Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Eti Yesu aliwahi kusema (according to maandiko) kuwa kipofu hawezi kuongoza kipofu mwenzie, lakini kanisani unakuta mchungaji ni kahaba na mla rushwa mkubwa, ukihoji kwa waumini wa kanisa lake wanakwambia usifuate mtu fuata mafundisho yake, nna mwaka wa 10 sasa sijui mlango wa kanisa, labda kwenda kuaga misiba,
Pia nimeacha kwenda church kwasababu sioni sababu ya kufanya hivyo. Mizinguo tu halina lolote..juzi hapa nimetoka kugombana na mtu eti ananiambia niende church ili nibadilike mawazo yangu. Cha kushangaza na yeye haendagi. Namvutia kasi ipo siku nitamtolea maneno hata amini kwasasa ngoja niendelee kukuheshimu
 
Kiranga ameniharibu sana, Kiranga kama Mungu yupo ntakulaumu sana, maana mpaka asaiv mtu haniambii kitu, umeniambukiza imani mpya.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hata iwe zumbe[emoji848][emoji848][emoji848][emoji15][emoji15][emoji15][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]
 
Hata imi mosie, na pata picha nilikuwa muimba kwaya mzuri pale Mlalo Rutheran Church, [emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hata iwe zumbe[emoji848][emoji848][emoji848][emoji15][emoji15][emoji15][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]
 
Mathalani neno 'ugali' asili yake ni Afrika.
Unaweza kuniambia kweli ya ugali iliyopo ndanj yake ni nini ?
Kweli hizi kimsingi ni mafundisho ya maadili.
Kweli hizo bila shaka zipo kwenye Biblia yenyewe ? Sasa kwanini kweli hizo zipingane ? Swali langu liko pale pale,ila unajaribu kubadilisha mtindo ila maana yako ni ile ile ambayo mimi nakuhoji kwayo.
 
Niko tayari kusikia jibu lako tafadhali.
Muundo wa maswali hayo ni toafauti ila maana ya maswali hayo ni moja tu. Na jibu la maswali hayo ni aidha "Ndio,namjua" au "Hapana,simjui". Kisha unamsikiliza muulizaji atasema nini baada ya jibu lako.
 
....Naendelea kufafanua.
Lazima uelewe jambo moja. Masimulizi ya biblia ni rekodi za Mungu na mwanadamu.
Masimulizi haya ya vitabu vya biblia, ndani ya maneno yake yanazungumza Mungu, ambae ndiye asili ya ulimwengu, binadamu na vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana, na siyo asili ya maneno ya jamii za watu.
Safi kabisa,kwahiyo katika Biblia kuna maneno ambayo si ya Mungu ? Unakubali hilo ?
 
Mungu aliandika au aliongea? Nani alimuona akiandika au akiongea?
....Naendelea kufafanua.
Lazima uelewe jambo moja. Masimulizi ya biblia ni rekodi za Mungu na mwanadamu.
Masimulizi haya ya vitabu vya biblia, ndani ya maneno yake yanazungumza Mungu, ambae ndiye asili ya ulimwengu, binadamu na vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana, na siyo asili ya maneno ya jamii za watu.
 
Mungu aliandika au aliongea? Nani alimuona akiandika au akiongea?
Naombacnikurudishe nyuma kidogo. Kwako wewe jambo ili liwe la kweli huwa unatumia vigezo gani kujua ukweli wake ?

Kwani ufanyaji wa tendo ni lazima umuone mtendaji ndio uamini ?
 
Kiranga is overrated .
Hapana aisee, huyu jamaa anafikira vizuri.Obvious unapomuuliza mtu kama ana akili kwa kawaida huwa na maana ya kumkebehi au kumkwaza mfano mzazi anaweza kumuuliza mtoto wake akikosea kuwa "hivi wewe una akili kweli?" Katika hali ya kawaida bila hata kuuliza tunajua kuwa Kiranga anazo akili vyema ndio maana ana andika, anapost yani kwa kifupi mind inafanya kazi vizuri
Kwa upande mwingine naona mshana kauliza swali ambalo halina mantiki(Kiranga una akili?)
 
