Kiranga sio atheist ni non-believer

Ukijifunza Jiografia utajua ukweli hasa.
Hayo mengine uliyoyanadi kua ni mazuri mbona umeyataja bila kuniambia nikajifunze jiografia??? Ulivyokua unasema ulimwengu na vilivyomo ni vinyoofu kwanini hukuniambia nikasome jiografia?? Hukujua katika vilivyomo ni pamoja na tsunami na matetemeko ya ardhi??

Kwenye mambo magumu yanayopingana kwa kukosoa akili kubwa unayoitaja ndiyo nikasome jiografia ila hayo mazuri nisisome unanisomea wewe sio???
 
Kisicho hai hakiwezi kuhoji

Lakini hata kwa kuto kuhoji huko hakumaanishi kwamba hakina chanzo na aliyeumba hilo ghorofa hana chanzo
Nakubali. Kisicho hai hakiwezi kuhoji.
Sasa, inakuwaje wewe uliyetokana na chanzo, unahoji chanzo cha chanzo; kama tu chanzo chako chenyewe hujakifahamu vizuri bado?
 
Hapana,naonyesha kwamba nimekupuuza sababu unabishana na ukweli.
Unaweza kushindwa kujibu maswali ila huwezi kukubali kua hujui direct, una prefer njia ya vijembe kama hivyo ili kutoonekana umeshindwa
 
Nakubali. Kisicho hai hakiwezi kuhoji.
Sasa, inakuwaje wewe uliyetokana na chanzo, unahoji chanzo cha chanzo; kama tu chanzo chako chenyewe hujakifahamu vizuri bado?
Kama umekubali kua kisicho hai hakiwezi kuhoji, kwanini unahoji kua mimi nahoji kujua chanzo cha chanzo changu wakati mimi niko hai????
 
Hayo mengine uliyoyanadi kua ni mazuri mbona umeyataja bila kuniambia nikajifunze jiografia??? Ulivyokua unasema ulimwengu na vilivyomo ni vinyoofu kwanini hukuniambia nikasome jiografia?? Hukujua katika vilivyomo ni pamoja na tsunami na matetemeko ya ardhi??
Jiografia umeweka wazi sababu hasa kwa nini kuna hayo majanga: kwanini yanatokea.
Binadamu hawezi kutenganishwa na kutokea kwa majanga haya.
 
Jiografia umeweka wazi sababu hasa kwa nini kuna hayo majanga: kwanini yanatokea.
Binadamu hawezi kutenganishwa na kutokea kwa majanga haya.
Kwaiyo jiografia imeweka mambo wazi ambayo mungu wako hakuyaweka wazi???

Unataka kusema kuna mambo mungu aliyaficha yamefichuliwa na jiografia??

Lakini pia sayansi kiujumla imeelezea kwa uwazi namna ya chanzo cha ulimwengu hadi chanzo cha mtu je unakubali kua kilichosemwa na sayansi na jiografia kua ni kweli???
 
Kama umekubali kua kisicho hai hakiwezi kuhoji, kwanini unahoji kua mimi nahoji kujua chanzo cha chanzo changu wakati mimi niko hai????
Uko hai ili kuhoji. Hivyo unahoji kwanini wewe uko hai na kwanini hivi haviko hai. Hapo tu, yaani chanzo kilichokufanya wewe uwe hai na hivi visiwe hai, hujaweza kufahamu bado, unahoji chanzo cha chanzo! Huoni huko ni kuchanganya na kutoelewa?
 
Kwaiyo jiografia imeweka mambo wazi ambayo mungu wako hakuyaweka wazi???

Unataka kusema kuna mambo mungu aliyaficha yamefichuliwa na jiografia??

Lakini pia sayansi kiujumla imeelezea kwa uwazi namna ya chanzo cha ulimwengu hadi chanzo cha mtu je unakubali kua kilichosemwa na sayansi na
Maswali yako yanaonyesha kwamba hujajifunza Mungu ni nini? Ni hivi unataka kujua huyu Mungu ni nini hasa!
Ungeelewa kati ya Mungu na mwanadamu ni nani amekuwepo kwanza, na ni nani ametoka kwa mwenzake, usingeuliza maswali hayo.
Sasa, tuanze na swali nililokuuliza: define God?
 
