Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Najua,ndio maana nimeandika,na mimi nimefundishwa juu ya kuongea au kuandika ninacho kijua,nisicho kijua huwa sikiandiki zaidi ya kuuliza au kutanguliwa na maelezo husika.

Unajua matini ni nini ?
Maelezo yako tu yanaonyesha kukupinga kile ulichoendelea kukiuliza.
Sikutaraji kama unajua ungeuliza, bali ungejibu swali. Kutoka hapo tungeendelea.
 
Maelezo yako tu yanaonyesha kukupinga kile ulichoendelea kukiuliza.
Sikutaraji kama unajua ungeuliza, bali ungejibu swali. Kutoka hapo tungeendelea.

Kunatofauti kati ya maswali haya :

1. Unajua matini ni nini ?

2. Matini ni nini ?

Swali la kwanza jibu lake ni "Ndio" na swali la pili ndio natakiwa kutoa maana.

Sasa hapa najibu swali la pili ambalo ulitakiwa uulize.

Tamko "Matini" ni tamko lenye asili ya kiarabu ambalo hutamkwa "Matni" kwa umoja na "Mutuni" kwa wingi,Waswahili tumelitohoa kwa maana sawa na ya kiarabu kwenye asili yake na kulitamka "Matini".

Tamko hili huelezwa kwa maana ya kilugha na kwa maana ya kifani (Yaani kiistilahi)

Hapa nakupa maana ya kifani,Matini ni maelezo ya asili ambayo hayana ufafanuzi,yaani hayakufafanuliwa. Mathalani,nikisema "Mola wangu ama mikono miwili" kwa minajili hii haya ni matini,na nikielezea zaidi huitwa "Sherehe" au "Haashiya". Mfano ile Qur'aan nzima ikiwa haina maelezo huitwa "Matini".
 
Kunatofauti kati ya maswali haya :

1. Unajua matini ni nini ?

2. Matini ni nini ?

Swali la kwanza jibu lake ni "Ndio" na swali la pili ndio natakiwa kutoa maana.
Hili ni jukwaa la kujifunza, ok!
Sasa ungejibu swali ungeonekana mstarabu, civilized one.
Inawezekana kukubali (ndio) jambo pasipo kujua kwanza maana yake?
 
Inawezekana kukubali (ndio) jambo pasipo kujua kwanza maana yake?
Yawezekana na ndio hii ni kwa mtu asie jua na anae fanya ghishi,lakini mimi najua maana yake ndio maana nimefanya hivyo sababu nimefunzwa namna ya kuuliza maswali na vipi nijibu maswali.

Najua maana ya matini,ndio maana nikatumia adabu ya kujibu maswali na sijapoteza utaratibu.
 
Sasa ungejibu swali ungeonekana mstarabu, civilized one.
Nimejibu swali vile nilivyo paswa kujibu.

Hivi unaweza kunipa tofauti kati ya swali hili "Unamjua Zurri ?" na "Unamjua Zurri ni nani ?". Hapa jibu la maswali haya ni moja au tofauti ?
 
Hili ni jukwaa la kujifunza, ok!
Sasa ungejibu swali ungeonekana mstarabu, civilized one.
Inawezekana kukubali (ndio) jambo pasipo kujua kwanza maana yake?

Nakupa faida sasa kuhusu Matini kwa swali la pili nililo kuonyesha na ulivyo paswa kuuliza.

Swali la kwanza jibu lake ni "Ndio" na swali la pili ndio natakiwa kutoa maana.

Sasa hapa najibu swali la pili ambalo ulitakiwa uulize.

Tamko "Matini" ni tamko lenye asili ya kiarabu ambalo hutamkwa "Matni" kwa umoja na "Mutuni" kwa wingi,Waswahili tumelitohoa kwa maana sawa na ya kiarabu kwenye asili yake na kulitamka "Matini".

Tamko hili huelezwa kwa maana ya kilugha na kwa maana ya kifani (Yaani kiistilahi)

Hapa nakupa maana ya kifani,Matini ni maelezo ya asili ambayo hayana ufafanuzi,yaani hayakufafanuliwa. Mathalani,nikisema "Mola wangu ama mikono miwili" kwa minajili hii haya ni matini,na nikielezea zaidi huitwa "Sherehe" au "Haashiya". Mfano ile Qur'aan nzima ikiwa haina maelezo huitwa "Matini".
 