My Take
1.Hakuna mtu anaeweza kuthibitisha kama Mungu/mungu yupo
2.Hakuna mtu anaeweza kuthibitisha Mungu/mungu hayupo.
Tunaleteana nadharia tu lakini jibu honest ni kuwa "hujui" ila unaishi na kusadiki katika IMANI hii ni wa kipengele cha kwanza wakina Mshana na wenzao (Believers).
Kwa watu wa kipengele cha pili(Kiranga-non believers)pia suala la Mungu/mungu yupo au hayupo jibu ni "hujui/haudhani" kwa sababu hathibitiki katika njia za ki-sayansi.
Swali dunia iliumbwa na nani/nini?Nalo linajibika kwa nadharia tu kama ya kwanza "hatujui" lakini kwa complexity ya viumbe hai na visivyo hai kwa logic ya kawaida tu lazima kuna "chanzo/mwanzo/mtengenezaji/muumbaji". Je kuna uhakika gani kuwa alietengeneza/kuanzisha ndie Mungu/mungu?Hapa jibu pia ni SIJUI/HATUJUI sana sana tutakimbilia vitabu vyetu vya ukristo na uislamu, huku tukipuuza maandiko au mafundisho ya wengine kama Gautama "Budha".
Kingine wanaomwamini Mungu/mungu kwa kuangalia wanachoandika tu unagundua tupo ki dini(religious) kuliko kiroho(spiritual).
I think kama Mungu yupo ukisema yupo he's o.k with it na ukisema hayupo he's ok with it na ana shughuli zake nyingine hazihusiani na sisi.Tufanye kazi tuifanye dunia kuwa mahali salama pa kuishi. Hakuna Mungu/mungu atakuja kukuchoma kisa hauendi kanisani/msikitini sijui wapi kwingine kama tunavyotishana.Unatunza mji vizuri, unapanda miti, unahamasisha ubinadamu kuwa katika njia ambazo zinafanya maisha yetu kuwa mazuri inatosha.Huko misikitini/makanisani twende kujenga na kuendelezaumoja
 
Hapana aisee, huyu jamaa anafikira vizuri.Obvious unapomuuliza mtu kama ana akili kwa kawaida huwa na maana ya kumkebehi au kumkwaza mfano mzazi anaweza kumuuliza mtoto wake akikosea kuwa "hivi wewe una akili kweli?" Katika hali ya kawaida bila hata kuuliza tunajua kuwa Kiranga anazo akili vyema ndio maana ana andika, anapost yani kwa kifupi mind inafanya kazi vizuri
Kwa upande mwingine naona mshana kauliza swali ambalo halina mantiki(Kiranga una akili?)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwa mara ya kwanza naona swali rahisi kabisa likikwepwa kujibiwa kwa visingizio kibao
 