Unaweza kushindwa kujibu maswali ila huwezi kukubali kua hujui direct, una prefer njia ya vijembe kama hivyo ili kutoonekana umeshindwa

Mimi nilifundishwa adabu kwanza sijapewa elimu,jambo kama sijui huwa nakiri sijui. Ila kwa hili nimekupuuza na nina sababu nyingi za kufanya nikupuuze tena za kielimu,sababu moja nimeshakuanishia.
 
Lakini pia sayansi kiujumla imeelezea kwa uwazi namna ya chanzo cha ulimwengu hadi chanzo cha mtu je unakubali kua kilichosemwa na sayansi na jiografia kua ni kweli???
Namna pekee ya kukataa sayansi kwa kile inachokithibitisha, ni kutengua NADHARIA inayoongoza hilo jambo.
Kwa msingi huo, sayansi ina NADHARIA nyingi kumhusu Mungu: asili ya vyanzo vya vitu, ulimwengu na binadamu. Ziko Nadharia za Pantheism, Dualism and Manichaeism, Gnosticism, Deism na Materialism. Hizi zote zinakiri kuna asili ya vyanzo vya vitu, kila moja kwa namna yake, lakini kwenye eneo hilo hilo moja la sayansi.
 
Mimi nilifundishwa adabu kwanza sijapewa elimu,jambo kama sijui huwa nakiri sijui. Ila kwa hili nimekupuuza na nina sababu nyingi za kufanya nikupuuze tena za kielimu,sababu moja nimeshakuanishia.
Umefundishwa adabu na wasio na adabu

Hao ndio walikufundisha jiwe ni kiumbe hai??
 
Namna pekee ya kukataa sayansi kwa kile inachokithibitisha, ni kutengua NADHARIA inayoongoza hilo jambo.
Kwa msingi huo, sayansi ina NADHARIA nyingi kumhusu Mungu: asili ya vyanzo vya vitu, ulimwengu na binadamu. Ziko Nadharia za Pantheism, Dualism and Manichaeism, Gnosticism, Deism na Materialism. Hizi zote zinakiri kuna asili ya vyanzo vya vitu, kila moja kwa namna yake, lakini kwenye eneo hilo hilo moja la sayansi.
Kwaiyo sayansi inaongea ukweli??
 
Samahanini kwa kuingilia mjadala unaoendelea. Baada ya kuufuatilia huu mjadala nimejikuta napata swali ambalo ningependa kujibiwa na mtu yoyote based on what he/she believes in.

Biologically, sote tunafahamu kuwa binadamu anazaliwa. Kumaanisha sisi wote humu tumezaliwa. Na ili mtu azaliwe ni lazima mwanaume na mwanamke waungane kupitia tendo la ndoa.

Kama sisi sote tumezaliwa kama matokeo ya binadamu wawili wa kwanza ambao waliungana kupitia tendo la ndoa. Sasa basi, swali langu ni kwamba hao binadamu wawili wa kwanza ambao ni mwanaume na mwanamke, walitoka wapi ?
 
Hao hao,mpaka leo hujawahi kuthibitisha ya kuwa Jiwe sio kiumbe,sababu misingi uliyo egemea haiwezi kulidiriki jambo hilo.
Ukishajua haya ni mavi huna sababu ya kuonja ili kuthibitisha kwa hakika

Nikishajua kua wanaokufundisha wamekupotosha, sina haja ya kuendelea kujadili mada uliyopotoshwa ili nikuthibitishie kua umepotoshwa
 
Uko hai ili kuhoji. Hivyo unahoji kwanini wewe uko hai na kwanini hivi haviko hai.

Kwanza umeshakubali kua ni haki yangu kuhoji vyanzo vya vitu kwasababu niko hai???

Hapo tu, yaani chanzo kilichokufanya wewe uwe hai na hivi visiwe hai, hujaweza kufahamu bado, unahoji chanzo cha chanzo! Huoni huko ni kuchanganya na kutoelewa?
Kwani kikwazo kipi kinachozuia nishindwe kupata jibu la maswali yangu???

Kwamba kwasababu sijamjua mtendaji wa kijiji changu ambaye yuko kata moja hivyo sina mamlaka ya kuhoji kumjua raisi?

Sasa hapo kizuizi kinachofanya nishindwe kupewa majibu yangu kikowapi?
 
Back
Top Bottom