Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 44,312
- 105,141
Huwa nakariri mara kwa mara ya kuwa wewe hutumii akili na mifano yako huwa unakurupuka,mpaka unawaza kuhusu samaki na silika yake kisha unaleta kama mfano ni udhaifu mkubwa kwa kutokujua kuweka kitu mahala pake. Samaki yale ni maisha yake na huwezi kuukosoa mfumo wake. Lakini wewe ni dhaifu sana katika kujenga hoja na kutumia akili,ndio nakufundosha sasa.
Hapa nazungumza na wewe. Mfano wa samaki hapa si mahala pale.
Nakufundisha wewe ambae umekiri ya kuwa jumjuo Mungu lakini bado una mzungumzia na ujinga wako hauja anza kudhihiri leo bali tangu siku ya kwanza najadiliana na wewe.
Kwani mimi haya sio maisha yangu??
Utanifundisha nini, mimi wewe?
Kunifundisha kwamba jiwe ni kiumbe hai???