My Take
1.Hakuna mtu anaeweza kuthibitisha kama Mungu/mungu yupo
2.Hakuna mtu anaeweza kuthibitisha Mungu/mungu hayupo.
Tunaleteana nadharia tu lakini jibu honest ni kuwa "hujui" ila unaishi na kusadiki katika IMANI hii ni wa kipengele cha kwanza wakina Mshana na wenzao (Believers).
Kwa watu wa kipengele cha pili(Kiranga-non believers)pia suala la Mungu/mungu yupo au hayupo jibu ni "hujui/haudhani" kwa sababu hathibitiki katika njia za ki-sayansi.
Swali dunia iliumbwa na nani/nini?Nalo linajibika kwa nadharia tu kama ya kwanza "hatujui" lakini kwa complexity ya viumbe hai na visivyo hai kwa logic ya kawaida tu lazima kuna "chanzo/mwanzo/mtengenezaji/muumbaji". Je kuna uhakika gani kuwa alietengeneza/kuanzisha ndie Mungu/mungu?Hapa jibu pia ni SIJUI/HATUJUI sana sana tutakimbilia vitabu vyetu vya ukristo na uislamu, huku tukipuuza maandiko au mafundisho ya wengine kama Gautama "Budha".
Kingine wanaomwamini Mungu/mungu kwa kuangalia wanachoandika tu unagundua tupo ki dini(religious) kuliko kiroho(spiritual).
I think kama Mungu yupo ukisema yupo he's o.k with it na ukisema hayupo he's ok with it na ana shughuli zake nyingine hazihusiani na sisi.Tufanye kazi tuifanye dunia kuwa mahali salama pa kuishi. Hakuna Mungu/mungu atakuja kukuchoma kisa hauendi kanisani/msikitini sijui wapi kwingine kama tunavyotishana.Unatunza mji vizuri, unapanda miti, unahamasisha ubinadamu kuwa katika njia ambazo zinafanya maisha yetu kuwa mazuri inatosha.Huko misikitini/makanisani twende kujenga na kuendelezaumoja
Twende kwa maneno machache yanayoeleweka
Kila kitu kina pande mbili.. Na hili halina ubishi....
Kuna waamini na kuna wasioamini
Kuamini kitu huwa hakuna ithibati za kisayansi... Lakini hata hizo ithibati za kisayansi huishia kwenye ambiguity....

Kwa mfano unaweza kuniambia kwa hakika ninini kinatokea mpaka tunaweza kushika hivi vitu vinaitwa simu na tukaweza kuwasiliana bila hata ya kujuana ama kuonana?
Je ni mtandao?
Je ni nishati?
Je ni kifurushi?
Je ni simu card?
Je ni simu yenye 3G...?
Je ni App ya Jf au browser?
Je ni username?
Je ni kulog in?
Kuna mlolongo wa maswali ambao huwezi kujibu kwa jibu moja halafu likatosheleza kwakuwa kikikosekana kimoja tu kati ya hivyo basi hakuna kitu tena....

Argument yangu ni kwamba huwezi kutaka kudai ithibati kwa kitu ambacho hakina ithibati lakini kipo na kinafanya kazi... Na ndio msingi wa swali la AKILI...

Ni kipi kunatufanya tuseme tuna akili? Ama kinyume chake?

Nitarejea....
 
Twende kwa maneno machache yanayoeleweka
Kila kitu kina pande mbili.. Na hili halina ubishi....
Kuna waamini na kuna wasioamini
Kuamini kitu huwa hakuna ithibati za kisayansi... Lakini hata hizo ithibati za kisayansi huishia kwenye ambiguity....

Kwa mfano unaweza kuniambia kwa hakika ninini kinatokea mpaka tunaweza kushika hivi vitu vinaitwa simu na tukaweza kuwasiliana bila hata ya kujuana ama kuonana?
Je ni mtandao?
Je ni nishati?
Je ni kifurushi?
Je ni simu card?
Je ni simu yenye 3G...?
Je ni App ya Jf au browser?
Je ni username?
Je ni kulog in?
Kuna mlolongo wa maswali ambao huwezi kujibu kwa jibu moja halafu likatosheleza kwakuwa kikikosekana kimoja tu kati ya hivyo basi hakuna kitu tena....

Argument yangu ni kwamba huwezi kutaka kudai ithibati kwa kitu ambacho hakina ithibati lakini kipo na kinafanya kazi... Na ndio msingi wa swali la AKILI...
Watu wangekuwa wanajiuliza mambo kama haya, wangeweza kuelewa hasa kuna kitu kinafanya kazi.
Ila kwa sababu wanashindwa kutazama na kuzingatia hayo, wanashindwa kuona na kuelewa IPO NGUVU KUU HAI KAMILIFU na inathibitika wazi wazi.
 
Back
Top Bottom