Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Samahanini kwa kuingilia mjadala unaoendelea. Baada ya kuufuatilia huu mjadala nimejikuta napata swali ambalo ningependa kujibiwa na mtu yoyote based on what he/she believes in.

Biologically, sote tunafahamu kuwa binadamu anazaliwa. Kumaanisha sisi wote humu tumezaliwa. Na ili mtu azaliwe ni lazima mwanaume na mwanamke waungane kupitia tendo la ndoa.

Kama sisi sote tumezaliwa kama matokeo ya binadamu wawili wa kwanza ambao waliungana kupitia tendo la ndoa. Sasa basi, swali langu ni kwamba hao binadamu wawili wa kwanza ambao ni mwanaume na mwanamke, walitoka wapi ?

Hilo swali mimi silijui jibu lake, ngoja waje wakwambie jibu ni mungu
 
Kijana hili hujalionyesha bado,zaidi ya kukukosoa juu ya mifano yako ya kijinga na isiyo na uhalisia uliyo itoa.

Hujaonyesha bado namna gani unaweza kujua uongo wa jambo ambalo hulijui na mifano uliyo itoa yote tunaijua.

Nimeandika zaidi ya mara moja mifano tofauti tofauti, unaweza kupitia upya
 
Ukishajua haya ni mavi huna sababu ya kuonja ili kuthibitisha kwa hakika

Nikishajua kua wanaokufundisha wamekupotosha, sina haja ya kuendelea kujadili mada uliyopotoshwa ili nikuthibitishie kua umepotoshwa
Katika hili huna uwezo huo mzee,wala hukuwahi kuwa nao,ushahidi uko wazi sana,jambo hulijui lakini vipi ukizungumzie ? Nikakuoa fursa ujitetee ajabu kila ukijitetea ndio unazidi kukosea.
 
Nimeandika zaidi ya mara moja mifano tofauti tofauti, unaweza kupitia upya
Kaka unazidi kujichoresha mzee,kila mfano ulio utoa nimeukosoa na nikakwambia toa mfano ambao jambo hulijui kisha uomyeshe uongo wake umeshindwa na hutaweza kufanya hivyo.
 
Katika hili huna uwezo huo mzee,wala hukuwahi kuwa nao,ushahidi uko wazi sana,jambo hulijui lakini vipi ukizungumzie ? Nikakuoa fursa ujitetee ajabu kila ukijitetea ndio unazidi kukosea.

Mbona nishakujibu kua sina uwezo wa kuonja mavi ili nithibitishe kua ni mavi kweli??

Unataka nianze mjadala wa kukanusha habari za jiwe kiumbe hai ili tuonekane wote hatuna akili?
 
Kaka unazidi kujichoresha mzee,kila mfano ulio utoa nimeukosoa na nikakwambia toa mfano ambao jambo hulijui kisha uomyeshe uongo wake umeshindwa na hutaweza kufanya hivyo.
Mfano umeukosoa kisnichi kwasababu hutaki kuonekana kwamba umejibiwa
 
Samahanini kwa kuingilia mjadala unaoendelea. Baada ya kuufuatilia huu mjadala nimejikuta napata swali ambalo ningependa kujibiwa na mtu yoyote based on what he/she believes in.

Biologically, sote tunafahamu kuwa binadamu anazaliwa. Kumaanisha sisi wote humu tumezaliwa. Na ili mtu azaliwe ni lazima mwanaume na mwanamke waungane kupitia tendo la ndoa.

Kama sisi sote tumezaliwa kama matokeo ya binadamu wawili wa kwanza ambao waliungana kupitia tendo la ndoa. Sasa basi, swali langu ni kwamba hao binadamu wawili wa kwanza ambao ni mwanaume na mwanamke, walitoka wapi ?
Kama wewe ni mkristo naamini utakuwa ni msomaji wa Bible takatifu hasa kitabu cha mwanzo ambacho kina majibu kamili ya swali lako hili
 
Hilo swali mimi silijui jibu lake, ngoja waje wakwambie jibu ni mungu
Nimrmjibu tofauti na fikra zako! Kwanini unapenda kuwalisha watu majibu? Huu ni mjadala huru tujadiliane kwa hoja na si viroja
 
Hilo swali mimi silijui jibu lake, ngoja waje wakwambie jibu ni mungu
Hili ni jibu honest kabisa, unapokiri haujui kitu flani basi unakuwa umejiweka katika kutaka kujua ukweli.Ndugu zetu wanatupa dhahania zao na kutaka tuamini tu moja kwa moja
 
Samahanini kwa kuingilia mjadala unaoendelea. Baada ya kuufuatilia huu mjadala nimejikuta napata swali ambalo ningependa kujibiwa na mtu yoyote based on what he/she believes in.

Biologically, sote tunafahamu kuwa binadamu anazaliwa. Kumaanisha sisi wote humu tumezaliwa. Na ili mtu azaliwe ni lazima mwanaume na mwanamke waungane kupitia tendo la ndoa.

Kama sisi sote tumezaliwa kama matokeo ya binadamu wawili wa kwanza ambao waliungana kupitia tendo la ndoa. Sasa basi, swali langu ni kwamba hao binadamu wawili wa kwanza ambao ni mwanaume na mwanamke, walitoka wapi ?
Zurri na Kiranga naombeni msaada juu ya hili suala.
 
Back
Top Bottom