Kama utakumbuka, nilishawahi kukuuliza: what is God. Wewe ukaleta uswahili kwenye mambo serious.
Kimsingi, wewe ni mtu usie jua chochote, mbinafsi, usiejali na usiye taka kujifunza.
Wewe si tu hujui hicho unachokitetea, lakini pia hujui sayansi, hujui psychology, hujui philosophy hujui theology. Ni shabiki tu usie jua hicho unachokifuata ni nini.
Ukitazama kwenye Profile yako hapo juu, you are titled JF Expert. Sitaki kujua ni vigezo gani wanaangalia. Lakini wewe huna chochote cha kustahili sifa hiyo.
Angalia unavyojenga hoja, angalia unavyofafanua hoja, tazama unavyopokea mawazo ya wengine. Hii yote inakuondolea sifa ya 'Expert'.
Ninachokusihi jifunze: tafuta taarifa sahihi juu ya elimu hizi: Science, Psychology, Philosophy na Theology, utaelewa ukweli.
Kimsingi, wewe ni mtu usie jua chochote, mbinafsi, usiejali na usiye taka kujifunza.
Wewe si tu hujui hicho unachokitetea, lakini pia hujui sayansi, hujui psychology, hujui philosophy hujui theology. Ni shabiki tu usie jua hicho unachokifuata ni nini. NAKED TRUTH...!!!
 
Naona siku hizi humuiti mungu tena bali unamuita Mungu.... Na sidhani kama ni typing error
Hata James Bond, jasusi wa Uingereza katika sinema, naye namuita James Bond.

Hilo halithibitishi James Bond huyo yupo.

Thibitisha Mungu yupo.
 
Kama utakumbuka, nilishawahi kukuuliza: what is God. Wewe ukaleta uswahili kwenye mambo serious.
Kimsingi, wewe ni mtu usie jua chochote, mbinafsi, usiejali na usiye taka kujifunza.
Wewe si tu hujui hicho unachokitetea, lakini pia hujui sayansi, hujui psychology, hujui philosophy hujui theology. Ni shabiki tu usie jua hicho unachokifuata ni nini.
Ukitazama kwenye Profile yako hapo juu, you are titled JF Expert. Sitaki kujua ni vigezo gani wanaangalia. Lakini wewe huna chochote cha kustahili sifa hiyo.
Angalia unavyojenga hoja, angalia unavyofafanua hoja, tazama unavyopokea mawazo ya wengine. Hii yote inakuondolea sifa ya 'Expert'.
Ninachokusihi jifunze: tafuta taarifa sahihi juu ya elimu hizi: Science, Psychology, Philosophy na Theology, utaelewa ukweli.
Hujajibu swali.

Kwa hiyo, kama ulimwengu umeumbwa na gravity, gravity ni Mungu?
 
Mungu ndiye Muumba wa vitu vyote: ulimwengu huu unaoonekana na usioonekana, binadamu na viumbe vyote.
Dunia, binadamu na viumbe vingine vinavyoonekana, ni bayana na wazi wazi, visivyo na kasoro yoyote kimantiki.
Uwepo wa binadamu, dunia na viumbe vingine, jinsi ya kila kimoja, kwa chenyewe na ndani yake, ni uthibitisho wa asili moja.
Uwepo wa hivi: dunia, binadamu na viumbe vingine, kwa vyovyote vile sio suala la bahati nasibu.
Kumbe, kama wewe ni mchunguzi wa kweli wa mambo, utaona uwepo wa hivi vitu (dunia, binadamu na viumbe vingine), ni kwa NGUVU FULANI. Hii nguvu ndio huitwa Mungu.
Uwepo na uwamo wa nguvu hii ndani ya dunia, ndani ya binadamu na ndani ya viumbe vingine, hufanya viumbe hivi vifanye kazi hivyo vinavyoonekana kwetu.
Ulimwengu: dunia, binadamu na viumbe vingine, unavyofanya kazi: mfumo wake, mpangilio wake, ukamilifu wake, na uzuri wake, ni uthibitisho wa wazi wa uwepo wa Mungu.
hapo kwenye bold,nani ameiita hivyo????? au imejiita yenyewe?? au kuna watu walikaa wakaamua hiyo nguvu iitwe hivyo
 
