Emery Paper
JF-Expert Member
- Jun 1, 2019
- 1,427
- 2,768
Nakubaliana na wewe, ila lengo la swali ni kutaka kufahamu hao binadamu wawili wa kwanza walitoka wapi ?Kuzaliwa binadamu co lazima hadibwatu wafanye tendo la ndoa.sayansi imeenda mbali zaid katk kupandikiza mbegu!