlengesha kua akasome haijasema binadamu kaumbwa na mungu???
 
Sijafundishwa kuukataa ukweli,ungekuwa umesema kweli ningekiri tu mbona rahisi. Ila hakuna mfano ulio uweka ukakidhi haja kulingana a msingi wa hoja husika.
Unaweza ukafunzwa kuto kataa ukweli, nabado ukakataa ukweli ili usionekane umejibiwa hoja zako. Hiyo haimaanishi kua kila ulichofunzwa nilazima ukitimize kama ulivyo funzwa
 
View attachment 1188728
Baada ya ku-google hii ni picha ambacho nimerudi nayo as a summary of hiyo Human Evolution. Kwangu mimi naona bado imejaa ukakasi sana, kuamini kwamba Sisi( mimi na wewe) asili yetu imetoka huku. Nikiangalia maumbile ya hicho kiumbe katika stage ya kwanza na namna ambavyo binadamu tupo naona kuna utofauti mkubwa sana, pili kwa nini baada ya kufikia stage tuliyopo sasa, Evolution hiyo haijaendelea tena ?
Leta maelezo unayoyakubali kuhusu chanzo cha mtu, tuyaone kama hayana ukakasi
 
Hizo ni labels tu... Call it pagan au aethiest au non believer simply wote hawaamini katika conventional God(s)
 
Kuzaliwa binadamu co lazima hadibwatu wafanye tendo la ndoa.sayansi imeenda mbali zaid katk kupandikiza mbegu!
Samahanini kwa kuingilia mjadala unaoendelea. Baada ya kuufuatilia huu mjadala nimejikuta napata swali ambalo ningependa kujibiwa na mtu yoyote based on what he/she believes in.

Biologically, sote tunafahamu kuwa binadamu anazaliwa. Kumaanisha sisi wote humu tumezaliwa. Na ili mtu azaliwe ni lazima mwanaume na mwanamke waungane kupitia tendo la ndoa.

Kama sisi sote tumezaliwa kama matokeo ya binadamu wawili wa kwanza ambao waliungana kupitia tendo la ndoa. Sasa basi, swali langu ni kwamba hao binadamu wawili wa kwanza ambao ni mwanaume na mwanamke, walitoka wapi ?
 
Back
Top Bottom