Hapa nakupa maana ya kifani,Matini ni maelezo ya asili
Kwa maelezo haya, ulishindwa kuelewa kwamba maneno yana ndani yake asili, yaani yana ndani yake ukweli na kwamba maneno ndio yanapingana na sio ukweli, Mungu.
 
Hata James Bond, jasusi wa Uingereza katika sinema, naye namuita James Bond.

Hilo halithibitishi James Bond huyo yupo.

Thibitisha Mungu yupo.
Ukinijibu kama una akili au huna nitakuthibitishia uwepo wa Mungu... BTW namuongelea Mungu kama ulivyoainisha na sio mtu mwingine yeyote
 
hapo kwenye bold,nani ameiita hivyo????? au imejiita yenyewe?? au kuna watu walikaa wakaamua hiyo nguvu iitwe hivyo
Kimsingi Nguvu hii iko ndani yako: imeandikwa ndani ya moyo wako.
Kuhusu nani aliita, Wewe (binadamu ) ndio unaiita hivyo tangu mwanzo, sasa na hata milele.
 
Kimsingi Nguvu hii iko ndani yako: imeandikwa ndani ya moyo wako.
Kuhusu nani aliita, Wewe (binadamu ) ndio unaiita hivyo tangu mwanzo, sasa na hata milele.
so ni binadamu tu ndio alifanya maamuzi ya kuita hivyo wengine wakafata ,na wala yeye mwenyewe hakuna sehemu aliyojiita hivyo
 
Kimsingi Nguvu hii iko ndani yako: imeandikwa ndani ya moyo wako.
Kuhusu nani aliita, Wewe (binadamu ) ndio unaiita hivyo tangu mwanzo, sasa na hata milele.
kwahiyo unakubaliana na mimi hilo jina MUNGU NI LA KUTUNGA TU
 
Ukinijibu kama una akili au huna nitakuthibitishia uwepo wa Mungu... BTW namuongelea Mungu kama ulivyoainisha na sio mtu mwingine yeyote
Wewe hujauliza swali, umeshindwa kuuliza swali kwa kushindwa kueleza akili ni nini.

Sasa nitajibu vipi swali ambalo umeshindwa kuuliza?
 
Kwa maelezo haya, ulishindwa kuelewa kwamba maneno yana ndani yake asili, yaani yana ndani yake ukweli na kwamba maneno ndio yanapingana na sio ukweli, Mungu.

Unaposema maneno yana ndani yake asili,hauko sahihi bali usahihi ni kuwa maneno yana asili.

Nakushauri kama huelewei ninacho kiandika,usijenge hoja kabla ya kuniuliza sababu unazidi kukosea.

Nakupa mfano kati yenu nyinyi mnao dai ni wafuasi wa Yesu na Yesu mwenyewe nani alisema kwamba Yesu ni Mungu ?

Naposema asili huweza yakawa ya uongo na ukweli pia hii yote ni matini,na asili niliyo itoa humo kwenye Biblia kwa usahihi wake hayakutakiwa yagongane sababu ni maneno ya Mungu.

Kwenye Biblia ile yote ni matini ndio maana imejumuishwa na kuwekwa mule na kuitwa Biblia takatifu,kwa maana hiyo haitakiwi matini ijipingane kwa yenyewe,bali wale wanaoichambua matini ndio wanaweza kupingana.

Sasa unapo kuta matini inapingana kwa yenyewe nje ya maneno ya washereheshaji. Tatizo linakuwa ni maneno yenyewe na kwanini yajipinge ?
 
hapo kwenye bold,nani ameiita hivyo????? au imejiita yenyewe?? au kuna watu walikaa wakaamua hiyo nguvu iitwe hivyo
Naomba unitajie sifa za kitu kinachotungwa au kilicho tungwa.
 
Back
Top Bottom